Habari zenu wadau,
Kidogo nilikuwa nahitaji mchango wenu wadau kuhusu gharama za ujenzi kwa nyumba ya vyumba vitatu Dar es Salaam kwa kuzingatia bei za vifaa vya ujenzi kwa miaka ya karibuni. Bei...
Ni aina ya samsung galaxy grand2..
G7 102...dual sim
Ram ni 1.5gb na internal memory 8gb
Bei ya kuuza ni 300,000/
Kwa mawasiliano piga sim 0715591141 dar
Nyumba iko Tabora mjini. Kama unahitaji ni PM.
LOCATION - CHEYO ‘A’ TABORA MUNICIPALITY
PLOT AREA - 21.6m X 32.5m
PLINTH AREA - 250sqm
No. OF BEDROOMS - 5Nos. including 1No. Master B/ROOM...
Salaam wana JF
Kwa yeyote anayeuza Green House, ziwe zilizotumika lakini ziko hali nzuri au hata kama ni mpya, tafadhali naomba awasiliane na mimi.
Nawasilisha
Salaam wana JF
Kwa yeyote anayeuza Green House, ziwe zilizotumika lakini ziko hali nzuri au hata kama ni mpya, tafadhali naomba awasiliane na mimi.
Nawasilisha
Hello everyone !!
Natafuta mtu aniuzie simu yenye condition nzuri,used smartphone, brand ya #samsung
Bei isizidi laki 2.
Karibu PM kwa maongezi zaidi ya kujua location na kufanya biashara...
GTs wenzangu poleni na joto, nahitaji portable AC hasa za brand nzuri, nikipata BTU 14000 itakuwa bora zaidi ila hata 9000 kama kuna mtu unajua zinapopatikana.
Naongelea AC sio air coolers.
Salaam,
Ninahitaji mtu anayejua karate vyema ili anifundishie vijana wangu aged 7 & 12.
Hii ni katika kuwaweka fiti ili mtu akiwazingua huko mashuleni ama popote waweze kujitetea vyema.
Self...
Dental Clinic Management System provides user-friendly and comprehensive functions covering standard patient records, configurable treatments and billings, and integrated inventory, accounts and...
Habari wadau,
Unaweza ukapata neti nzuri sana kwa gharama ndogo ya elfu 60 na kulala usingizi mzuri na amani wakati wa usiku kwa gharama ndogo kama hii. Utaletewa popote Dar es salaam, na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.