Wakuu habar zenu..simu yang Samsung J1-6 ime kufa display...ntaka kujua bei ya display model yake J120 ...Kama kuna anayetaka kununua anichek PM tuongee bei
Salam.
Wandugu, nipo mbeya sina utaalamu na idea kwenye vyombo vya Moto.
Nimepasua KIBUBU changu ambacho nilihifadhia pesa ya kununulia piki piki ya kwenda nayo kwenye mizunguko mbali mbali ya...
Habari Wadau,
Nahitaji kununua used simtanks mbili zenye ujazo kuanzia 5000litres,zisiwe zimetoboka,pia other brands nanua e.g. kiboko,polytank etc
Bajeti :inategemea na condition ya...
J Je unahitaji kuscan document zako kiurahisi?
Jipatie hand scanner inayotumia betri uweze kuscan document/picha zako kiurahisi ukidhihifadhi kwenye memory card kwa mtindo wa pdf/img.
Ni rahisi...
Wasanii na makampuni yote ya kanda ya ziwa hii ni fursa kwenu.
RICK ENTERTAINMENT inakuletea studio ya kisasa Jijini Mwanza inaitwa REVOLUTION SOUND.
Hapa ndipo zimefanywa hits kibao kama,
Mo...
Wasanii na makampuni yote ya kanda ya ziwa hii ni fursa kwenu.
RICK ENTERTAINMENT inakuletea studio ya kisasa Jijini Mwanza inaitwa REVOLUTION SOUND.
Hapa ndipo zimefanywa hits kibao kama,
Mo...
-Ni used like brand new, maana toka siku ya kwanza hadi leo ipo kwenye screen protector na cover lake. Haina any scratches, haijapauka na ata mkwaruzo mmoja hamna.
Ni Duos, ina 32Gb internal...
Salaam wadau...nauza photocopy mashine aina ya Konica/Minolta C550 Bizhub proffesion. Inaprint A5,A4 na hata A3 .
Nimeitumia kiasi na iko poa sana.Nauza Mil 3.5.Mashine ipo Dar na kwa mawasiliano...
Habari za weekend wana JF
Nauza mashine yenye maelezo kama ifuatavyo:
1. Aina ya mashine ni CANON iR1024A
2. Inauwezo wa a. Printing b. Scanning c. Photocopy
3. Mashine bado ina hali nzuri sana...
NAMNA YA KUTAMBUA UDONGO WAKO
Kupima udongo kwa kutumia vidole
Chukua sampuli ya udongo kwenye kiganja cha mkono kisha ondoa mizizi, changarawe kubwa kubwa na mabaki ya mimea.
Kanda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.