Majiko ya umeme na gesi ya kisasa
TV, REDIO , home theater music system
Feni AC za KISASA
Chain saw water pump na majenereta
Meza za TV na za kawaida za kisasa
Water dispenser, Brenda, juicer...
Wakuu kama ukisoma hii thread na unawajua wanaopesha wa kuweka bond ama kitu kama hicho nitupie namba ama maelekezo, nataka niweka rav4 crossover 2014. Kuresolve tatizo la muda limetutokea kwenye...
Wana ndugu karibuni tutengeneze pesa kupitia amazon traders.Google www.amazontraders.co.uk
50-200 unalipwa 1 percent ya utakachoweka daily
Ya pili ni 201-1000= unalipwa 1.4 percent daily
Ya tatu...
Habari wadau.
Nina ofisi ambayo nimeifungua mwezi uliopita. Ni restaurant lakini pia inatoa huduma za catering. Ofisi zipo kawawa road opposite The Open university of Tanzania. Kwa sasa bado...
MacBook Pro Inauzwa
Ram 4gb
HDD 1TB
New Adapter
Duo 2 Core
Nyvdia Graphics
Inch 13.3
Battery 3hrs
Toleo 2010
All Softwares available
Karibu Whatsapp kwa picha 0657348191
kuna mdogo wangu kaniomba kama 2mil anataka kwenda msumbiji kununua simu azilete bongo.Eti inawezekana kweli kuwa msumbiji vitu ni bei rahisi kwasababu masimu anayonitajia mpaka nakoma au anataka...
Anayehitaji shamba maeneo ya Morogoro karibu na mto Ngerengere (Sangasanga) zipo hekari 100 anaweza kununua zote kwa pamoja ni 25 million.
Pia kama unahitaji kiasi kidogo wasiliana na No...
Natafuta gari aina ya Suzuki Swift cc1.3 au K, iliyo katika hali nzuri,ikiwa ni manual transmission sawa au automatic transmission sawa. Mimi nipo dar, mawasiliano yangu ni 0715 025947.
Rangi...
KWA MAWAKALA WOTE :Nasikia kuna tetesi kuwa kwa wale MAWAKA ambao hawafanyi miamala na WAKALA MKUU till zao zitafungwa mwezi huu.. naomba kujuzwa kwa hili
Habari wadau.
Nina kodisha mashamba yangu huko Nyanzwa Ruaha Mbuyuni na Mgama Iringa. Bei ni laki moja na nusu kwa eka. 150,000/=. Kote kunafikika kirahisi kabisa na gari maana moja liko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.