Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari zenu wana JamiiForums, Natafuta fremu ya biashara maeneo ya Survey - Dar es Salaam. Pia natafuta sehemu ya kufungua mgahawa. Kwa mwenye taarifa yoyote anijuze tafadhali. Asanteni sana.
0 Reactions
0 Replies
735 Views
Nahitaji eneo ambalo limepimwa ndani ya wilaya za Kinondoni au Ubungo. Lisiwe mbali na barabara ya lami na pia pawe na maji ya dawasco! comment details zake hapa chini! Kama una element za utapeli...
0 Reactions
3 Replies
990 Views
Habarini, Nyumba inapangishwa maeneo ya Tegeta Nyaishozi na ina tiles, vyumba vitatu na Master bedroom. Umeme na maji vipo na vyote ni vya uhakika na imezungushiwa ukuta na ina geti. Eneo la...
0 Reactions
2 Replies
951 Views
Nakusudia kufungua stationery huku kijijini kabla ya kununua vifaa naomba ushauri kwa ujuzi, mafundi wauzaji au yeyote. Mashine ya copy nawaza IR inayo print scan na copy pande mbili kugeuza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
VIFAA VYA SALON YA KIUME VINAUZWA 1. Viti viwili vya kunyolea Tshs. 700,000/- 2. Bench la kisasa Tshs.350,000/- 3.Kioo Kikubwa cha alminium 100,000/- JUMLA 1.15 Million Tshs (Tshs 1,150,000/-)...
0 Reactions
1 Replies
8K Views
VIFAA VYA SALON YA KIUME VINAUZWA 1. Viti viwili vya kunyolea Tshs. 700,000/- 2. Bench la kisasa Tshs.350,000/- 3.Kioo Kikubwa cha alminium 100,000/- JUMLA 1.15 Million Tshs (Tshs 1,150,000/-)...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Gari bado iko kwenye Hali nzuri Haijawahi kupigwa rangi Bei ni 7.5m Iko magomeni 0755155782 Kwa mazungumzo zaidi
3 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wapendwa. Kwa wenye vodacom tu wanicheki ili niwape hii huduma kwa bei nafuu kabisa. Nakuunganisha ndipo unalipa pesa. Wakuu habari zenu. Leo tena kwa mara nyingine nawaletea hii. Bando...
2 Reactions
43 Replies
6K Views
Nyumba ya kisasa na yenye finishings ya hali ya juu inapangishwa Changanyikeni Mbuyuni, karibu na hostel ya Jesus Village. Ni KM 1.5 kutoka Chuo Kikuu cha Dsm na pungufu ya KM 1 kutoka Chuo Kikuu...
1 Reactions
16 Replies
6K Views
Haya tena kwa wale wajasiriamali wenzangu...mashine hii ya kuchoma Kuku inauzwa. Unaweza kuweka Kuku zaidi ya 25 kwa wakati mmoja...machine hii unaweza tumia gesi au umeme! Bei ya kuuza ni tsh...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tunafanya delivery Get your valentine gift mapema Call or text 0653580091 Zipo chache.
1 Reactions
0 Replies
620 Views
Wandugu natafuta makochi ya kununua mapya set mbili ya watu sita .Budget yangu ni 2.5m kwa set na yasiwe ya kitambaa
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wajasiliamali wenzangu ninauza vifaranga vya ndege niliowataja hapo juu kwa bei nzuri kabisa. Ni cheki kwa namba hizi 0757660554-Arusha Spec: Red Wattle Helmeted Guinea Fowls 3 months old...
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Kwa wasomaji wa biblia APP hiyo itawasaidia.. Bible Tips - Android Apps on Google Play
0 Reactions
2 Replies
714 Views
wakuu nauza jiko la gesi la mihan liko complete kwa elfu 50 tu.. nimetumia kama wiki tatu ila gesi ipo na inakaa mda mrefu sana inategemea na matumizi yako..npo dar kama unahtaji na upo serious...
0 Reactions
17 Replies
7K Views
Bei 100,000 fixed Nimekitumia miezi 4 tu,hakina tatizo lolote Sababu ya kuuza:Nahama napunguza mizigo Nipo Moshi Contact:0674057335 au 0758293598 only if your serious
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wadau wa JF... Nauza baadhi ya vifaa vya ofisini hasa kwa watu wenye nia ya kufungua ofisi.. Sababu ya kuuza ni kwamba nimetanua ofisi hivyo nimehamia sehemu nyingine kwa hiyo nalazimika...
2 Reactions
6 Replies
5K Views
Machine imeuzwa ***Thread Closed***
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Nimeyatumia Mwezi 1 Tu Na Nilibadilisha Ili Nifunge Tubeless Tyre, Bado Mazuri Kabisa Na Kwa Mpambanaji Yatakufaa Sana, Nicheki Kwa Namba 0715488421
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Back
Top Bottom