DR. MWAKABANJE
JF-Expert Member
- Nov 7, 2012
- 1,986
- 3,151
Heshima kwenu!
Nina mzani ule wa kukalisha mazao/bidhaa wakati wa kupima lakini mawe yake yamepotea pamoja na kile kisanduku kinachopitishwa kwenye rula, ningependa kujua kwa anayejua bei ya mawe pamoja na hicho kisanduku.
Nina mzani ule wa kukalisha mazao/bidhaa wakati wa kupima lakini mawe yake yamepotea pamoja na kile kisanduku kinachopitishwa kwenye rula, ningependa kujua kwa anayejua bei ya mawe pamoja na hicho kisanduku.