Rejea heading hapo juu..
Jiko la gesi brand ya boss in good condition pamoja na mtungi wa gesi wa kilo 15 au saizi ya kati, kampuni ya lake ukiwa na gesi yake ndani, vinauzwa kwa bei ya 150k...
Tunatengeneza tovuti kwa ajili ya watu binafsi, kampuni, taasisi , mashirika na vyuo. Gharama itahusisha vitu vifuatavyo:-
- Logo 1 bure
- Domain name bure mwaka mzima.
- Hosting bure, mwaka...
Kama wewe ni mjasiriamali basi usipitwe na fursa hii kabambe. Kama wanavosema biashara matangazo jitangaze sasa na Tabibu TV.
Tabibu TV maisha huanza na sisi.
Tunapiga wirring kwa bei poa kabisa popote tunakija tuna maliza shida zako zote na tuna vitambulisho kabisa kitoka chang'ombe veta dsm. Mawasiliano 0716516563/ 0724741159
Nyumba ya kisasa yenye ubora wa hali ya juu ipo Mbagala Chamazi kituo cha Magengeni.
Nyumba ni mpya ipo karibu na barabara na huduma zote za jamii. Bei yake ni 65 milion.
Nyumba ina documents...
Kiwanja chenye ukubwa wa 1600sqm kipo bunju Kinauzwa.
Kipo upande wa Mog secondary.
Kiwanja kina hati halali kabisa
Kipo mkabala na hospitali binafasi kubwa inayojengwa eneo hilo.
Kipo kwenye...
Nyumba yenye vyumba 8 na kiwanja heka moja inauzwa ipo mafinga Iringa km 4 kutoka barabara kuu iendayo dar na km 3 kutoka kambi ya jeshi ya mafinga bei milioni 35 tu kwa wanaohitaji tuwasiliane...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.