Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habar wakuu nauza cm yangu ya Nokia Lumia 710 IPO katika hali nzuri mno bei sh elfu 80 sababu za kuuza ni kwamba Window phone imenitoa jasho nimezoea Android akina Tecno kama Kuna yeyote...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nahitaji seat cover original za hari hio inayoonekana hapo
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Njombe institute inawatangazia nafasi za masomo kwa kozi mbalimbali za hoteli. Ada zetu ni nafuu sana na chuo kina mazingira mazuri ya kusomea pamoja na vitendo. Mwanafunzi anatafutiwa kazi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari ngudu, Ninatafuta watu tunawoweza kufanya biashara. Nita vitu vingi ambavyo tunaweza kuviuza Tanzania. Nguo mpya and mitumba from UK, viatu,football shirt (Jersey), Car spare parts, Tvs...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Wandugu, habari??? Kwa yeyote mwenye kiwanja maeneo ya Buyuni ulipo mradi wa PSPF au jirani anijulishe. Aseme ukubwa wa eneo lake na bei. Karibuni PM au email humble2080@yahoo.com
0 Reactions
4 Replies
1K Views
""Natafuta mteja/wateja wa mifugo mbuzi, kondoo na ng'ombe. Nina uzoefu mkubwa katika biashara hii maana nimeifanya kwa muda mrefu na asili yangu ni ufugaji. Kwa maelezo zaidi piga...
0 Reactions
1 Replies
597 Views
Natafuta mteja/wateja wa mifugo mbuzi, kondoo na ng'ombe. Nina uzoefu mkubwa katika biashara hii maana nimeifanya kwa muda mrefu na asili yangu ni ufugaji. Kwa maelezo zaidi piga namba:0659216426...
0 Reactions
0 Replies
581 Views
Natafuta kitanda 5-6 used bei na 70000 kama unacho nicheki 0716516563 niko dar kigamboni
0 Reactions
3 Replies
771 Views
Nauza iphone4s haina tatizo lolote ipo fresh bei 180000 na iphone5 yenye 16gb bei 320000 nicheki 0624055251
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu member wa Jf. Kwa mda huu niko Mbeya Nahitaji lain za M-pesa , Tigo- Pesa na Airtel Money, Kwa mtuyoyote aliyo nayo na anaweza na Anauza asisite kuwasiliana na mimi kwa kunipim...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Ni matumaini yangu kua unatatizo ndio maana umefika hapa, Kabla sijaendelea na dhumuni nililokusudia kueleza au kutatua tatizo ningependa kuweka wazi jambo lifuatalo, Kuna aina mbali mbali za watu...
0 Reactions
0 Replies
815 Views
Nataka mikaratusi iliyonyooka yenye Diameter 17-30 cm Nataka nyingi kadri unavoweza Miti kuanzia 400 nakuendelea 0682426975 0744769774
0 Reactions
1 Replies
931 Views
Nipo dar kuna tatizo la haraka wapo jike na dume 0656084311
1 Reactions
10 Replies
6K Views
Kiwanja kinauzwa Mapinga Bagamoyo.Kilomita moja na nusu toka Bagamoyo road.Kiko kàribu na kanisa na kanisa Katoliki Udinivu.Ukubwa ni 20 kwa 20.Umeme na maji viko kiwanjani.Mawasiliano 0652409259.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wana jf,kw uhitaji wa huduma zifuatazo karibu kwetu; 1) kuchimbiwa kisima ( water well drilling ) 2) kufanya Ground water survey 3) kutengeneza submeserble pump zilizo haribika 4) kufunga (...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Lina mwaka ila halijawahi kutumika.....ni combination ya accoustic na electric..... BEI 85,000/= tu
2 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari wanajamvi, Naomba kujua soko la dagaa wa Bukoba. Kwa yeyote anayefanya biashara hii tafadhali tupeane uzoefu. Natanguliza Shukrani
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Iwe imenyooka sana.... Isidaiwe vibali,body isiwe imepigwa rangi.....naaminsha gari iwe nzimaa Model iwe ya nwaka 2003 na cc zake ziwe ni 1300 Bei ya kununulia ni 9.5mln Kama unayo tuwasiliane...
0 Reactions
8 Replies
719 Views
Back
Top Bottom