kuna mdogo wangu kaniomba kama 2mil anataka kwenda msumbiji kununua simu azilete bongo.Eti inawezekana kweli kuwa msumbiji vitu ni bei rahisi kwasababu masimu anayonitajia mpaka nakoma au anataka...
Anayehitaji shamba maeneo ya Morogoro karibu na mto Ngerengere (Sangasanga) zipo hekari 100 anaweza kununua zote kwa pamoja ni 25 million.
Pia kama unahitaji kiasi kidogo wasiliana na No...
Natafuta gari aina ya Suzuki Swift cc1.3 au K, iliyo katika hali nzuri,ikiwa ni manual transmission sawa au automatic transmission sawa. Mimi nipo dar, mawasiliano yangu ni 0715 025947.
Rangi...
KWA MAWAKALA WOTE :Nasikia kuna tetesi kuwa kwa wale MAWAKA ambao hawafanyi miamala na WAKALA MKUU till zao zitafungwa mwezi huu.. naomba kujuzwa kwa hili
Habari wadau.
Nina kodisha mashamba yangu huko Nyanzwa Ruaha Mbuyuni na Mgama Iringa. Bei ni laki moja na nusu kwa eka. 150,000/=. Kote kunafikika kirahisi kabisa na gari maana moja liko...
Heshima kwenu wakuu.
Ninahitaji kununua nyuzi za mkonge kutoka mkoa wowote uliopo karibu na Dar es Salaam. Naomba anayejua kiwanda kinachozalisha nyuzi hizo au wakulima wanaouza nyuzi hizo na bei...
Jipatie kifaa ambacho kitakuwezesha kumenya mananasi kwa urahisi bila ya kupoteza tunda la ndani.
Wanunuzi wa jumla na rejareja mnakaribishwa.
Bei ya rejareja ni 50,000/-
Bei ya jumla ni 45,000/-
Wasiliana nasi kujipatia chupa yako mapemaaa Usisubiri Dokta kukwambia jenga mwili wako
Jipende tumia Vyaasili Kwa Tiba asili isiyo na Kemikali Narudia tenaaa Isio na kemikali We are welcome
OLYMPUS AUDIO RECORDER
Description
4GB Memory
USB Drive
MP3 Player + Calendar
Up to 1000 hours of Audio Recordings
USB Rechargeable Battery, Also you can use small battery AA
Multi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.