Ipo kigamboni kisiwani
Metre 100 kutoka barabara ya lami.
Inavyumba vitatu vya kulala, na masterbedroom Jiko,sitting room,na dinning.
Km 4 kutoka ferry na km 2 kutoka darajani
Ukubwa wa eneo...
Nyumba inauzwa ipo tegeta kwa ndevu barabarani
kiwanja kinaukubwa wa futi 61 kwa futi 35
Nyumba inafaa kwa matumizi ya biaahara
Being mil 350
ipo karibu na GdB house and social centre...
Heshima kwenu wakuu
Ninaomba msaada ninacreate PayPal account sasa nimekuwa napata tabu sana na hii zip code sielewi nijaze nini hapo kwenye zip code na kingine ni hizo state zinakuja suggestion...
Kampuni yetu inataka muuzaji anayeuza VIOO kwa bei ya jumla na tutafurahi kama tutapata maelekezo madogo kutoka kwake, tuko tayar kufanya kazi na huyo mtu,
Suzuki van for sale 4.8m pungufu unaongea
Habari zenu wapendwa, nauza gari yangu aina ya suzuki every van tshs. 4,800,000/= pungufu unaongea. Mimi ndie mmiliki wa gari na wala sio dalali...
Kiwanja kinauzwa kipo bunju dar es salaam karibu na posto bella
Ukubwa ni sqm 600
Kiwanja hiki ni kizuri kwa ujenzi wa nyumba ya makazi
Being mil 35
Kwa mawasiliano zaidi piga simu au...
Wanajamii kama kuna mtu wa Dar Es Salaam mwenye Pub au min Bar yenye jiko ambaye ameshindwa kuiendesha kwa sababu mbali mbali na anahitaji kuikodisha/kuipangisha ikiwa na vitendea kazi vyote kama...
VALENTINES DAY TSHIRTS AVAILABLE BONYEZA LINK HIYO KUCHAGUA UNAYOPENDA
Tishirt kwaajili ya siku ya wapendanao 1 karibu uweke order yako mapemaaaa!!!!sh 15000 moja mbili kwa 30000 pia kwa wanaotaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.