Habari wakuu! Kama title inavyojieleza hapo, Simu ipo in a very good condition, Price 420K, bado mpya kabisa Ina miezi 3 tu tangu inunuliwe duiani.
Unaweza kuja DM kwa mawasiliano zaidi.
Makochi set nzima laki 3 ,hata moja moja nauza ,vitanda Kuna cha nne kwa sita na sita kwa sita vyote na magodoro yake kila kimoja 200,000,fridge laki mbili Wateja karibuni ,makabati elfu 70 kila...
Makochi set nzima laki 3 ,hata moja moja nauza ,vitanda Kuna cha nne kwa sita na sita kwa sita vyote na magodoro yake kila kimoja 200,000,fridge laki mbili Wateja karibuni ,makabati elfu 70 kila moja.
Najua wajua ila nakukumbusha tu.
Ile kazi yako unayotaka kuifanyia Translation au Editing (Ufasiri au Uhariri),
usisite kuni-pm. Yaani ni faster, effective, correct and superb.
Je ni nini?
Ni...
Yapo kibaha kwa kipofu...kilomita nne kutoka morogoro road ..umeme maji yapo zipo hekari 9..na wameshaita surveyor wanao mchoro ...ni mashamaba ya familia wameamua kuyauza wagawane urithi hakuna...
Kwa mahitaji ya vifaranga wa kuku wa kienyeji:-
Bei
Umri wa siku 1 ni Tsh 2,000
Umri wa wiki mbili Tsh 3,000
Umri wa mwezi mmoja Tsh 3,500
Tunapatikana Kanyama - Kisesa mkoani Mwanza...
kwema wakuu? km una dish na dercoder ya zamani ya zuku kwa maana zile dercoder kubwa na nyuma ina sehemu ya usb basi huna haja ya kuiweka kapuni, kuna mbinu zaidi ya kukufanya uifurahie, kwa imfo...
+255 657 685 268 WhatsApp!
Pata ramani za nyumba za kisasa za kuishi familia sehemu nzuri na salama kwa afya, uhuru na furaha!
1 chumba master
2 vyumba vya kawaida
Sebure,
Dining, jiko na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.