Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

USED BATTERY,, FR 12-200 VALVE REGULATED ,RECHARGEBLE BATTERY FOR SOLAR(NON SPILLEBLE) Inahitajika ....piga no 0656002003
0 Reactions
5 Replies
639 Views
USED BATTERY,, FR 12-200 VALVE REGULATED ,RECHARGEBLE BATTERY FOR SOLAR(NON SPILLEBLE) Inahitajika ....piga no 0656002003
0 Reactions
0 Replies
581 Views
Diagnose ya mwaka 2017 made in Germany kwaajili ya mafundi kucheck gari bila kutumia nguvu,Ni Mpya na inapima aina zote za magari.bei kwa moja ni million moja na mazungumzo yapo, zipo mbili tu.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Coaster mbili kwa ajili yaa kukodisha kubeba wanafunzi zinahitajika ..route ni kinyerez to kimanga ...asubuh na jioni... Yenye rangi ya njano itapewa kipaumbele zaid na kama haina rangi ya njano...
1 Reactions
0 Replies
827 Views
Umefanya mazoezi sana na umeshindwa kupata mwili unaotaka? Sasa suluhisho limepatikana,sasa utapata supplements zitakazo weza kukusaidia kufika matarajio yako. Zakujaza muscles pamoja na kukata...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Je unataka kukopa,Na uko Mwanza,njoo ukope na upate mkopo ndani ya lisaa limoja kwa kuweka dhamana ya Gari tu.
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Piston ring za Suzuki samorai G13B set moja std, main berring std, condrand berring std, over oll gasgate, 0754459572
1 Reactions
7 Replies
4K Views
>Viwanja viwili vinauzwa Kimara kwa Komba. >Havijapimwa. >3km kutoka kimara mwisho./>Bomba la maji limepita mbele ya kiwanja. >20mt kwa 20mt (20 million)/>20mt kwa 15mt (15 million)...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kiwanja 20X20 kipo mivumoni kwa Makamba bei maelewano. Contact 0768532015
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Shutikali - Tovuti ya Habari na Taarifa za Michezo Tanzania ni tovuti inayoleta mageuzi kwenye kutoa taarifa za michezo,wanamichezo pamoja na timu zao,shutikali ina team ambayo imebobea kwenye...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Kwa wale wasichana mnaotaka kujifunza kazi za ndani mliopo Bukoba nipo kwa ajili yenu AGENT wa RENT A MAID & Cleaning Services yenyr usajili wa no.416087. BUGANDO MWANZA. Karibu tupeane...
0 Reactions
0 Replies
675 Views
Sitafuti sinu kwa ajli ya spare . So usije hapa unaimbie unayo sijuinimekufa nini , natafuta mtu anayeuza simu nzima . Ahsante . Bei yangu tuanze kudiscus from 400000/= Isiwe white.
0 Reactions
25 Replies
2K Views
>Viwanja viwili vinauzwa Kimara kwa Komba. >Havijapimwa. >3km kutoka kimara mwisho. >Bomba la maji limepita mbele ya kiwanja. >20mt kwa 20mt (20 million) >20mt kwa 15mt (15 million)...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nyumba inauzwa Bei=mil40 Mahali=Twangoma km 2.5 kutoka barabara ya rami ya kigamboni. Vyumba 3 vikubwa, kimoja master . Sebule kubwa, dining,choo cha public . Eneo la kujenga nyumba nyingine lipo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
nauza simu yangu huawei p8- lite jaman mpya kabisa 330000..anaetaji anichek pm black colour ina week 1 tu Screen Size 5.00-inch Resolution 720x1280 pixels Storage 16GB Processor 1.2GHz octa-core...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
  • Closed
Habarini wadau, Je ungependa kujiongezea kipato au huduma katika biashara yako? Unaweza kuwa wakala wetu wa MobiStock na kuweza kuuza vocha za kurusha za airtel, tigo, vodacom, zantel na...
3 Reactions
33 Replies
20K Views
Nafundisha kudizain sendals na kutengeneza bracelate style tofaut na chen za shingo kwa 5000.changamkia fursa
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Zuria hapo pichani linauzwa. Nipo Sinza, kama unahitaji nichek. Limetumika miezi 3 tu. Mita 5 kwa 4. Bei ni 150K
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimeitumia kwa miezi miwili. inapiga simu bei ya kutupa 250K kwa anayehitaji karbu PM niko dar. ..........update...... Imeizwa asante sana kwa aliyeanzisha hili jukwaa
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom