Napenda kujitokeza kama mwanafunzi niliyesoma Sengerema Sekondari(O&A)level. Naitwa Changanya Bulimbo, nilisoma hapo 1985-1988 O' level.
Baadhi tumeanzisha umoja ambao makao makuu yapo Dar es...
Mimi ni mwalimu wa masomo ya Geography, Civics na Kiswahili. Napenda kufanya kazi private kwa mkataba mrefu. Nipo tayari kutoa vyeti vyangu kama dhamana. Nipo tayari kufanya kazi popote Tz...
Heshima kwenu wote.
Jamaa yangu anahitaji simu tajwa hapo juu,anapendelea ziwe used lakini ziwe kwenye hali nzuri.
Mwenye nayo/nazo awasiliane naye kwa namba 0718255028
Anahitaji Samsung note1 na...
Carfromjapan wanaendesha bahati nasibu ya jishindie gari kwa muda wa miezi 12. Droo ya kwanza ni mwezi wa pili tarehe 20 gari mbili kutolewa kila mwezi na gari 4 kila baada ya miezi 3
Huitaji...
Natafuta flat screen Tv Inchi 21-24 iwe ya rangi,hali nzuri haijawahi kufunguliwa,iwe na rimoti yake na boksi lake,mwenye nayo ani PM au anipigie kwenye 0787140432 au aweke picha yake na bei yake...
Wapendwa
Mimi iliweka madirisha ya nyumba yangu hizi gundi sijui ndio zinaitwaje...miaka miwili iliyo pita.
Hadi ninapo andika hapa ina achia yenyewe hasa kwa kupigwa na jua/JOTO.
Naomba ushauri...
Je wewe ni mpenda shopping?
je wewe una bidhaa unataka kuuza?
Kuna application nzuri sana ya android kwa ajili yako inayoenda kwa jina la shop255
Shop255 - Android Apps on Google Play
Download...
Mwenye gari aina ya toyota kluger au Toyota harrier namba yoyote ilimradi gari iwe katika hali nzuri,bajeti yangu ni 9m,nipo nzega,ila hata km iko dar naweza kufika tu na kuicheki.
Habari wakuu,nauza amplifire na equilizer ya gari,ni original kabisa, sababu ya kuuza nimeuza gari yang nikatoa mziki sababu mnunuzi alishindwa kufika bei ikabid nipunguze baadhi ya vitu...
Habari zenu wadau, mimi nipo Tanga mjini natafuta nyumba ya kupanga yenye vyumba 3 au 4, naomba Msaada wenu wadau wa JF kama Kuna mtu anaweza kujua, Natanguliza shukrani.
Fungus sehem za siri, U.T.I sugu, kuwashwa sehem za siri,kutoa harufu mbaya nk
Hii ni Femicare, haina madhara na imesinitishwa na TFDA
Inapatikana kwa Tsh 35000/= tu
Nicheki 0714547830
NOVAGE ndio suluhisho lako!
Jipatie seti yako nzima ya NOVAGE uepukane na matatizo ya ngozi yako!
Itakusaidia kuondoa makynyanzi usoni, kuondoa chunusi na madoa, mikunjo ya aina yoyote usoni na...
Je? Wewe n blogger na umetafuta adsense account kwa mda mrefu, sasa jipatie Active ADSENSE account inauzwa pamoja na blog yake. Kwa bei pouwa. Kwa mawasiliano zaid 0714447552.
Blog hii hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.