Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari Ndugu, tunatoa huduma ya Video Shooting kwa Music aina zote, Movies, Matangazo, Events na vitu zote zinazohusu shooting..... Gharama yetu ni rahisi saana, tunapatikana njia panda ya Segera...
2 Reactions
2 Replies
926 Views
.
0 Reactions
0 Replies
423 Views
MENU YA ElFU 7000,kuku robo,wali mauwa ,pilau,nyama ya ng'ombe rosti,njegele Nazi,ndizi nyama Nazi,tambi,saladi, tunda,maji uhai nusu kwa wote.ugali kwa wahitaji(chakula cha asili). Pia zipo menu...
0 Reactions
0 Replies
7K Views
Ipo kigamboni hii ni mpya Bei: laki 2.5 (miezi 6) Vyumba viwili kimoja master, jiko, , public toilet na sitting room,fence na parking Luku na maji vinajitegemea Ndani ya kompaundi kuna nyumba...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Bei tsh milioni 25 Iko Mwemberadu kigamboni Km 2 toka kwenye Pantoni +vyumba vinne +Sebule +tiles Ina Umeme Maongezi Yapo Unaweza ifanya hostel, kwani kuna wanafunzi wengi wa chuo wanahitaji...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Kiwanja kipo kange stendi mpya, kinaukubwa wa m20x30 kipo karbu na stendi kuu ya mabasi tanga, bei ya kiwanja ni mil 5.8 mazungumzo yapo, kiwanja kinaoffer.. Kwa mawasiliano pga no. 0713 575797
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wanajamvi. Natumai muwazima, namiliki biashara na hapo awali nilisajili Brela kama sole proprietor ila kutokana na malengo niliyokua nayo awali na ukuaji wa fursa nataka kuisajili kama...
0 Reactions
2 Replies
724 Views
Wadau, heshima kwenu. Mimi ni mpiga picha mwenzenu niko Geita Natafuta zile background za studio (vile vitambaa maalum vya studio kwa ajili ya kupigia picha za still) Vinakuwa kama picha flani...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Anayeuza mabati ya M-SOUTH nahitaji... 0769321005 serious.
0 Reactions
1 Replies
685 Views
Wadau mwenye ufahamu wa hili naomba taarifa. Natafuta kasuku. Bei yake ikoje?
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Nataka kitanda cha mbao (aina ya bufa) 5kwa6 haijerishi kipya au used.....ofa yangu 200000, nipo mbagala
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wadau. Nina kuku watatu wa kienyeji pure nawauza. jogoo mmoja na majike mawili, woote kwa pamoja wanagharimu elfu hamsini za kitanzania. karibuni sana napatikana kivule. ukihitaji kama uko...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Naomba kwa mtu aliyesoma veta chang'ombe anipe mawasiliano ya msajiri natafuta nafasi jamani
0 Reactions
6 Replies
943 Views
Moo Entertainments is a Modeling Agency in Dar es salaam - Tanzania.. If you need Models and video Queen for Fashion show and advertising... please well come to Our Office. contacts: +255...
0 Reactions
3 Replies
694 Views
TANGAZO! Kwa wale Wale walionunua hisa za Vodacom, Majina yenu yamebadilika immediately leo hii kutoka wawekezaji watarajiwa hadi wamiliki na kuingizwa rasmi kwenye kitabu cha Wamiliki wa...
5 Reactions
77 Replies
7K Views
Camera zilizokua maarufu Sana kabla ya digital, zpo 2 nilikua natumia na zpo vzr Sana kwa ambae anahtaj tuwasiliane tuuziane maana sizitumii tena! Bei maelewano tu kwa anaehtaji nicheck...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Elfu 28,000/= Elfu 28,000/= 22,000/= Elfu 25,000/= Elfu 30,000/= Elfu 30,000/= Size 42.Elfu 30,000/= Ngozi size 44...35,000/= Karibuni sana. Size 44.Bei 35,000/= Size 44 .Bei 35,000/=...
5 Reactions
98 Replies
28K Views
Yeyote anaehitaji simu used ya aina yeyote ile naomba anitafute kw namba 0717340502 tufanye biashara
0 Reactions
14 Replies
46K Views
Elfu 60 tu mpigie muhusika0629204884 tandika kwa kidagaa barabarani kabisa simu haina tatizo
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom