Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

POWER BANK For mobile Phone/MP4/iPhone/Pad Input:5V/1A Output:5V1A&5V/2A Capacity: 12000mAh Tsh" 55,000/= POWER BANK For mobile Phone/MP4/iPhone/Pad Input:5V/1A Output:5V1A&5V/2A Capacity...
0 Reactions
0 Replies
532 Views
Model Huawei G6-U10 Ram 1Gb Phone storage 4Gb Android Version 4.3 Ina 4G Camera 8/5 MP Bei 300k (laki 3),Negotiable. Kwa serious buyers cheki nami PM kwa mawasiliano na picha zaidi...
2 Reactions
33 Replies
3K Views
Simu iko poa ila betri linazingua ni la kubadilisha tu, na mfuniko wake haufungi fresh ila yenyew iko poa bei ni 65000 tu, atakae hitaj aniPM tufanye biashara!
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Igweeeee, Msaada wenu wakuu, Nahitaji chumba cha kupanga Singida manispaa, Kiwe chumba na sebule ila kiwe self contained, kisiwe mbali sana na hospitali ya mkoa, kiwe na tiles, Naombeni msaada...
0 Reactions
0 Replies
656 Views
Viwanja 2 vinauzwa viko bagamoyo kimarang'ombe, vyote vina hati bei sh 6,000,000 kila kimoja, piga 0715-744767.
0 Reactions
0 Replies
874 Views
Kiko eneo la makutano Musoma kina ukubwa wa hekari 1.5 kwa ambae anahitaji anicheki kupitia 0764339400 au 0625774881 Karibuni
0 Reactions
1 Replies
933 Views
Haya wadau,ule mzigo wa GPS/GSM/GPRS-KUTRACK GARI ILIYOIBIWA KWA KUTUMIA SIMU-SMS. UPO DAR-ES-SALAAM SASA. bei yetu ni poa sana. huitaji kuwa na simu za kisasa,hata simu za mkulima,tochi zinafaa...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Inauzwa hiyo Bei 150,000 maelewano yapo
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Hii sio ya kukosa, Laptop HP mini na Sabufa vipo sokoni, laptop kwa haraka haraka ina 2GB RAM, Webcam, 300GB Hard disk, mashine ipo vizuri, housing ndio kidogo imechoka unaweza ukabadilisha au...
3 Reactions
29 Replies
6K Views
Hallelujah!!!!! Naombeni mnisaidie kunieleza ni King'amzi gani ambacho bandle zake ni bei ndogo kuliko. Hasa ukizingatia kwamba kipindi hiki ni kigum kwangu ki-uchumi.
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Kwa yeyote mwenye uhitaji wa laini za Tigo pesa na mpesa mm nauza, kwa mawasiliano zaidi piga 0655663443
0 Reactions
20 Replies
4K Views
I secure technology tuna install Gps system kwa gharama nafuu zaidi Karibuni. +255 715 331 029 isecuretechnology@yahoo.com
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Nahitaji hostel maeneo ya kigamboni isiwe mbali sana na farry na chumba atleast cha wawili na gharama iwe nafuu
0 Reactions
1 Replies
846 Views
Hostel Hostel kuna nafasi ya Hostel maeneo ya Kigamboni Magogoni Hostel iko karibu kabisa na kituo cha Basi Maduka au Hanters. Ulinzi na Maji nina vya uhakika na iko ndani ya Fensi Chumba kimoja...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hello, Kama kampuni halali, tumebuni na tumedhamilia kuanzisha Huduma ya kusaidia wakazi wa nje ya mkoa wa DSM wenye lengo la kupata bidhaa jijini DSM bila wao kuja DSM kila Mara. Au wao kutafuta...
0 Reactions
4 Replies
786 Views
Tuna fanya Programming ya funguo za magari zinazotumia sensor(transponder) na smart key(keyless or push to start key).kwa magari aina zote yaani TOYOTA,VW,BMW,FORD nk. Kama unahitaji funguo ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
I secure technology tuna funga fence za umeme na installation ya cctv cameras Contact us; isecuretechnology@yahoo.com www.isecure.co.tz
0 Reactions
24 Replies
9K Views
Tano kwa sita bei isizidi laki moja mwenye nacho anichek 0716516563 nipo dar kigamboni..
0 Reactions
23 Replies
3K Views
natafuta mtumishi wa kubadilidhana kituo nipo bumbuli lushoto afya 0766256965
0 Reactions
0 Replies
553 Views
Back
Top Bottom