Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Aina ya modelm ji airtel ina lain yake bei 25000 ukiitaji unaletewa ulipo. Ni mpya
0 Reactions
0 Replies
457 Views
Jipatie raba kali na imara kwa ajili ya mtoko wa sikukuu kwa sh. 12000 tu. duka lipo morogoro mjini Zinapatikana pia kwa bei ya jumla sh8000 kuanzia pair10 na unatumiwa kokote uliko.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau naomba mnisaidie Bei ya ku print kalenda kila mwezi na picha yake
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari wanajamvi, Kwa mahitaji ya bidhaa za solar power wasiliana nami tufanye biashara, tunauza kwa jumla na rejareja, bidhaa tulizonazo ni pamoja na, solar battery, solar fan, solar wire, tape...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Huduma ilisitishwa.
1 Reactions
26 Replies
9K Views
African capital ni taasisi inayotoa mikopo kwa wafanyakazi wa serikali dar es salaam. Ni kwanzia laki mbili mpaka million kumi. Riba ni 18% kwa mwaka na malipo ni ndani ya miezi sita mpala miaka...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Post deleted by author
0 Reactions
0 Replies
377 Views
Gari IPO Dar, hali nzuri, mawasiliano 0628501275
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wana Jf. Bei ni 2.7mil maelewano yapo. Ukubwa ni mita15*15. Kilomita moja kutoka barabara ya lami ya Chanika. Huduma mhimu kama barabara na umeme vyote vipo. Mteja unaruhusiwa kulipa...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Natafuta soko la chrome tourmaline na je wananunuaje kwa gram
0 Reactions
1 Replies
663 Views
Hii incubator nimeidesign mwenyewe kwa kutumia beseni na inauwezo wa kuangua kwa asilimia 94 inabeba mayai 70 ipo ya manual nauza 280,000 naipo ya automatic nauza 370,000 bei za ofa
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Wadau nauza samsung tv inch 32 flat screen.haina tatizo lolote. Aliye serious pliz anaichek pm.
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Nahitaji freezer kuanzia futi 6 na ujazo kuanzia lita 550. Kampuni iwe westpoint, hotpoint, whirlpool, Boss, Hisense, samsung. Isiwe imetumika sana na iwe umenunua dukani ukiwa na warrant...
0 Reactions
1 Replies
545 Views
Mileage 35000 Ina mwezi toka inunuliwe Bei 35 mils Cc2500
3 Reactions
23 Replies
5K Views
Kwa wale wote wenye mahitaji ya nyumba za kupanga na kununua,viwanja,estate management na huduma zote za majengo kwa kanda yote ya ziwa.Wasiliana na M&D Logistics Ltd waliopo Mwanza kwa huduma...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Deleted
0 Reactions
0 Replies
622 Views
Viti vya Barber shop (saloon ya kiume) vinauzwa vipo chang'ombe maduka mawili. Bei 350,0000 kila kimoja. Call/whatsapp :0659782778
0 Reactions
0 Replies
7K Views
Nataka kuandaa International Business Event hapa Dar event itachukua siku 5 hivi Je kuna mnaweza ku recommend top 5 events management companies ( zenye website only). Kama kuna issues za...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom