Habari wakuu, naomba kujua duka ambalo naweza kupata hiki Modem Router yenye uwezo wa kutumia line za mitandao yote na iwe na uwezo wa kutumika ktk computer 10 au zaidi. Sitaki zile zinazotumia...
At Ziwa Garments and Apparel, we manufacture and brand Corporate Uniforms, Company staff Uniforms, we print full colour custom tee / custom t shirts, Polo shirts and various other uniforms.
Our...
Wakuu,
Ninauza Coaster Bus safi inafanya kazi ya daladala kati ya Temeke na Muhimbili. Gari ipo vizuri kama inavyoonekana katika picha na ipo barabarani inaendelea na kazi. Bei ni Mil. 13...
ninauza toyota progress ikiwa katika hali nzuri
gari haina tatizo lolote
haijawahi kufunguliwa injini
AC inafanya kazi vizuri
bei ni mil 6 ila haipungui
anagalia picha ukipenda njoo tuongee 0656497469
nauza pikpik Suzuki cc60 na speed60 vespa ina vibali vyote ila ina no. za Zanzibar ni ndongo mtu mmoja inasumbua plug tu nipo mitaa ya kinondon mkwaajun bei ni 400,000\ tu.
sijui kuaplog picha...
Wadau kwa siku mbili mfululizo najaribu kupata shule walizopangiwa wanafunzi wa darasa la saba mwaka huu (2016) bila mafanikio.Je kuna mtu anaweza kunijuza wapi naweza kuyapata?au akaniwekea link...
gari iko vizuri sana kuanzia body hadi mashine.....
Engen ni 1g kavu
Imetembea kilomita 152000
Haidaiwi vibali...
Bei ya kuuzwa ni 3.7mln
Kwa mawasiliano zaidi piga Sim 0715591141....dan
Salaam
Kinahitajika chumba kimoja self contained pekee au sebule na chumba self contained maeneo ya ubungo au kimara.
Mhusika:mdada mtu mzima na ni mfanyakazi.
Naomba mnisaidie maana yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.