Heshma kwenu wakuu..
Mdau wenu kwa sasa nipo Arusha kikazii.
Natafuta nyumba ya kupanga kwa kipindi hikii
Eneo; Njiro..mwisho contena area
Aina; one bedroom apartment/studio apartment plus(+)...
Hizi sehemu hata kama ulizaliwa na kukulia katika miji mitakafu harafu ukatembelea kupata vinywaji, kwa watoto wa kike (wahudumu) walioko hapa lazima ndoa iyumbe tu ama kuvunjika.
Ilibidi...
Nyumba ipo kibaha picha ndege, inavyumba nane double mbili na single nne, na uwanja kidogo upo, ila bado haijapauliwa, msingi umemiminwa na imepigwa pia renta kwa kumiminwa kisha ikamaliziwa kozi...
Habari wana jf,sisi tunajishughulisha na masuala ya uchimbaji visima kwa ajili ya mashamba ( I mean kumwagilia ) au kwa matumizi ya nyumbani. Bei zetu ni shillingi elfu sabini kwa mita moja (...
Habari ndugu zangu
Nauza laini ya uwakala ya Tigo pesa bei 270,000/=.Nakupa pamoja na simu yake pia ina kamisheni kidogo ya mwezi huuu,ukiichukua ni kuanza kazi tu.
Pia nauza na computer hp ikiwa...
wakuu nahitaji gari used toyota probox iwe namba D au C iwe haijawah kubadilishwa rangi
nipo Moshi
budget yangu ni 6 million
inaweza kupanda kidogo kutokana na quality ya gari mawasiliano...
....Nauza viti na meza yake vinafaa sana kwa ajili ya kuweka sehemu ya dinning au Officene au kuweka kwa nje kwa ajili ya kupumzikia... Ni vizuri sana.. Ni product kutoka South Africa... Bei ni...
Yeyote auzaye fridge kwa bei hiyo ani PM atume na ka picha
Fridge (najua itakua used) lakini iwe katika hali nzuri, iwe na uwezo wa kugandisha vizuri kwa sababu naihitaji kwa shughuli hiyo
*Nipo...
20M*24M , kipo chanika lukooni , kutoka barabara ya rami(videte) nikama 500M na kutoka chanika stendi 900M . Njia ni nzuri ,panafikika kirahisi kwa gari , umeme upo karibu na nisehemu iliyojengeka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.