dume30
JF-Expert Member
- Nov 15, 2013
- 391
- 219
Kama hichwa cha thread kinavyojieleza,Kuna rmtu anauza plot yake ya ft 50/60 ambayo tayari ina mabanda ya uhani (vyumba vitatu) kwa Tsh Million 10.
Nyumba ipo eneo zuri na site haina mgogoro,wanauza hili wampeleke ndugu yao kwenye matibabu nje ya nchi.
Again hakuna udalali, Yoyote atakayehitaji kupaona tukutane pm.
Maelewano yapo pia(According to muuzaji)
Nyumba ipo eneo zuri na site haina mgogoro,wanauza hili wampeleke ndugu yao kwenye matibabu nje ya nchi.
Again hakuna udalali, Yoyote atakayehitaji kupaona tukutane pm.
Maelewano yapo pia(According to muuzaji)