MWANASAIKOLOJIA ANAPATIKANA HAPA!

MWANASAIKOLOJIA ANAPATIKANA HAPA!

WAMGANDA

Member
Joined
Nov 19, 2016
Posts
10
Reaction score
7
Wakuu amani kwenu! Kama title ilinavyodadavua, Mimi ni kijana wa miaka 28 (me) Nina shahada ya Elimu ya Saikolojia (hons) ya udsm.
Nimewahi kufundisha part time Tabota TTC, Ekernforde Tanga University, na sekondari kadhaa.

Bila kuwachosha naomba niweke wazi lengo la nandiko hili ni kuomba MTU binafsi au taasisi yenye uhitaji wa mtu wa type yangu, Nipo tayari kufanya kazi ktk taasisi yoyote.

Nafundisha
Nashauri
Natoa nasaha
Pia natafti.

Kwa sasa namalizia kuandika kitabu cha "Falsafa na Saikolojia ya Malezi"

Kwa mwenye uhitaji asisite kuni pm ili tupeane mawasiliano. Asante
 
Kwanini saikolojia yako inakutuma zaidi kuajiriwa zaidi kuliko kujiajiri mwenyewe?
 
Tabota?
Nandiko?
Natafti?

Kwa kukusaidia uandishi wa kitabu chako, nenda UMMA kafanye FIELD.

Utatoka na mawazo mazuri...

Mtu wa kikufuata wewe mtoto wa under thirty, kwa ushauri wa SAIKOLOJIA atakuwa KICHAA ama KAROGWA ..

..back to School boy..
 
Tabota?
Nandiko?
Natafti?

Kwa kukusaidia uandishi wa kitabu chako, nenda UMMA kafanye FIELD.

Utatoka na mawazo mazuri...

Mtu wa kikufuata wewe mtoto wa under thirty, kwa ushauri wa SAIKOLOJIA atakuwa KICHAA ama KAROGWA ..

..back to School boy..
Asante kwa kunisahihisha. Kumbuka sijatumia kalamu kuandika na pengine ujumbe umeuelewa ndiyo maana umeweza hata kunisahihisha. Nakubali kukosolewa, asante mkuu!
 
UHuOTE="Mgodo visa, post: 21889421, member: 396218"]Tabota?
Nandiko?
Natafti?

Kwa kukusaidia uandishi wa kitabu chako, nenda UMMA kafanye FIELD.

Utatoka na mawazo mazuri...

Mtu wa kikufuata wewe mtoto wa under thirty, kwa ushauri wa SAIKOLOJIA atakuwa KICHAA ama KAROGWA ..

..back to School boy..[/QUOTE] Huu ni ujinga
 
Back
Top Bottom