Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Jamani wapendwa naombeni kujua naweza pata simu gani nzuri kwa bajeti ya 600000/=. ahsante kwa ushauri wenu
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nahitaji CPU ya kununua RAM kuanzia 2 GB hard disk kuanzia 5000.desk top
0 Reactions
4 Replies
836 Views
UBUYU WA BABU ISSA ,kindoo kidogo sh 40,000,pakti 1500 jumla ni 1000, Ubuyu mtamu wenye ladha ya kipekee kutoka kwa babu Issa Zanzibar,karibu uanze biashara kwa mtaji Mdogo na faida Mara...
0 Reactions
0 Replies
8K Views
HEBU JITAFAKARI JE UMEANDIKIWA KUISHI MAISHA UNAYOISHI SASA HUYU KAKA Anaitwa Hassim Orison Shayo,ni Senior manager wa Oriflame alianza Oriflame tareh 6/6/2016 Yaani mwaka Jana.. Ana miezi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Jibu la matatizo lipo Bora Computer Solution. Tunatengeneza laptop na desktop aina zote, tunabadilisha Operating System(OS) kama vile Windows 7, 8, 10 na kwa mahitaji ya kubadilisha vioo vya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu poleni na majukumu Nauza magari - Napatikana dsm Toyota Harrier 2007 model Engine Vvti, 4cylinder, 2390cc Mileage 82000km Tsh 29milion Call/whatsap 0714 521128 Toyota Premio 2005...
1 Reactions
3 Replies
5K Views
natafuta line za tigo pesa na mpesa anayeuza please ni PM
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama kichwa kinavoeleza nahitaji chumba kimoja na sebule self. Mitaa ya tabata ijitegemee kwa umeme.bug 150000.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Swali ni Mimi ni mtumishi wa uma upande wa elimu ila nina certificate nilitaka nikasome diploma nchini Kenya inawezekana na gharama zikoje na je nkirudi naweza panda mshahara kama wenzangu?Asanteni.
0 Reactions
2 Replies
817 Views
Kuroiler ni kuku wa kienyeji mwenyewe asili kutokea India. 1. Anakua kwa haraka 2. Ana anza kutaga akiwa na umri wa miezi 4 na nusu..... Na atataga kila siku kwa miaka 2 3. Ana ongeza uzito kwa...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
isiwe na tatizo lolote, Napendelea Nikon CoolPix A100 (Megapixel 20.1) Kama hii Ila kama kuna mwenye aina tofauti na hiyo twaweza kuzungumza.
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Habari wana jamvi Ninauza Acer laptop e510 kwa Tz Shs 350,000. Imetumika miezi 6 . Nipo Mbweni - Dar es salaam
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Iphone 5s 16Gb Gold colour Iko kwenye hali nzuri. PM kwa biashara Au 0716740803 .
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jipatie Raba za kiume (Nike) kwa Tsh 40,000 tu.....size ni 40-45 kwa kila Raba. Napatikana Kibaha Kongowe....mkoani unatumiwa kwa gharama zako na utalpia kiatu baada ya kukipata...0785042450 Tsh...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Kama unahitaji kiwanja, nyumba ya kununua au nyumba ya kupanga maeneo ya morogoro mjini tafadhari piga 0712977047 utapata ndani ya muda mchache kwa bei nafuu kabisa Malipo yote yatafanyika kwa...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Nauza Toyota Hiace 1998 Model ambayo bado haijafika Dar Es Salaam, Ila Kwa taarifa za Shipper wangu Ni Kwamba meli inaingia Tarehe 27 Mwezi Huu kutokea Japan..Lakini kwa taarifa za Agent wangu ni...
0 Reactions
7 Replies
9K Views
I-secure technology Tunaweka Car tracking system GPC tracker/Alarm /diagnosis device: _____________________ Unauwezo wakuzima gari yako kupitia simu yamkononi popote ulipo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
This apartment it has two floors and its own entrance; and private parking yard. On the first floor, the ground one has an open plan kitchen, living area, and self contained bedroom. On the first...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Chombo bado cha moto kabisa Bei ni 5.5m 0755155782 Kwa mawasiliano zaidi Iko Dar es salaam Kwa hitaji la gari aina yoyote tuma SMS kwenda namba hiyo hapo uweke na bei yako.
1 Reactions
0 Replies
4K Views
Nimeshusha bei: Iphone Six (s) Storage128GB, RoseGold color. Price: 1.45mil only badala ya zaid ya 1.95mil Pia Smartphones za kisasa, Originals tu sasa unapata kwa bei Poa kwang Vunja bei...
0 Reactions
44 Replies
11K Views
Back
Top Bottom