Madalali Mkuranga Wanaitajika

Madalali Mkuranga Wanaitajika

hp4510

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
8,885
Reaction score
9,633
jaman mambo vipi?

nina shamba langu liko mkuranga mbele za office za Halmashauri na kina ukubwa wa hekari moja plus sasa naomba kupata contact za madalali wa Mkuranga wanisaidie kuuza
 
jaman mambo vipi?

nina kiwanja changu kipo mkuranga mbele za office za Halmashauri na kina ukubwa wa hekari moja plus sasa naomba kupata contact za madalali wa Mkuranga wanisaidie kuuza
Kimepimwa?kina hati?
 
sasa hicho kiwanja au Shamba mkuu? kwa nini unatafuta madalali wakati wateja tupo humu? bei kiasi gani?
 
Hapana bado hakijapimwa ila document zote zipo na kuna baadhi ya mazao yamepandwa kwenye hilo shamba na liko barabarani kabisa...
Documents za aina gani ulizonazo mkuu
 
sasa hicho kiwanja au Shamba mkuu? kwa nini unatafuta madalali wakati wateja tupo humu? bei kiasi gani?

Bosi natafuta Madalali kwa vile wso wana connection ya watu wengi
 
Nivumilie mwezi na NNE nikupe hela nasubiria Mkopo
 
Back
Top Bottom