Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habar?,kwa yeyote aliyeko mbeya anaeuza miche ya nyanya tuwasiliane. Ninahitaji miche 3000 kwaajili ya kupandikiza shambani. Pls tuwasiliane kwa 0621118695
0 Reactions
2 Replies
815 Views
lejea na kichwa cha habari hapo juu.nipo dar nahitaji/ nhatafuta mtu mwenye ujuzi wa kutengeneza vyungu tufanye biashara , kama unajua mtu tuwasiliane
0 Reactions
4 Replies
1K Views
karibuni ipo mufindi kilometre41 toka mafinga mjini yakufuga ipo ekari 15 miaka4@ laki4 ya kupasua ekari5@
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa waliomaliza form four na wenye matarajio ya kusoma ADVANCED MATHEMATICS na kwa wakazi wa Dar es salam nawatangazia nafundisha tution kwa bei nafuu ; Nipo chuoni UDSM tena niko likizo hivyo...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Nyumba ya kupanga inahitajika.Iwe Mjimwema baada tu ya kituo cha mafuta Barabara iendayo Gezaulole. Nyumba iwe Na Huduma zote kama vile Maji Umeme nyumba iwe Na uzio bei Tsh.200,000/= Malipo yawe...
0 Reactions
0 Replies
935 Views
Kwa waliomaliza form four na wenye matarajio ya kusoma ADVANCED MATHEMATICS na kwa wakazi wa Dar es salam nawatangazia nafundisha tution kwa bei nafuu ; Nipo chuoni UDSM tena niko likizo hivyo...
0 Reactions
0 Replies
604 Views
Kwa waliomaliza form four na wenye matarajio ya kusoma ADVANCED MATHEMATICS na kwa wakazi wa Dar es salam nawatangazia nafundisha tution kwa bei nafuu ; Nipo chuoni UDSM tena niko likizo hivyo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunazo apps na tovuti za bure za matangazo ya biashara kwa Tanzania maeneo yote. Kutangaza biashara yako ya bidhaa na huduma tumia tovuti hii hapa Tanzapages na app yake pakua hapa Google Play...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Dereva bora wa bajaji na private car yuko tegeta kwa mawasiliano 0674097667.
0 Reactions
2 Replies
965 Views
Apartment inapangishwa Chumba Sebulee Jiko Choo maji chumv/bomba ndani Parking ya magari ipo laki na nusu Hatua 30 tu kwa mtembea kwa miguu Nyumba ipo madoto mburahat kona ya kuelekea manzese...
0 Reactions
1 Replies
701 Views
Habari za leo wanajamii kama kuna mkulima anazo pilipili mbuzi natafuta aje PM mm nipo Dar. Nataka ninunue pilipili mbuzi viroba vitano kama unazo nakuomba pm kiungwana kabisa
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Iko kwenye clean condition Storage 16gb IOS 10.2 Fingerprint Bei: 500k fixed Contact: 0659707051
0 Reactions
2 Replies
601 Views
Mafuta, ya mawese hutumika kama Tiba Asilia kwa magonjwa mbalimbali na pia hutumika kwa kupikia na wengine pia hutumia kwaajili ya kutengenezea sabuni za magadi na kadhalika, mwenye kuhitaji...
0 Reactions
2 Replies
686 Views
Wasalaam wana jamvi. Nauza laptop Toshiba Satelite Specification RAM 4GB Processor Core i3 , 2.18 ghz Hard Disk 500 GB Life span ya battery 2hours plus Computer iko kwenye ubora wake. Anae hitaji...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Natafuta nyumba ya kupanga ya vyumba viwili au vitatu maeneo ya Tegeta hadi Boko isiwe mbali na barabara kuu, Mwenye nayo tuwasiliane.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Karibuni kiwanja kinauzwa Msasani,Sqm 14920 kinafaa kwa Hotel.... Kwa mawasiriano zaidi:- 0715-011022
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Natafuta sana sana motherbord ya HP PPROBOOK 450 G2 i5,
0 Reactions
0 Replies
892 Views
NATAFUTA DISPLAY YA GALAXY S6, ISIWE NA CRACKS..OFA YANGU LAKI MBILI.NICHEK 0625522551.
0 Reactions
1 Replies
799 Views
Habari wanajamii. Nina mashine ya kukamulia miwa naiuza kwa pesa za kitanzania 800,000/=.Mashine ipo ktk hali nzuri,ipo maeneo ya Dar Mbagala kwa atakaehitaji kuiona.Mawasiliano 0789 780...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom