Manages sales, purchasing, hr, payroll, , assests, bank reconciliations, appraisals, multiple POS points, financial reports. The software can be customized to fit your business needs. Contact us...
Wakuu, Nissan civilian bus inauzwa. gari iko kwenye hali nzuri na iko barabarani. Bei ni Tsh.17, mazungumzo yapo, kwa mawasiliano piga 0657457971 au 0685247148 Ili uweze kuiona gari.
OFA YA PASAKA IMEANZA SASA.
HABARI NJEMA KWA WANAOHITAJI KUCHIMBIWA VISIMA VYA KARAVATI.
TUNACHIMBA KWA BEI NAFUU.
KWA WANAOHITAJI KWA MASHAMBANI TUNAWACHIMBIA MITA 65 KWA MILIONI 3.8.
KWA...
Kampuni Boss, nilinunua mwezi wa 10, used for 2 months, ukiwa maji dk 20 yanakuwa jiwe, ina milango miwili na sehemu ya kungandishia, ni froth free, ina warranty na fridge protector njoo, urefu...
OFA YA PASAKA IMEANZA SASA.
HABARI NJEMA KWA WANAOHITAJI KUCHIMBIWA VISIMA VYA KARAVATI.
TUNACHIMBA KWA BEI NAFUU.
KWA WANAOHITAJI KWA MASHAMBANI TUNAWACHIMBIA MITA 65 KWA MILIONI 3.8.
KWA...
OFA YA PASAKA IMEANZA SASA.
HABARI NJEMA KWA WANAOHITAJI KUCHIMBIWA VISIMA VYA KARAVATI.
TUNACHIMBA KWA BEI NAFUU.
KWA WANAOHITAJI KWA MASHAMBANI TUNAWACHIMBIA MITA 65 KWA MILIONI 3.8.
KWA...
Nauza laptops mpyaaa!Nipo ujipatie
Bei ni 500000/
Zipo na begi yake na adapter.....yaani complète
Aina zilizokuwepo ni acer,samsung
Kwa mawasiliano zaidi piga sim
0715591141 nko dar
Spécification...
Heshima kwenu wanaJF, nahitaji madirisha 7 ya aluminum, 4 ukubwa ni futi 5x5 na 3 ni futi 4x5 yafitishwe kwenye nyumba iliyopo Kibaha. Uwezo wangu ni sh. 175,000/- kwa dirisha kila kitu mpaka...
Habari zenu wakubwa
natafuta ni sehemu gani wanakodisha mashamba kwa mwaka nataka nianze na kilimo cha vitunguuu maji na matikiti,na mpunga nataka nianze na kama heka tatu ivi..sijui ni sehemu...
Linatafutwa eneo la kufanyia biashara ya uoshaji wa magari.
Eneo hilo liwe Dar es salaam.
Maeneo ya Mbezi beach, kunduchi, Mabibo, Sinza, tegeta,
Sifa
Liwe ni eneo Ambalo lipo Karibu na barabara...
habari humu wana jf me nipo hapa kilosa mjini nafuta halotel mobile na ile ya mezani. naomba nijulishwe mahali zilipo hapa kilosa ili nikanunue. nipewee bei zake
Kama kichwa kinavyojieleza.
Nina laki 3 na nusu 350,000/= ninahitaji tv used 32 inches lg ama samsung led tv.
Pesa cash iko mkononi.
Address;
Mbagala, DaresSalaam
Habari
Wapendwa wote mlioko sehemu zisizo na umeme au ni Gharama kuvuta au Kwa tatizo lolote. Vodacom ikishirikiana na mkopa solar Tz Ltd inatoa umeme wa solar system ambayo ina taa maalumu 4 ina...
Habari wakuu kampuni ya one2onefocus limited inayohusika na ujenzi wa nyumba za garama nafuu kuanzia mil 32 tu . Pia inahusika na upimaji wa viwanja
Mambo ya kuzingatia kabla ya kuleta maombi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.