Wakuu nauza mbuzi jike mkubwa na mdogo dume. Ukitaka kwa wote bei ni laki 140 na wapo katika hali njema. Ukitaka mmoja wapo ni maelewano. Mbuzi wanapatikana Kigamboni, Dar es Salaam. Mawasiliano...
Kama kichwa kinavyosema,natafuta nyumba.
Sitaki madali. Nataka mwenye nyumba tu awasiliane na mimi.
Maeneo: Mbezi,'Mikocheni
Tozo:Laki tano ndio bajeti yetu,itategemea na eneo husika.
Nyumba...
Wakuu amani iwe kwenu wote. Nimefungua kiwanda cha kusagisha na kupack unga wa mahindi wa Sembe na Dona. Taarifa za mradi ni hizi.
1. Mashine ipo Mbalizi Mbeya.
2. Ina uwezo wa kusaga Unga wa...
Za siku wanajamvi,
Ndugu zangu natafuta photo printer yenye uwezo wa kuprint picha za nchi 5 kwa 7 na kuendelea.
Mashine nayojua yenye uwezo huo ni HiTi P510K, nimeitafuta Arusha na Moshi...
Wadau natafuta Nyumba ya kupanga kama apartment. Iwe na Room 2 moja iwe ni Master na iwe ndani ya Fens, maji ya Uhakika. Contact me : 0714880007
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Nikisema OFFER namaanisha OFFER kweli kweli kwa ajili yako mteja wangu..
Bidhaa hizi zimetengenezwa kwa kutumia malighafi asilia yaani hazina viambata sumu.
Pia kwa wale waliotumia vipodozi...
Tunakodisha gari jipya kabisa aina ya Toyota alphard kwa ajili ya kubeba maharusi,maids na wageni wengne wanaohitaji usafiri wa dar na kwenda nje ya dar bei ni nafuu kuanzia 250000/= kwa siku bei...
Nina order kupeleka Zambia.
Tani elf 10 na itaendelea kukua kardri muda unavyozidi kwenda
Mazungumzo yanelekea Ukingoni sasa je ni yema kuagiza toka Dubai, Pakistan, India, au Kununua tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.