Habarbya asubuhi ndg zangu,
Kuna mti aina ya mtopetope unafanana sana na mstafeli nawengne huuita mstafeli wa kiswahili ila wenyewe hutoa matunda madogo na matunda yake hyana vipele juu kama...
Habari za muda huu ndugu zangu,
Hii ni GARLIC PASTE Kitunguu swaumu kilichosagwa na kusingikwa,
Ni product ya Tanzania
Ni Tsh5000 tu
Pia nauza kwa Jumla
0714547830- napatikana dar
Salaam wana JF!
******
Nimepoteza/kuibiwa laptop bag ikiwa na laptop aina ya Dell na external hard disk kwenye bus la Abood, j4 tarehe 14. March nikiwa safarini usiku, Morogoro=> Dar.
Zawadi ya...
Nauza Laptop aina ya Dell yenye 160gb disk 2gbRam 4.2procesor ina camera mbele inatunza chaji masaa 3 ina tatizo moja kioo kina risk..bei maelewano piga simu 0715673024 napatikana dar es salaaam.
HABARI NJEMA KWAKO!
Je, Wewe au Ndugu yako Amemaliza kidato cha Nne na amepata alama D"tatu za masomo yoyote? KP" PROFFESSIONAL SERVICES (KPS) kwa kushirikiana na Bodi ya manunuzi na Ugavi (PSPTB)...
Habari za leo wana JF,
Ninahitaji incubators zenye uwezo wa kuchukua mayai kati ya 140-180, kwa yeyote mwenye nazo naomba aje PM ili tuwasiliane ili tufanye biashara.
Asante.
Mambo yetu wakuu,
Naomba msaada, kwa yeyote mwenye uelewa wa namna ya kupata machine ya kukamulia mafuta ya alizeti pamoja na bei zake. je Hapa Tanzania zinapatikana? Au bora kuiagiza nje? Kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.