Habari wana JamiiForums?
Shida yangu ni kuhusu jiko la gas ninampango wa kununua jiko la gas la plate mbili issue ni jiko gani bora na lisilotumia gas nyingi na nitalipata kwa sh ngapi? Maana...
Make : Toyota
Model : Crown Athlete
Mileage : 147,000km
Engine size: 2400cc
Gasoline : Petrol
Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. )
Transmission : Automatic
M/Year : 2004
Doors : 4...
Habari wana JF
Naomba kufahamishwa wapi naweza pata mabox ya kubebea vifaranga vya kuku. Mabox hayo huwa yametobolewa ili kuruhusu hewa kuingia wakati vifaranga vinasafirishwa.
Nawasilisha
Natafuta pick-up, single cabin or double (Iwe Toyota), kwa kusambaza mizigo ya dukani. Kama unayo ama unamfahamu mwenye nayo, tuma picha hapa ama kwa whatsap no: 0785 310 998
Njombe institute inawatangazia nafasi za masomo kwa kozi mbalimbali za hoteli, zikiwemo
1. Tourism and tour guiding
2. House keeping
3. Computer
4. Cake making
5. Food beverage service
6. English...
Wadau,
Naomba mnisaidie majina ya kumbi za harusi za wastani zilizopo hapa DSM angalao ziwe chini ya milion 1. Kama itawezekana naomba mnisaidie na Contact zao kabisa.
Natanguliza shukrani
Habari wakuu....
Valentines day loading..
Mpatie mama.. Mke..Dada..jirani.. Na wengineo zawadi ya pochi Valentine hii..
Dar delivery IPO..
Mkoani tunatuma..
PM kwa mawasiliano zaidi..
_karibuni!
WALE WA DAR TEGETA TEGETA TEGETA:
Chumba (master) na sebule safi.
Stoo. Jiko lako mwenyewe.
Public toilet (kama ukipata mgeni, sio aingie chumbani tena)
Full tiles, Gypsum, Sebule ina matundu ya...
Tuna fanya Programming ya funguo za magari zinazotumia sensor(transponder) na smart key(keyless or push to start key).kwa magari aina zote yaani TOYOTA,VW,BMW,FORD nk. Kama unahitaji funguo ya...
Nauliza ni jinsi gani naweza kuwa wakala wa betting, niko Mkoa wa Singida, nahitaji kuweka mashine hii ya Betting kwenye ofisi yangu.
Maswali Muhimu...
1. Je, nianzie wapi kupata mashine hii?
2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.