Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Toyota Ractis 2006.... Cc 1490.... Km 80000..... Ufunguo Gray... Full Body kit... Reem Sport... Gari Haidaiwi Vibali.... Na Wala Haigongi Chini... Matairi Mapya Kabisaaa... Inataka Milion...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Picha zinajieleza zaidi Ina vyumba vitatu chini, viwili juu +parking + maji +umeme, kila chumba na choo chake, dining na sebule kubea,stoo na bustani Ipo Kigamboni Kibada km 10 toka Ferry...
1 Reactions
26 Replies
5K Views
Naitafuta hiyo simu iwe dual sim. Anayejua duka ilipo tafadhar kat ya dar, mwanza, kagera.
0 Reactions
0 Replies
913 Views
Salamu wakuu, naomba mwenyeji ama mwenye uelewa na mji wa Morogoro, ni sehemu Gani nzur kujenga kwa Sasa na vipi upatikanaji wa viwanja? Kwa ukubwa wa ekari moja ivi? Maji na Vifaa vya Ujenzi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wapendwa, matumaini yangu kuwa hamjambo na mnaendelea na majukumu ya kusukuma gurudumu la maisha. Nisingependa kuweka personal life yangu hapa, sema imenibidi kulingana na hali halisi...
2 Reactions
31 Replies
4K Views
Kipo Madale kwa Kawawa, kilometer moja kutoka Barabara ya Madale ilipo nyumba ya Mzee Kawawa. Kina ukubwa wa hatua 25x25. Kipo kwenye makazi ya watu na kina nafasi za kutanuka kulia na kushoto...
0 Reactions
3 Replies
989 Views
Wakuu kama kuna mtu AU nduguyo anahitaji MACHINE ya aina yeyote ile, tuwasiliane hapa hapa JF nitampa mwongozo wa jinsi ya kunipata au kuipata, kwa aliye serious anitumie mawasiliano yake kwenye...
0 Reactions
51 Replies
22K Views
Habar zenu wakuu... mimi ni kijana ambaye nimeamua kujiajili kutoa huduma ya umesenja mkoani mbeya, huduma zangu ni 1-kupeleka nyaraka(documents) ndani ya mbeya 2-kutuma nyaraka au mzigo nje ya...
0 Reactions
0 Replies
677 Views
RAV4 milion 7.5.GARI IMENYOOOKA FULL VIBALI FULL AC CHINI IMEKAZA GARI sio ya kuiacha ukihtaji RAV4. Call 0755155782
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Kesho 3.3.2017 nitakuwa mubashara Atv ya Abood Media kuelezea ubunifu na ugunduzi wa mashine ya chaki na Mradi wa Kiwanda cha chaki Niliufanya baada ya kuanzisha Taasisi ya KITAAvation ambayo...
0 Reactions
3 Replies
956 Views
jaman mambo vipi? nina shamba langu liko mkuranga mbele za office za Halmashauri na kina ukubwa wa hekari moja plus sasa naomba kupata contact za madalali wa Mkuranga wanisaidie kuuza
0 Reactions
17 Replies
2K Views
We provide all intelligent solutions for your business, E commerce, management and bring any imagination you have for your business to life! With 16 years of experience in ICT. We exceed the...
1 Reactions
0 Replies
786 Views
Gari corolla 110 inauzwa, ipo Dar Tabata, kwa bei ya 3.5 Million. Haidaiwi vibali na haina deni lolote, haina historia ya ajali. Njoo ukague gari, kwa mnunuzi serious apige 0789443619
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Nauza Toyota Prado Model: E-RZJ95W Ukubwa wa jiko (injini) cc 2690 Rangi nyeusi Inatumia petroli Imetembea km 200,000 Imetumika muda mfupi sana hapa Tanzania Gari ipo Dar Es Salaam Bei: 22m...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Wandugu, nilinunua laptop yenye spec hizo hapo juu approximately 3 weeks ago (Nina Kila kitu Chake), na Box kwa bei ya: $800. Is a very good dell laptop. Sasa nimepata ka project wamenipa mpya na...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Jamani natafuta majiko ya kuni ya kisasa kwa anayefahamu yanapouzwa msaada jamani
0 Reactions
2 Replies
784 Views
Make : Toyota. Model : Altezza. Year of manufacture : 2004. Mileage : 80,000km Engine : Vvti. Transmission : Automatic. Fuel : Petrol. Price : 8 mil negotiable. Gari ni 6 cylinder inapatikana...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Natafta tablet ya lenova yakununua mwenyenayo tuwadiliane 0769185359
0 Reactions
3 Replies
807 Views
Habari nauza Pampers nzuri sana za watoto za kufua. Zipo kama zinavoonekana kwenye picha,muonekano mzuri.Pampers moja ni Tsh 22,000/= inakuwa moja pamoja na nappy(insert) yake moja. Ukihitaji...
0 Reactions
24 Replies
13K Views
Natafta tablet ya kununua aina ya Lenova
0 Reactions
0 Replies
547 Views
Back
Top Bottom