Nauza Vifaa vya cafe kama ifuatavyo:-
1 meza za plastic idadi 4 Bei elf 40 kwa kila moja.
2 Viti vya plastic vile vigumu idadi 12 Bei Elf 12 kwa kila kimoja
3 Mtungi wa Gesi lake oil ule mkubwa...
Mbegu ya vitunguu aina ya
Lumuma nyekundu kabisa., inauzwa.
Mkulima amekwama hivyo ameshindwa kuitumia
Zipo debe nne .
0755155782 kwa mawasiliano zaidi
Habari JF,
Hii mashine inauzwa, ni mashine ya kutengenezea chakula cha pellet (pellet machine)
Inauwezo wa kutoa pellet ngumu,na inazalisha Tani 1 kwa saa imetumika miezi miwili tu.
Bei ni Milioni...
Habari za kazi wakuu..
Nauliza kama kuna machine yoyote ndogo ambayo itanisaidia kufanya palizi shambani. Naona nguvu kazi imekuwa ndogo na kazi haziishi kwa wakati.
Kama kuna kifaa chohote...
Tunatafuta CREATIVE Fundi Nguo, kushona magauni ya Red Carpet Events and magauni harusi na ngua za kazi, uniforms na ningine. Tunahitaji FUNDI nzuri sana na experience kama miaka 6 au 7. Naomba...
Gari inauzwa ipo katika hali nzuri sana, imelipiwa vibali vyote na vitaisha July mwaka huu. Ina bima kubwa na haijawahi kupata ajali. Imefungwa alarm system na ina remote mbili, ina tairi la...
Habari zenu wakuu.
Kuna mashamba mawili yanauzwa KILAPULA,ni KM 20 kufika Tanga mjini.
(a) Eneo lina ukubwa wa hekari 5,lipo kandokando mwa barabara kuu/lami ya Tanga to Muheza
Lina ofa...
Habari JF,
Hii mashine inauzwa, ni mashine ya kutengenezea chakula cha pellet (pellet machine)
Inauwezo wa kutoa pellet ngumu,na inazalisha Tani 1 kwa saa.
Bei ni Milioni 10
Ninapatikana Binju...
Habari wadau,
Hii seti makochi na meza inauzwa Tsh 700,000/= tu
Zipo Tanga karibu na magereza maweni
Kwa anaehitaji anicheko kwenye no yangu
Mawasiliano yangu 0717423882
Habari zenu wana JF,
Kuna laptops kutoka China nimeziona Alibaba jumla ya mzigo ninaohitaji ni US $ 336, uzito ni 4.9 Kgs.
Kwa mwenye uwelewa au uzoefu anisaidie kunifahamisha makadirio ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.