Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Swali hili limekuwa linawatatiza watu wengi sana,na mara nyingi kukosa chaguzi ya wazo gani alifanyie kazi? OPTIMAX BUSINESS CONSULTANTS Wanaandaa michanganuo ya biashara(Business Plan)...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mkutano mkubwa wa injili unarushwa kwa TV na Radio na YouTube kutoka mwanza na unakufikia unakufikia nyumbani kwako moja kwa moja <live> au Mubashara kila siku kuanzia saa 11:30 jioni mpaka saa...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Corolla 110 namba B, inauzwa bei ni Tsh. 4,000,000/- (million nne), gari ipo katika hali nzuri na haina tatizo lolote, haidaiwi vibali na haina deni lolote, kama upo serious piga namba 0789443619...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Tikiti zinauzwa kwa bei nafuu. Jumla na reja reja sh.. 1000 kwa 2000 pia kwa 500 utapata. Tumeshusha mzigo pale tandare sokoni nyuma kidogo ya mazense. Piga simu. 0682 665574 au...
0 Reactions
1 Replies
758 Views
Iko kwenye hali nzuri. For more info check via 0676475414
1 Reactions
23 Replies
7K Views
Habari wakuu.Karibu ufurahie teknolojia mpya zitakazoongeza ufanisi,kupunguza gharama na kuongeza faida katika kazi zako.Tuna software mbalimbali kwaajili yako.Nazo ni: -Accounting Package for...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nahitaji seat cover original za hari hio inayoonekana hapo
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari yenu wadau napangisha nyumba nzuri ya vyumba vitatu na jiko na choo ..Nyumba bado mpya inapangishwa kwa sh 170000/ kwa mwezi pia nyumba iko mbagala -charambe- majimatitu : 0714218952,0687116582
0 Reactions
2 Replies
857 Views
Kwa anayehitaji Dish la DSTV linapatikana Tabata kwa bei tajwa hapo. Haipungui hata mia. Ninaliuza kwa kuwa nimekwisha acha kuangalia TV maiak miwili iliyopita (since then nakesha hapa JF, so I...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Nina shida ya haraka nauza Till yangu yya AIRTEL MONEY , inafanya kazi zote vizur ikiwa imeunganishwa na program ya kusajili Wateja. Bei: 75,000 maongezi yapo. Nipigie au Ni text: 0764586354...
0 Reactions
2 Replies
825 Views
Microsoft Nokia 3.5mm WH-108 Stereo Earphones Microsoft Nokia 3.5mm WH-308 Stereo Earphones Nitajie Location na Bei yake.
0 Reactions
0 Replies
666 Views
Habari? Chumba,sebule,jiko na choo inahitajika kwa haraka maeneo ya Magomeni Mapipa au Muhimbili... Budget 150,000/= ila inaongezeka kulingana na hadhi ya nyumba.. Nijulishe kupitia 0766444050 au...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
TUNAFUNDISHA SOFTWARE ZIFUATAZO: AUTOCAD, CIVIL 3D, REVIT ARCHITECTURE, ARCHICAD, LUMION, MS PROJECT NA MASTERSERIES (FOR STRUCTURAL DESIGN) KOZI ZINAANZA FEB 27 NA MARCH 1, 2017 MADARASA YA...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
hiana shida na imenyooka sana, ni namba c imenyooka.
0 Reactions
3 Replies
898 Views
Heshima kwenu wote, Nahitaji kusafirisha tiles box 75,kutoka Arusha kwenda Tanga mjini. Kwa yeyote mwenye lori linaloleta mzigo Arusha nakurudi Tanga na mzigo kidogo au tupu hilo litanifaa zaidi...
0 Reactions
2 Replies
830 Views
Mwenye nayo aweke Picha hapa Au njoo Pm
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Nyumba. (Master bedroom/guest room/sebule/jiko/verandah/public toilet/parking/fenced/own luku/maji ya ku-share/2.6kms toka Banana/14.2kms hadi city center. Location: Banana kipunguni near...
0 Reactions
0 Replies
703 Views
Habari za muda wakuu. Naomba kujuzwa kama naweza kupata privet hostel maeneo ya Kigamboni, utaratibu wa kupata upoje, vyumba vina ukubwa gani na ni gharama kiasi gani.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nauza gari aina ya toyota allex. Namba c. Ina rim, radio, tairi bado mpya na bado ipo bomba kabisa
1 Reactions
56 Replies
11K Views
Tangazo la Semina ya Ujasiriamali itakayofanyika siku ya Jumamosi 25th/02/2017 Ukumbi wa Golden Rose Arusha Mjini Kwanzia saa 2:00 Asubuhi hadi 12:00 Jioni. Kiingilio Tsh.10,000/= Semina hiyo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom