Jipatie raba kali na imara kwa ajili ya mtoko wa sikukuu kwa sh. 12000 tu. duka lipo morogoro mjini
Zinapatikana pia kwa bei ya jumla sh8000 kuanzia pair10 na unatumiwa kokote uliko.
Habari wanajamvi,
Kwa mahitaji ya bidhaa za solar power wasiliana nami tufanye biashara, tunauza kwa jumla na rejareja, bidhaa tulizonazo ni pamoja na, solar battery, solar fan, solar wire, tape...
African capital ni taasisi inayotoa mikopo kwa wafanyakazi wa serikali dar es salaam. Ni kwanzia laki mbili mpaka million kumi. Riba ni 18% kwa mwaka na malipo ni ndani ya miezi sita mpala miaka...
Habari wana Jf.
Bei ni 2.7mil maelewano yapo.
Ukubwa ni mita15*15.
Kilomita moja kutoka barabara ya lami ya Chanika.
Huduma mhimu kama barabara na umeme vyote vipo.
Mteja unaruhusiwa kulipa...
Hii incubator nimeidesign mwenyewe kwa kutumia beseni na inauwezo wa kuangua kwa asilimia 94 inabeba mayai 70 ipo ya manual nauza 280,000 naipo ya automatic nauza 370,000 bei za ofa
Nahitaji freezer kuanzia futi 6 na ujazo kuanzia lita 550.
Kampuni iwe westpoint, hotpoint, whirlpool, Boss, Hisense, samsung.
Isiwe imetumika sana na iwe umenunua dukani ukiwa na warrant...
Kwa wale wote wenye mahitaji ya nyumba za kupanga na kununua,viwanja,estate management na huduma zote za majengo kwa kanda yote ya ziwa.Wasiliana na M&D Logistics Ltd waliopo Mwanza kwa huduma...
Nataka kuandaa International Business Event hapa Dar event itachukua siku 5 hivi
Je kuna mnaweza ku recommend top 5 events management companies ( zenye website only).
Kama kuna issues za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.