Toyota Ractis 2006....
Cc 1490....
Km 80000.....
Ufunguo
Gray...
Full Body kit...
Reem Sport...
Gari Haidaiwi Vibali....
Na Wala Haigongi Chini...
Matairi Mapya Kabisaaa...
Inataka Milion...
Picha zinajieleza zaidi
Ina vyumba vitatu chini, viwili juu +parking + maji +umeme, kila chumba na choo chake, dining na sebule kubea,stoo na bustani
Ipo Kigamboni Kibada km 10 toka Ferry...
Salamu wakuu, naomba mwenyeji ama mwenye uelewa na mji wa Morogoro, ni sehemu Gani nzur kujenga kwa Sasa na vipi upatikanaji wa viwanja? Kwa ukubwa wa ekari moja ivi? Maji na Vifaa vya Ujenzi...
Habari zenu wapendwa, matumaini yangu kuwa hamjambo na mnaendelea na majukumu ya kusukuma gurudumu la maisha.
Nisingependa kuweka personal life yangu hapa, sema imenibidi kulingana na hali halisi...
Kipo Madale kwa Kawawa, kilometer moja kutoka Barabara ya Madale ilipo nyumba ya Mzee Kawawa.
Kina ukubwa wa hatua 25x25. Kipo kwenye makazi ya watu na kina nafasi za kutanuka kulia na kushoto...
Wakuu kama kuna mtu AU nduguyo anahitaji MACHINE ya aina yeyote ile, tuwasiliane hapa hapa JF nitampa mwongozo wa jinsi ya kunipata au kuipata, kwa aliye serious anitumie mawasiliano yake kwenye...
Habar zenu wakuu...
mimi ni kijana ambaye nimeamua kujiajili kutoa huduma ya umesenja mkoani mbeya, huduma zangu ni
1-kupeleka nyaraka(documents) ndani ya mbeya
2-kutuma nyaraka au mzigo nje ya...
Kesho 3.3.2017 nitakuwa mubashara Atv ya Abood Media kuelezea ubunifu na ugunduzi wa mashine ya chaki na Mradi wa Kiwanda cha chaki Niliufanya baada ya kuanzisha Taasisi ya KITAAvation ambayo...
jaman mambo vipi?
nina shamba langu liko mkuranga mbele za office za Halmashauri na kina ukubwa wa hekari moja plus sasa naomba kupata contact za madalali wa Mkuranga wanisaidie kuuza
We provide all intelligent solutions for your business, E commerce, management and bring any imagination you have for your business to life!
With 16 years of experience in ICT.
We exceed the...
Gari corolla 110 inauzwa, ipo Dar Tabata, kwa bei ya 3.5 Million. Haidaiwi vibali na haina deni lolote, haina historia ya ajali.
Njoo ukague gari, kwa mnunuzi serious apige 0789443619
Nauza Toyota Prado
Model: E-RZJ95W
Ukubwa wa jiko (injini) cc 2690
Rangi nyeusi
Inatumia petroli
Imetembea km 200,000
Imetumika muda mfupi sana hapa Tanzania
Gari ipo Dar Es Salaam
Bei: 22m...
Wandugu, nilinunua laptop yenye spec hizo hapo juu approximately 3 weeks ago (Nina Kila kitu Chake), na Box kwa bei ya: $800. Is a very good dell laptop. Sasa nimepata ka project wamenipa mpya na...
Habari
nauza Pampers nzuri sana za watoto za kufua. Zipo kama zinavoonekana kwenye picha,muonekano mzuri.Pampers moja ni Tsh 22,000/= inakuwa moja pamoja na nappy(insert) yake moja.
Ukihitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.