Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

jamani wanasheria nisaidieni sample nauza nyumba nimeelezwa gharama za lawyers ni kubwa nisaidieni chonde chonde
0 Reactions
7 Replies
13K Views
Habari wana JF. Nina muswada wa kitabu, natafuta sehemu ya kufanyia production. Kama unafahamu au una kampuni ambalo linafanya production ya vitabu kwa bei nafuu, naomba tuwasiliane. Natanguliza...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Nina Shamba nilinunua chini ya kampuni wanao uza mashamba ya mradi linauzwa milioni tano ni eka tano malipo ni kwa installment nikalipa installment ya kwanza 1.5m sasa tukapata eneo lingine mjini...
0 Reactions
2 Replies
864 Views
Make : Toyota Model : Landcruiser Prado Mileage : 154,193km Engine size: 2,700cc Gasoline : Petrol Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Automatic M/Year : 1998 Doors : 5...
0 Reactions
1 Replies
913 Views
SULUHISHO LA NDOA. Ni mchanganyiko wa ASALI MBICHI ORIGINAL YA NYUKI WADOGO,TANGAWIZI, MDALASINI WA INDIA,KITUNGUU SAUMU. Hii ni kwa Wanaume/Wanawake (wenye kukosa hamu ya tendo) na watoto pia...
0 Reactions
1 Replies
20K Views
SULUHISHO LA NDOA. Ni mchanganyiko wa ASALI MBICHI ORIGINAL YA NYUKI WADOGO,TANGAWIZI, MDALASINI WA INDIA,KITUNGUU SAUMU. Hii ni kwa Wanaume/Wanawake (wenye kukosa hamu ya tendo) na watoto pia...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Kama tittle inavyojieleza, simu mpya full boxed, ina 256GB Kwa milioni moja na laki saba tu. Call 0693296134
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hi All, Nani ashawai import roofing tiles from china? Kama zile za Decra! Need advice.
0 Reactions
0 Replies
600 Views
METATRON LIFT CO. LTD, Ni kampuni ya Kitanzania ambayo imejikita kwenye Uuzaji wa Lift toka Uturuki na pia tunafunga lift aina yeyote kwa bei nzuri, pia tunatengeneza lift zilizo simama kwa muda...
0 Reactions
82 Replies
9K Views
Nina Shamba nilinunua chini ya kampuni wanao uza mashamba ya mradi linauzwa milioni tano ni eka tano malipo ni kwa installment nikalipa installment ya kwanza 1.5m sasa tukapata eneo lingine mjini...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
[emoji412] *TEAM* *SOLUTION* *CONSULTATION* [emoji412] KWA HUDUMA ZA. (NYARAKA MBALIMBALI) -BUSINESS PLAN(mchanganuo wa biashara) - kuanzia 400,000.00...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tunauza mayai ya kisasa na kienyeji jumla na rejareja tunaleta popote ulipo 0685 918664
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wana forum, Nko kwenye uhitaji wa MDADA wa Kazi za nyumbani. Nna familia yenye mke na Mtoto mmoja. Umri 15-20 Niko morogoro Naomba nisaidiwe. Salary ni elf60 PM inahusika
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu mi mfanyabiashara mdogo nataka niuze na nguo za mtumba za kike grade One. Ctaki kuanza na Bale nataka zile za kulenga napata wapi wakuu hapa jiji Dar. Mfano kama hizi.
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Wakuu nauza Tecno Boom J8, imetumika kwa Miezi sita na haina tatizo lolote. Bei ni 270,000. Nipo Moshi kwa anaehitaji njoo PM kwa mawasiliano Zaidi.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
(1) HP DESKJET 1050 (NEW) (2) TV CARD INTEX IT - TV 150FM Bei nafuu. Mawasiliano:
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Location:Kwa mromboo maeneo ya dampo kwa mwenyekiti karibu na check point. Kiwanja kipo kama Mita 20 kutoka barabara inayoelekea check point,umeme na maji vyote vipo karibu. Ukubwa:Mita 17x10...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
jamani hii gari nimeipenda sana sana ila nataka kujua ni aina gani ya gari ili likae moyoni vizuri maana mimi sio mtaalamu sana. nissan murano ipi? maana ukisema murano ziko nyingi
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Habari zenu Wakuu. Husika na kichwa cha habari hapo juu. Nahitaji kuku aina Chotara majike yanayokaribia kutaga idadi 10. Nataka kuanza ufugaji. Kwa yeyote anayeuza tafadhali aniPM na bei tufanye...
0 Reactions
2 Replies
716 Views
Asus MeMoPad Android 4.1 Jellybean OS, 7" LED Backlight WSVGA Display With 10-Finger Multi Touch (1024x600, 169 PPI), 8GB Internal Storage (Micro SD expansion Slot upto 32GB),7 Hours Battery...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom