Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu naomba kujua bei ya kiwango cha chini ya machine ya kufulia nguo ......ninauhitaji nayo wakuu...... Msaada wenu Plz
0 Reactions
118 Replies
35K Views
Gari aina ya Toyota Spacio inauzwa milion 9,500,000/= mazungumzo yapo,mawasiliano 0755092734/0716515995
0 Reactions
1 Replies
777 Views
Nauza Vifaa vya cafe kama ifuatavyo:- 1 meza za plastic idadi 4 Bei elf 40 kwa kila moja. 2 Viti vya plastic vile vigumu idadi 12 Bei Elf 12 kwa kila kimoja 3 Mtungi wa Gesi lake oil ule mkubwa...
0 Reactions
19 Replies
14K Views
Mbegu ya vitunguu aina ya Lumuma nyekundu kabisa., inauzwa. Mkulima amekwama hivyo ameshindwa kuitumia Zipo debe nne . 0755155782 kwa mawasiliano zaidi
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari JF, Hii mashine inauzwa, ni mashine ya kutengenezea chakula cha pellet (pellet machine) Inauwezo wa kutoa pellet ngumu,na inazalisha Tani 1 kwa saa imetumika miezi miwili tu. Bei ni Milioni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
****Mrejesho**** Mashine imeuzwa Thread closed
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Habari dears, lipstick nzuri...na ambazo ndo habari ya jiji LA makonda, Kwa Tsh 7000 tu Hii ni offa ya kumaliza mzigo 0714547830
0 Reactions
0 Replies
935 Views
Habari waungwana, Kama una laptop unauza hiwe mpya au used weka specification na price yako. Then tufanye biashara.
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari za kazi wakuu.. Nauliza kama kuna machine yoyote ndogo ambayo itanisaidia kufanya palizi shambani. Naona nguvu kazi imekuwa ndogo na kazi haziishi kwa wakati. Kama kuna kifaa chohote...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Nauza screen ya HP lapto 2000
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habarin wakuu. ..nauza Gari aina ya rava4 kilitime kwa bei mil.13 mazungumzo yapo
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Tunatafuta CREATIVE Fundi Nguo, kushona magauni ya Red Carpet Events and magauni harusi na ngua za kazi, uniforms na ningine. Tunahitaji FUNDI nzuri sana na experience kama miaka 6 au 7. Naomba...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Gari inauzwa ipo katika hali nzuri sana, imelipiwa vibali vyote na vitaisha July mwaka huu. Ina bima kubwa na haijawahi kupata ajali. Imefungwa alarm system na ina remote mbili, ina tairi la...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu. Kuna mashamba mawili yanauzwa KILAPULA,ni KM 20 kufika Tanga mjini. (a) Eneo lina ukubwa wa hekari 5,lipo kandokando mwa barabara kuu/lami ya Tanga to Muheza Lina ofa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
iko kwenye hali nzuri iko dar es salaam bei 950000 picha
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Habari JF, Hii mashine inauzwa, ni mashine ya kutengenezea chakula cha pellet (pellet machine) Inauwezo wa kutoa pellet ngumu,na inazalisha Tani 1 kwa saa. Bei ni Milioni 10 Ninapatikana Binju...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wadau, Hii seti makochi na meza inauzwa Tsh 700,000/= tu Zipo Tanga karibu na magereza maweni Kwa anaehitaji anicheko kwenye no yangu Mawasiliano yangu 0717423882
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Kama kichwa kinavyojieleza Nina uza bidhaa tajwa apo juu nipo vinapatikana bunju Vyote 250,000/= 0652482782 Bei imeshuka wadau karibuni mzigo bado upo
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF, Kuna laptops kutoka China nimeziona Alibaba jumla ya mzigo ninaohitaji ni US $ 336, uzito ni 4.9 Kgs. Kwa mwenye uwelewa au uzoefu anisaidie kunifahamisha makadirio ya...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom