Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kwa mara nyingine tena, napenda kuwataarifu wapenzi wa vitabu vya riwaya kuwa sasa Kitabu ca PESA ZAKO ZINANUKA kinapatikana kwa bei ya shilingi 10,000 tu. Unaweza kupata Posta mpya, mkabala na...
1 Reactions
17 Replies
8K Views
Natafuta simu tajwa hapo juu mwenye nayo plz bei ni makubaliano nawasilisha.....!
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Mwalimu wa sekondari wa shule iliyopo manispaa ya Iringa anaomba kubadilishana kituo cha kazi na mwalimu aliye Dar, hasa manispaa ya Ilala. Ikiwa ungependa kuhamia Iringa mjini please ni Pm kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
NORTH FOR MEN ndo suluhisho lako! Jipatie seti yako nzima ya NORTH FOR MEN ili uweze kuepuka tatizo LA upele baada ya kushave Seti yako nzima ina bidhaa zifuatazo Hand and body wash Bar soap...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habar wana JF,ninauza eneo la ukubwa wa ekari moja na nusu maeneo mwasonga-kigamboni. Kuna nyumba ndogo imejengwa ya chumba na sebule ambayo bado haijakamilika.bei ni maelewano.nichek pm
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Niwazi sasa tunaenda Dodoma,Dodoma, Binafsi sina pa kuanzia hususan makazi ,hebu wenyejitufahamisheni ,bei zikoje, na michongo mingine!
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu, Kuna mama yangu anaitajii kufanya biashara ya vikapu vile vinavyosukwa kwa kutumia mianzi na milala lakini shida iliyopo mahala gani vinapatikana kwa wingi na bei zake ni zipi huko...
0 Reactions
6 Replies
917 Views
Mm ni mwl wa shule ya sekondari ktk halmashauri ya tandahimba mkoani mtwara naomba kubadilishana na mwl yeyote ambaye yupo ktk mikoa ya nyanda za juu kusini kama mbeya, Songwe, na njombe kwa...
1 Reactions
2 Replies
741 Views
Mwalimu anayetaka kubadilisha kituo cha kutoka halmashaur ya wilaya ya siha au Hai kwenda halmashaur ya wilaya ya bunda tuwasiliane kwa no.0764085377.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nina tecno w4 Imetumika miezi miwili tuu rangi yake ni nyeupe.. Mimi nina shida na tecno boom J 8. Specifications Za tecno w4 Ram 1GB Camera 8 MP Internal memory 16 GB Android version 6...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Jipatie seti yako nzima ya novage sasa! Novage means NEW AGE NOVAGE itakusaidia wewe mtumiaji -kuondoa mikunjo yote usoni - madoa ya chunusi - kuipa ngozi yako rangi ya asili -kufanya ngoz yako...
0 Reactions
3 Replies
779 Views
Plot size sqm 1000. Nyumba ipo bunju A dare salaam/ bagamoyo road Kilometer 1 toka main road Ina vyumba vitatu Pia ina banda la uwani lenye Vyumba viwili Nyumba ipo ndani ya fensi All basic...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
iko vizuri hasa katika kutunza chaji 260000
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wadau. Nauza vitu vifuatavyo kwan ninahamia mkoan. Vitu hivi vipo kmara Dsm. SUMSUNG FLAT TV LCD 43 TSH 750 ,000 PAMOJA NA STAND YAKE. Meza ya kioo bado nzuri tsh 100,000/- Home thetre...
0 Reactions
117 Replies
24K Views
Wafanyabiashara wote wenye lengo la kuongeza thamani kwenye bidhaa / huduma zao duniani, wanajaribu kila siku kwenda sawa na mabadiliko ya teknolojia. Wewe ukiwa mmojawapo unasubiri nini...
0 Reactions
1 Replies
705 Views
NOVAGE means NEW AGE Jipatie seti yako nzima ya novage ili urudishe ngoz yako katika muonekano mzur na wenye kuvutia! Novage itakusaidia wewe mtumiaji -kuondoa mikunjo au makynyanzi ya uzee usoni...
0 Reactions
0 Replies
494 Views
karibu upate spare imara za SLL SPARE PARTS,hapa TEGATA KIBAONI DAR ES SALAAM.kwa mawasiliano zaidi 0653028611/0768512049,/0655882631
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu habarini Nina mdogo wangu wa kiume kamaliza chuo july ninaomba kama kuna kazi yoyote around dodoma kama anaeza kufanya hata kama ni ya kufundisha (kwa masomo ya chemistry na biology)au hata...
0 Reactions
0 Replies
643 Views
Used containers in a very good condition and proper documentation for sale at Dar es Salaam. 40ft dry container price $2100/- 40ft reefer container price $8400/- Only serious buyers contact me...
1 Reactions
0 Replies
864 Views
MacBook Pro Processor 2.5GHz intel core i5 Ram 4GB 1600 Mhz DDR3 Graphics intel HD graphics 4000 1536 MB Internal storage 500GB Price 1.7m TShs.
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom