Habari zenu wana JamiiForums,
Natafuta fremu ya biashara maeneo ya Survey - Dar es Salaam. Pia natafuta sehemu ya kufungua mgahawa.
Kwa mwenye taarifa yoyote anijuze tafadhali.
Asanteni sana.
Nahitaji eneo ambalo limepimwa ndani ya wilaya za Kinondoni au Ubungo. Lisiwe mbali na barabara ya lami na pia pawe na maji ya dawasco! comment details zake hapa chini!
Kama una element za utapeli...
Habarini,
Nyumba inapangishwa maeneo ya Tegeta Nyaishozi na ina tiles, vyumba vitatu na Master bedroom. Umeme na maji vipo na vyote ni vya uhakika na imezungushiwa ukuta na ina geti. Eneo la...
Nakusudia kufungua stationery huku kijijini kabla ya kununua vifaa naomba ushauri kwa ujuzi, mafundi wauzaji au yeyote.
Mashine ya copy nawaza IR inayo print scan na copy pande mbili kugeuza...
VIFAA VYA SALON YA KIUME VINAUZWA
1. Viti viwili vya kunyolea Tshs. 700,000/-
2. Bench la kisasa Tshs.350,000/-
3.Kioo Kikubwa cha alminium 100,000/-
JUMLA 1.15 Million Tshs (Tshs 1,150,000/-)...
VIFAA VYA SALON YA KIUME VINAUZWA
1. Viti viwili vya kunyolea Tshs. 700,000/-
2. Bench la kisasa Tshs.350,000/-
3.Kioo Kikubwa cha alminium 100,000/-
JUMLA 1.15 Million Tshs (Tshs 1,150,000/-)...
Habari wapendwa.
Kwa wenye vodacom tu wanicheki ili niwape hii huduma kwa bei nafuu kabisa.
Nakuunganisha ndipo unalipa pesa.
Wakuu habari zenu. Leo tena kwa mara nyingine nawaletea hii. Bando...
Nyumba ya kisasa na yenye finishings ya hali ya juu inapangishwa Changanyikeni Mbuyuni, karibu na hostel ya Jesus Village. Ni KM 1.5 kutoka Chuo Kikuu cha Dsm na pungufu ya KM 1 kutoka Chuo Kikuu...
Haya tena kwa wale wajasiriamali wenzangu...mashine hii ya kuchoma Kuku inauzwa.
Unaweza kuweka Kuku zaidi ya 25 kwa wakati mmoja...machine hii unaweza tumia gesi au umeme!
Bei ya kuuza ni tsh...
Wajasiliamali wenzangu ninauza vifaranga vya ndege niliowataja hapo juu kwa bei nzuri kabisa. Ni cheki kwa namba hizi 0757660554-Arusha
Spec: Red Wattle Helmeted Guinea Fowls 3 months old...
wakuu nauza jiko la gesi la mihan liko complete kwa elfu 50 tu.. nimetumia kama wiki tatu ila gesi ipo na inakaa mda mrefu sana inategemea na matumizi yako..npo dar kama unahtaji na upo serious...
Bei 100,000 fixed
Nimekitumia miezi 4 tu,hakina tatizo lolote
Sababu ya kuuza:Nahama napunguza mizigo
Nipo Moshi
Contact:0674057335 au 0758293598 only if your serious
Habari wadau wa JF...
Nauza baadhi ya vifaa vya ofisini hasa kwa watu wenye nia ya kufungua ofisi..
Sababu ya kuuza ni kwamba nimetanua ofisi hivyo nimehamia sehemu nyingine kwa hiyo nalazimika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.