Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu natumai ni wazima wa afya njema. .. Natafuta blender ZISIZO TUMIA UMEME (mannual blender) Naomba kujua bei yake pamoja na uwezo wake wa kufanya kazi...ukilinganisha na blender za umeme...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Chumba na sitting room .Ni vyumba vizuri na vina fen kila chumba ,Ni sehemu salama zaidi.inapangishwa Ukonga Mombasa Transfoma .kwa sh laki moja kwa mwezi kila chumba elf 50,000 ,maji yapo .for...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Ipo Tabata Segerea. Mita 100 kutoa kwenye rami Ipo ndani ya gate na fance kubwa. Parking ya magari zaidi ya 3. Maji na umeme. Bei yake ni laki 3 na nusu Piga simu: 0653930391
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Tank aina ya polytank used linauzwa Mahali : Kimara mwisho, Dsm Ujazo: Litre 2000 Bei: 220,000 fixed Bado lipo vizuri sana,nauza sababu nataka kununua kubwa zaidi. Linafaa kwa shughuli...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habar?,kwa yeyote aliyeko mbeya anaeuza miche ya nyanya tuwasiliane. Ninahitaji miche 3000 kwaajili ya kupandikiza shambani. Pls tuwasiliane kwa 0621118695
0 Reactions
2 Replies
816 Views
lejea na kichwa cha habari hapo juu.nipo dar nahitaji/ nhatafuta mtu mwenye ujuzi wa kutengeneza vyungu tufanye biashara , kama unajua mtu tuwasiliane
0 Reactions
4 Replies
1K Views
karibuni ipo mufindi kilometre41 toka mafinga mjini yakufuga ipo ekari 15 miaka4@ laki4 ya kupasua ekari5@
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa waliomaliza form four na wenye matarajio ya kusoma ADVANCED MATHEMATICS na kwa wakazi wa Dar es salam nawatangazia nafundisha tution kwa bei nafuu ; Nipo chuoni UDSM tena niko likizo hivyo...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Nyumba ya kupanga inahitajika.Iwe Mjimwema baada tu ya kituo cha mafuta Barabara iendayo Gezaulole. Nyumba iwe Na Huduma zote kama vile Maji Umeme nyumba iwe Na uzio bei Tsh.200,000/= Malipo yawe...
0 Reactions
0 Replies
936 Views
Kwa waliomaliza form four na wenye matarajio ya kusoma ADVANCED MATHEMATICS na kwa wakazi wa Dar es salam nawatangazia nafundisha tution kwa bei nafuu ; Nipo chuoni UDSM tena niko likizo hivyo...
0 Reactions
0 Replies
607 Views
Kwa waliomaliza form four na wenye matarajio ya kusoma ADVANCED MATHEMATICS na kwa wakazi wa Dar es salam nawatangazia nafundisha tution kwa bei nafuu ; Nipo chuoni UDSM tena niko likizo hivyo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunazo apps na tovuti za bure za matangazo ya biashara kwa Tanzania maeneo yote. Kutangaza biashara yako ya bidhaa na huduma tumia tovuti hii hapa Tanzapages na app yake pakua hapa Google Play...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Dereva bora wa bajaji na private car yuko tegeta kwa mawasiliano 0674097667.
0 Reactions
2 Replies
966 Views
Apartment inapangishwa Chumba Sebulee Jiko Choo maji chumv/bomba ndani Parking ya magari ipo laki na nusu Hatua 30 tu kwa mtembea kwa miguu Nyumba ipo madoto mburahat kona ya kuelekea manzese...
0 Reactions
1 Replies
703 Views
Habari za leo wanajamii kama kuna mkulima anazo pilipili mbuzi natafuta aje PM mm nipo Dar. Nataka ninunue pilipili mbuzi viroba vitano kama unazo nakuomba pm kiungwana kabisa
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Iko kwenye clean condition Storage 16gb IOS 10.2 Fingerprint Bei: 500k fixed Contact: 0659707051
0 Reactions
2 Replies
604 Views
Mafuta, ya mawese hutumika kama Tiba Asilia kwa magonjwa mbalimbali na pia hutumika kwa kupikia na wengine pia hutumia kwaajili ya kutengenezea sabuni za magadi na kadhalika, mwenye kuhitaji...
0 Reactions
2 Replies
688 Views
Wasalaam wana jamvi. Nauza laptop Toshiba Satelite Specification RAM 4GB Processor Core i3 , 2.18 ghz Hard Disk 500 GB Life span ya battery 2hours plus Computer iko kwenye ubora wake. Anae hitaji...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Natafuta nyumba ya kupanga ya vyumba viwili au vitatu maeneo ya Tegeta hadi Boko isiwe mbali na barabara kuu, Mwenye nayo tuwasiliane.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Back
Top Bottom