Diploma And Certificate Job Opportunities

Diploma And Certificate Job Opportunities

Kahtan Ahmed

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
765
Reaction score
490
Habari wana JF kwa yoyote aliemaliza Diploma au Certificate ya Information Technology au inaofanana na hiyo anaeishi Dar Es Salaam na hajapata kazi naomba awasiliane moja kwa moja 0712 212 220, vijana wa kiume ndio wanaohitajika kwa wingi.
 
Habari wana JF kwa yoyote aliemaliza Diploma au Certificate ya Information Technology au inaofanana na hiyo anaeishi Dar Es Salaam na hajapata kazi naomba awasiliane moja kwa moja 0712 212 220, vijana wa kiume ndio wanaohitajika kwa wingi.
kwa wale wanaonitumia message kama nafasi zipo, nafasi zipo mpaka nitakapoandika hapa kua nafasi zimejaa, kwa kiufupi wanahitajika vijana wengi kidogo,
 
kwa wale wanaonitumia message kama nafasi zipo, nafasi zipo mpaka nitakapoandika hapa kua nafasi zimejaa, kwa kiufupi wanahitajika vijana wengi kidogo,
Jamni nahitaji vijana wanaoishi dar es salaam tu
 
jamani nashukuru sanna nimepata vijana na kuanzia leo basi nimetosheka idadi niliokua nimetaka imekamilika
 
Back
Top Bottom