Hii juice dispenser unauzwa ni used kidogo ila bado inafanya kazi.naiuza sababu nina shida na pesa, wanemaga chako ndo kinakusaidia
Bei yake ni laki tano tu (500,000)
ila punguzo lipo. mpya...
Habari wakuu,
Bila kuwachosha sana napenda nitangaze ofa yangu, nnahitaji gari ya bei kuanzia 3-5M, ila kwa sasa mfukon nna 3M Cash. Kama una gari unaiuza ipo ndani ya Bajet tajwa hapo juu na upo...
Wakuu heshima iwe kwenu.
Ninahitaji pesa za sarafu(coins) za Tanzania. Iwe shs 1 ziwe kuanzia mwaka 1970,71,73,76,78 na 79,zinahitajika kama 100coins.
Mwenye nazo njoo PM haraka.
Mzigo unahitajika...
Nahitaji geotech technician ambaye ameisha fanya kazi za maabara na site.
Woman are given high priority.
Contact: Eng. David via whatsapp through 0752626218 please dont call.
Naomba kuuliza bei ya batiki jumla hapo kariakoo ikoje na rangi zake.Pia kama kuna mtu anahusika na biashara hii aje imbox nataka kupeleka mzigo mkoani tugawiane fursa.
*Huawei e5573
*Brand new(fully boxed)
*Universal(zinasupport mitandao yote Tanzania kwa 2G,3G and 4G isipokua smart 4G).
*support up to 10 devices(smartphones,laptops,etc)
*can be used as wi-fi...
Kwa mahitaji ya wiring mpya ya umeme
Kukagua na kuboresha miundombinu ya umeme iliyochoka
Wasiliana nasi MSYALIHA ELECTRICAL WORKS
PIGA NAMBA: 0655412181/0768412181
Tupo Dar es salaam.
Naiamini sana Jf, km unashida hapa ndo mwisho wake majibu lazima uyapate.
Naomba kujua yalipo maduka ya jumla au mwenye kufanya hyo biashara hapo kariakoo.
Aje PM, tufanye biashara. Ninahitaji hyo...
Hi,
I am in need of the attached lockable cabinet for Video Conferencing room. If you have or know where to find it, please PM me.
Many of those I have found in the furniture shops here in DSM...
Stoo/Ofisi/Fremu zinapangishwa, jirani na Sabasaba Maonyesho.
Kwa kipindi hiki cha matayarisho ya maonyesho ya Sabasaba unaweza
kuwa unahitaji Stoo/Ofisi ama Fremu kwa ajili ya bidhaa/biashara...
[emoji412] *TEAM* *SOLUTION* *CONSULTATION* [emoji412] KWA HUDUMA ZA (NYARAKA MBALIMBALI)
-BUSINESS PLAN(mchanganuo wa biashara) - kuanzia 400,000.00...
[emoji412] *TEAM* *SOLUTION* *CONSULTATION* [emoji412] KWA HUDUMA ZA (NYARAKA MBALIMBALI)
-BUSINESS PLAN(mchanganuo wa biashara) - kuanzia 400,000.00...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.