Habari wana jf,kw uhitaji wa huduma zifuatazo karibu kwetu;
1) kuchimbiwa kisima ( water well drilling )
2) kufanya Ground water survey
3) kutengeneza submeserble pump zilizo haribika
4) kufunga (...
Iwe imenyooka sana....
Isidaiwe vibali,body isiwe imepigwa rangi.....naaminsha gari iwe nzimaa
Model iwe ya nwaka 2003 na cc zake ziwe ni 1300
Bei ya kununulia ni 9.5mln
Kama unayo tuwasiliane...
Tunauza mbao fupi za dawa zenye kudumu kwa muda mrefu na zisizo weza kushambuliwa na wadudu waalibifu
Pia itakuepusha na utapeli wa futi kwani mbao hizi ni bora sawa na zile ndefu za kupima...
Wandugu nahitaji shamba Mkoani mza. Ikiwa njia ya misungwi safi. Nahitaji kwa ajili ya mifugo hivyo maji ni muhim likiwa karib na ziwa pia ni vizur zaidi.
Tunauza mbao fupi za dawa zenye kudumu kwa muda mrefu na zisizo weza kushambuliwa na wadudu waalibifu
Pia itakuepusha na utapeli wa futi kwani mbao hizi ni bora sawa na zile ndefu za kupima...
heka saba zinauzwa Miwaleni Uchira metre 100 kutoka barabarani Moshi zinafaa kwa ujenzi wa shule zooo na recreation centre zna umeme maji na hati
bei @ heka moja ni sh 20 mill
0658825141...
Jiulize
Umewahi kutumia 90,000/Tsh mara ngapi bila kupata faida yoyote hata sent moja??????
Jiunge na H2i kwa mtaji wa 90,000/Tsh utengeneze kipato endelevu
Karibu tufanye kazi...
Kwa wale wakazi wa Tunduma Mbeya. Kuna uwanja mzuri na ulopimwa unauzwa kwa bei ya hasara. Kuna shida mbili tatu zinazofanya niuze.
Mawasiliano +255788927689. Bei tutaongea[emoji122] [emoji122]...
nauza printer HP 2130. ina print, copy and scan. Bei ni 100,000/= NI MPYA HAINA ZAIDI YA MIEZI MIWILI. SABABU YA KUUZA NILINUNUA KWA AJILI YA RESEARCH NIMESHAKAMILISHA RESEARCH YANGU...
Wakuu habar zenu..simu yang Samsung J1-6 ime kufa display...ntaka kujua bei ya display model yake J120 ...Kama kuna anayetaka kununua anichek PM tuongee bei
Salam.
Wandugu, nipo mbeya sina utaalamu na idea kwenye vyombo vya Moto.
Nimepasua KIBUBU changu ambacho nilihifadhia pesa ya kununulia piki piki ya kwenda nayo kwenye mizunguko mbali mbali ya...
Habari Wadau,
Nahitaji kununua used simtanks mbili zenye ujazo kuanzia 5000litres,zisiwe zimetoboka,pia other brands nanua e.g. kiboko,polytank etc
Bajeti :inategemea na condition ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.