Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu habar zenu..simu yang Samsung J1-6 ime kufa display...ntaka kujua bei ya display model yake J120 ...Kama kuna anayetaka kununua anichek PM tuongee bei
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu, Naomba kujua mauzo ya Television za lg kutoka kwa dealers. TV kuanzia inch 43 kuendelea na bei zake.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Sony smart tv,inatumia wireless ina apps za ku stream videos YouTube, movies na hata baadhi ya tv station unaweza watch online Bei ni Tsh2,500,000
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Salam. Wandugu, nipo mbeya sina utaalamu na idea kwenye vyombo vya Moto. Nimepasua KIBUBU changu ambacho nilihifadhia pesa ya kununulia piki piki ya kwenda nayo kwenye mizunguko mbali mbali ya...
1 Reactions
51 Replies
21K Views
Habari Wadau, Nahitaji kununua used simtanks mbili zenye ujazo kuanzia 5000litres,zisiwe zimetoboka,pia other brands nanua e.g. kiboko,polytank etc Bajeti :inategemea na condition ya...
0 Reactions
0 Replies
728 Views
Je machine ndogo za karanga za umeme zinapatikana wapi ? Na bei ni ngapi?
0 Reactions
2 Replies
4K Views
natafuta fundi wa kuweka block glass kama yupo aniambie ana charge kias gani kwa sqm materials kwake pia.
0 Reactions
1 Replies
806 Views
J Je unahitaji kuscan document zako kiurahisi? Jipatie hand scanner inayotumia betri uweze kuscan document/picha zako kiurahisi ukidhihifadhi kwenye memory card kwa mtindo wa pdf/img. Ni rahisi...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wasanii na makampuni yote ya kanda ya ziwa hii ni fursa kwenu. RICK ENTERTAINMENT inakuletea studio ya kisasa Jijini Mwanza inaitwa REVOLUTION SOUND. Hapa ndipo zimefanywa hits kibao kama, Mo...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Wasanii na makampuni yote ya kanda ya ziwa hii ni fursa kwenu. RICK ENTERTAINMENT inakuletea studio ya kisasa Jijini Mwanza inaitwa REVOLUTION SOUND. Hapa ndipo zimefanywa hits kibao kama, Mo...
2 Reactions
0 Replies
921 Views
WHATSAPP +255 717 040837/+255 767 267664
3 Reactions
2 Replies
9K Views
Nauza photocopy machine canon IR 2420 kwa sh. 1m tu. Ni mpya. Nimetolea copy chini ya elfu mbili.
0 Reactions
11 Replies
5K Views
kwa sasa nipo nipegie kazi nkufanyie wiring ya nyumba magodown maghorofa glocery na clubs kwa bei rahiiisi 0762699310 Msafiri
0 Reactions
1 Replies
1K Views
-Ni used like brand new, maana toka siku ya kwanza hadi leo ipo kwenye screen protector na cover lake. Haina any scratches, haijapauka na ata mkwaruzo mmoja hamna. Ni Duos, ina 32Gb internal...
1 Reactions
31 Replies
6K Views
Salaam wadau...nauza photocopy mashine aina ya Konica/Minolta C550 Bizhub proffesion. Inaprint A5,A4 na hata A3 . Nimeitumia kiasi na iko poa sana.Nauza Mil 3.5.Mashine ipo Dar na kwa mawasiliano...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari za weekend wana JF Nauza mashine yenye maelezo kama ifuatavyo: 1. Aina ya mashine ni CANON iR1024A 2. Inauwezo wa a. Printing b. Scanning c. Photocopy 3. Mashine bado ina hali nzuri sana...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Inaitaji 1.8 m. Hakuna dalali
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Gari inauzwa hiyo... Bei 5.5Mil Kwa maelezo zaidi [emoji338]0714 514 009
0 Reactions
1 Replies
3K Views
NAMNA YA KUTAMBUA UDONGO WAKO Kupima udongo kwa kutumia vidole  Chukua sampuli ya udongo kwenye kiganja cha mkono kisha ondoa mizizi, changarawe kubwa kubwa na mabaki ya mimea.  Kanda...
7 Reactions
18 Replies
11K Views
Back
Top Bottom