Diagnose ya mwaka 2017 made in Germany kwaajili ya mafundi kucheck gari bila kutumia nguvu,Ni Mpya na inapima aina zote za magari.bei kwa moja ni million moja na mazungumzo yapo, zipo mbili tu.
Coaster mbili kwa ajili yaa kukodisha kubeba wanafunzi zinahitajika ..route ni kinyerez to kimanga ...asubuh na jioni... Yenye rangi ya njano itapewa kipaumbele zaid na kama haina rangi ya njano...
Umefanya mazoezi sana na umeshindwa kupata mwili unaotaka?
Sasa suluhisho limepatikana,sasa utapata supplements zitakazo weza kukusaidia kufika matarajio yako.
Zakujaza muscles pamoja na kukata...
>Viwanja viwili vinauzwa Kimara kwa Komba.
>Havijapimwa.
>3km kutoka kimara mwisho./>Bomba la maji limepita mbele ya kiwanja.
>20mt kwa 20mt (20 million)/>20mt kwa 15mt (15 million)...
Shutikali - Tovuti ya Habari na Taarifa za Michezo Tanzania ni tovuti inayoleta mageuzi kwenye kutoa taarifa za michezo,wanamichezo pamoja na timu zao,shutikali ina team ambayo imebobea kwenye...
Kwa wale wasichana mnaotaka kujifunza kazi za ndani mliopo Bukoba nipo kwa ajili yenu AGENT wa RENT A MAID & Cleaning Services yenyr usajili wa no.416087. BUGANDO MWANZA. Karibu tupeane...
Sitafuti sinu kwa ajli ya spare .
So usije hapa unaimbie unayo sijuinimekufa nini , natafuta mtu anayeuza simu nzima .
Ahsante .
Bei yangu tuanze kudiscus from 400000/=
Isiwe white.
>Viwanja viwili vinauzwa Kimara
kwa Komba.
>Havijapimwa.
>3km kutoka kimara mwisho.
>Bomba la maji limepita mbele ya
kiwanja.
>20mt kwa 20mt (20 million)
>20mt kwa 15mt (15 million)...
Nyumba inauzwa
Bei=mil40
Mahali=Twangoma km 2.5 kutoka barabara ya rami ya kigamboni.
Vyumba 3 vikubwa, kimoja master .
Sebule kubwa, dining,choo cha public .
Eneo la kujenga nyumba nyingine lipo...
nauza simu yangu huawei p8- lite jaman mpya kabisa 330000..anaetaji anichek pm
black colour
ina week 1 tu
Screen Size 5.00-inch
Resolution 720x1280 pixels
Storage 16GB
Processor 1.2GHz octa-core...
Habarini wadau,
Je ungependa kujiongezea kipato au huduma katika biashara yako?
Unaweza kuwa wakala wetu wa MobiStock na kuweza kuuza vocha za kurusha za airtel, tigo, vodacom, zantel na...
Nimeitumia kwa miezi miwili. inapiga simu bei ya kutupa 250K kwa anayehitaji karbu PM niko dar.
..........update......
Imeizwa asante sana kwa aliyeanzisha hili jukwaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.