Habarini wakuu.
Natumai mko poa,
Msimu wa kupanda unakaribia, hivo nimeonelea ni bora kutafuta gari nzuri ya kwenda mashambani hasa msimu wa mvua ambapo pikipiki inakulazimu kunyeshewa.
Budget...
Nyumba mbili mpya za kisasa vyumba vinne kimoja master jiko sebule na store room..ukubwa wa eneo ni 25*30 viwanja vime pimwa na vina hati..milango na madirisha ya grill tayari.
Nyumba moja ina...
Je unataka nyumba yako ipendeze na na kuonekana katika mwonekano Wa tofauti? Bila shaka jibu ni ndiyo,
Tunapaka rangi,, kuskimu, wallmaster, na kila kinachohusiana na rangi, hata kama nyumba...
baada ya kukusanya mayai ya kutosha ...Natangaza Rasmi Leo Kuwa wale wapenzi wa nyama ya kuku sasa inapatika kwangu ...nauza kuku ....kwa maelezo zaidi Kama ungependa kuwapata 0657033804
Kiwanja kipo kwa mromboo maeneo ya "kwa mwenyekiti" maeneo ya dampo kama unaelekea check point au shule ya intel.
Bei 3.5M(Negotiatable)
Ukubwa mita 17 x 10
Contact 0758293598
Habari ndugu zangu..tumerudi tena kutoa huduma za uhakika na za kuaminika...kwa wale waliopo au wanao tegemea kuja Dodoma..msipate tabu wala kuhangaika tena kuhusu vyumba vya kupanga au viwanja...
Pikipiki aina ya pasole inauzwa bei 800k
Cc :50
Fueli consumption is low iko vizuri kwa matumizi ya kawaida karibu sana kwa mawasiliano piga 065924488
Mazungumzo yapo
This is located in a popular residential area of Mbezi Beach. This flat has a separate door to the outside from other flats in the same building and on two floors it’s on two floors, meaning a bit...
Naomba kujulishwa au kama hum ndani kunamtu anaweza kupata maziwa kwa kila wiki Lita 100 kwa kuanzia ani pm.. Ni biashara ya uhakika kwangu...
Karbuni wakuu..
Kwa wale wavunjavunja magari...nahitaji mswaki wa krikuu injini ya kabuleta....ila iwe nzima kabisa, nimetafuta shaurimoyo zipo ila bei zimesimama mno...1m-800k
Mimi nina chini ya hapo. Mwenye...
HABARI NJEMA KWAKO!
Je, Wewe au Ndugu yako Amemaliza kidato cha Nne na amepata alama D"tatu za masomo yoyote? KP" PROFFESSIONAL SERVICES (KPS) kwa kushirikiana na Bodi ya manunuzi na Ugavi (PSPTB)...
Lipo ktk tarafa ya lupembe mkoani njombe
Shamba linafaa kulimwa miti ya mbao, parachichi pamoja na nanasi
Linauzwa kuanzia heka kumi na kuendelea
Kwa mawasiliano zaidi nipigie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.