Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Smartwatch ambayo inaingiliana na simu yako. Unaweza ukapokea simu au kusoma msg kutumia hii smart watch. Niko na limited stock na minimum order ni 5 pcs. Duka langu online nipo maeneo ya kibamba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu kwema? Nahitaji radio used ya gari yenye screen,cd player na inayo play flash.
0 Reactions
0 Replies
595 Views
Wakuu kwema? Nahitaji radio used ya gari yenye screen,cd player na inayo play flash.
0 Reactions
0 Replies
790 Views
Pure hygiene, ni kampuni ya kitanzania, iko Dar es salaam, inatoa huduma za usafi Wa vyoo na mabafu ya kuogea(Bathing room), Kwa kutumia chemicals za kusafishia vyoo za kisasa kabsa. Tunasafisha...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Tangazo la mitihani ya CIPS. Chuo cha Ununuzi kinawatangazia graduates wote katika level mbalimbali usahili kwa watakaotaka kufanya mitihani ya CIPS mda wa kuleta maombi chuoni mpaka tarehe 10...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa atakayehitaji asali mbichi ya nyuki wakubwa naomba tuwasiliane kwa 0682 322 929, nimevuna mwenyewe na haijachakachuliwa. Lita 20 ni 180,000/= unaletewa popote ulipo tanzania.
0 Reactions
0 Replies
657 Views
Tunachora Ramani za nyumba, pia tunatoa huduma bora za ujenzi wa nyumba (pamoja na plumbing and electrical services), huduma hizi zote hutolewa bei nafuu sana. Contact 0718 412072...
1 Reactions
0 Replies
7K Views
engine 3L diesel ni Mpya iko barabarani 2001 number D bei 25m vibali vyote inavyo 0784387727
0 Reactions
2 Replies
762 Views
Nyumba ya kupanga inahitajika isiyozidi laki mbili kwa mwezi.. Maeneo ya Tabata yote, segerea, majumba sita, ukonga, uwanja wa ndege, ilala.. Pia buguruni, ubungo external, changombe, temeke...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Heshima mbele! kichwa cha habari chahusika, naamini huku JF kuwa wataalam wakutosha, natafuta software ambayo inaweza kunisaidia kutunza mahesabu ya biashara na kunipa taarifa ya mauzo kila siku...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Kwa mahitaji ya viwanja mashamba na ardhi za kukodi /kununua kwa ajili ya makazi kilimo parking za magari sheli na shule Maeneo ya shiratunda, Sango, Pumwani, Kawawa, Miwaleni, Uchira, Njiapanda...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Wakuu najua ni wazima. Naomba bei ya kioo cha runx cha nyuma
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mount Everest Ilala Hostel iliyopo Ilala, mtaa wa Lindi inapenda kukutangazia kuwa tuna nafasi za vyumba kwa ajili ya Hostel kwa wanafunzi wanaohitaji. Hostel ina huduam zifuatazo : 24 Hrs...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Manages sales, purchasing, hr, payroll, , assests, bank reconciliations, appraisals, multiple POS points, financial reports. The software can be customized to fit your business needs. Contact us...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu, Nissan civilian bus inauzwa. gari iko kwenye hali nzuri na iko barabarani. Bei ni Tsh.17, mazungumzo yapo, kwa mawasiliano piga 0657457971 au 0685247148 Ili uweze kuiona gari.
1 Reactions
11 Replies
5K Views
OFA YA PASAKA IMEANZA SASA. HABARI NJEMA KWA WANAOHITAJI KUCHIMBIWA VISIMA VYA KARAVATI. TUNACHIMBA KWA BEI NAFUU. KWA WANAOHITAJI KWA MASHAMBANI TUNAWACHIMBIA MITA 65 KWA MILIONI 3.8. KWA...
0 Reactions
0 Replies
703 Views
GARI ZURI JIPYA ENGINE DIESEL 3L LIKO BARABARANI LINAFANYA KAZI LINAFAA KWA SHULE NA KWA BIASHARA YA DALADALA BEI 25M 0784387727. picha natuma
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Simu iwe mpyaa ndoo condition no moja Na storaje 64gb No yangu 0713239001
0 Reactions
3 Replies
739 Views
Kampuni Boss, nilinunua mwezi wa 10, used for 2 months, ukiwa maji dk 20 yanakuwa jiwe, ina milango miwili na sehemu ya kungandishia, ni froth free, ina warranty na fridge protector njoo, urefu...
1 Reactions
37 Replies
6K Views
Back
Top Bottom