Naiaji mtu ambaye anauza mkaa kwa bei ya jumla mkoani na awe katika mikoa ya Pwani, Tanga , Morogoro na awe na uwezo wa kuniandalia gunia 5-10 kwa wiki kama unauwezo fanya kuni text PM immediately...
Tunatoa mafunzo ya namna ya kufanya installation ya dish za aina zote na pia kufanya installation ya CCTV Camera.
mafunzo ni ya siku tano tano yaani
satelite dish installatuon siku tano
CCTV...
Wadau kuna AC au Aircondition ukipenda unaeza kuiita kiyoyozi au mkyif inauazwa bei ya chee
Mpk kufungiwa ww upate baridi inahitaji 800,000/
Model ni samsung
Nicheck kupitia namba 0622001223
Salam wakuu,
Kama kichwa kinavyojieleza, niko arusha and I have only tomorrow kukodisha vifaa hivi (climbing gear) kwa dealers ambao wako arusha kwa maana keshokutwa ndio natarajia kuelekea huko...
Habar wadau
Ninatafuta mikanda ya kimasai kama ilivyo kwenye picha...
Nahitaji nina order kubwa..kama unamtu unamfaham anatengeneza naomba anisaidie mawasiliano..
Thanks wadau.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mmiliki wa hii no ni tapeli anajifanya anafanya kazi vodacom huduma kwa wateja
Ila kwa kifupi hii no 0766652626 ilinipigia sim week iliyopita,baada ya...
Nafanya graphics design.baadhi ya sample work ni kama vile bronchure,logo,posters,infographics,busness card,warning sign,bunner na pia waweza nipata kwa namba hizi 0629541980
Kwa wale wlionitafuta...
(1)Ninzuri sana kimuonekano na hata kiufanisi wa kazi..
(2)Imetumika miezi kadhaa ila bado ipo kwenye ubora wake..
(3)Inakaa na chaji na wala haina tatizo lolote..
(4)Inaukubwa wa inches 6.3...
Salaam
Ninatafuta kiwanja kizuri kwa ajili ya kujenga maeneo ya mbezi kimara, mbezi beach, boko, bunju. Size kwanzia 20x30 kwenda juu...
Kama upo weka bei mezani tuongee
Transportation [Local & International ] and supplies of all kinds of building materials
Head office
Plot no:620 block A
Buguruni area
Ilala Dar es salaam
Contact
[emoji336] +255762525846...
Habari zenu wakuu,kwa mwenye uhitaji wa nyumba ya kupanga yenye vyumba viwili na sebure ambapo kimoja wapo ni master pia inajiko na choo cha nje ipo ndani ya uzio maji na umeme vipo bei kwa mwezi...
Sabuni Zimetengenezwa kwa mbosa zinauzwa. Zimetengenezwa kwa ubora.
Matumizi ya wakubwa na watoto
Huondoa miwasho. Vishilingi mwilini. Fangasi na uti ya nje.
Bei kuanzia 1300/=
update:
MZIGO UMEINGIA KWA WALE WALIOKUWA WANAHITAJI SPY PEN ZIMESHAKUJA NA ZIMEKUJA ZA GB 8 BEI IMEZIDI KIDOGO TU NI SHS 55,000 TSHS wahi ujipatie yako sasa
Features & Specification
An amazing...
Mtungi Wa ORXY kg 30.6 na JIKO la plate 2 completely vinauzwa.
Mahali vilipo; Kimara
Bei vyote; 120,000
mtungi hauna gesi na jiko lipo kwenye ubora mzuri sana.Pia pipe yake ipo.
0716927054...
Kama ni used nianze mwenyewe hapa Bongo.
Kama iko sehemu yeyote Tanzania bara na Visiwani
Nitaifuata mimi mwenyewe
Kama inakulipa tufanye biashara
Porojo sijui za njoo uchukue vimbinyo vyenu hvyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.