Anatafutwa mtaalam wa kuandaa pizza, sandwich, burger, nk. kwa kiwango cha hali ya juu. Awe tayari kuishi mkoani maana ndiko biashara inakotarajiwa kufunguliwa . (makao makuu ya mkoa fulani...
Nimesoma maelezo kwenye mtandao husika, wameandika kuwa inatumia electricity. Je, is it reliable kwa mazingira yetu ya hapa bongo? Mtu mzoefu naomba anisaidie
Kipo Madale kwa Kawawa, kilometer moja kutoka Barabara ya Madale ilipo nyumba ya Mzee Kawawa.
Kina ukubwa wa hatua 25x25. Kipo kwenye makazi ya watu na kina nafasi za kutanuka kulia na kushoto...
Habari,
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Napatikana Dar na nlikua nahitaji miche michache kwa ajili ya kupanda nyumbani kwangu japo nipate matunda toka nyumbani.
Naomba msaada wa kujua wapi...
Ndugu zangu,
Kwa jina naitwa Fabian,umri wangu ni miaka 30 nipo mkoa wa Dar es salaam,elimu yangu ni taaluma ya teknolojia ya habari ngazi ya cheti tu,kutokana na kukosekana kwa ajira hapa kwetu...
Karibisha ndugu jamaa na wahamie smart na namba zao zilezile za mitandao mingine wapate kuongea BURE mwaka mzima na gharama nafuu kupiga Simu mitandao mingine kwa bei nafuu zaidi.
Shule imesajiliwa ina zaidi ya miaka nane tangu imeanzishwa ina madarasa 15, mabwen 10, nyumba za walim 5, bwalo kubwa la kisasa, store 1, uwanja wa mpira wa miguu (football), uwanja wa mpira...
kioo inch 15 imetumika ipo kwenye hali nzuri chaji 3hrs haina shida yoyote zaidi ya adapta ilidondoka ikaachia kidogo nauza ninashida nahela fast, tuongee biashara thru 0774808742 NOTE:usinicheki...
Habari zenu wana JF mika mingi sijaingia hapa leo nimewakumbuka
kama kichwa cha habari hapo juu hivyo jamani nina nyumba hiyo hapo chini haijakamilika imebaki kupauwa na kuezeka bati tu kwengine...
Kiwanja size ya 35 *45 mtrs kinauzwa karibu na chuo kikuu cha muhimbili university Kipo kibamba CCM .
Kwa maelezo zaidi..piga simu 0757464131 au 0759003146.
Mwenyewe sio dalali.
Ukubwa wa Kiwanja:sq meter 1200
Ina fensi na getiI kubwa upana meter 4 serv coater
____________________
Master bed rooms: 2
Normal bed room :1
Bafu na choo cha public
Jiko la kisasa ndani...
Habari
I-SECURITY TECHNOLOGY (IST)
wamegosogezea huduma bora zaidi mlangoni kwako
Pata CAR TRACKING SYSTEMS na uwe huru na vyombo vyako vya usafiri na magari ya mizigo unavyomiliki
Kwanini uweke...
ELNET AFRICA ni nini?
Entrepreneur Leaders Network Africa
Ni jukwaa au mfumo unaosaidia kuinua mitaji ya wajasiliamali wadogo kwa kuchangiana wenyewe katika mtiririko mzuri.
Kauli Mbiu ...
Hii inatokana na kukosekana kwa mzigo makao makuu maagenty na madealers wanauza bei watakazo na co ile elekezi, king'amuzi cha azamtv pamoja na dish kilikuwa135,000/=, kwa sasa king'amuzi hicho ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.