Wapendwa za Jioni, natafuta vijana waliosharp kwa ajili ya kazi ya kuuza Ice cream, Juice na maji mashuleni. Mshahara ni usharp wa kijana tu. Akiuza sana na ujira utakua mkubwa pia.
Maeneo ni mbezi mwisho mpaka kimara.
Kwa aliyenaye au anamfaham mtu naomba NI PM
Maeneo ni mbezi mwisho mpaka kimara.
Kwa aliyenaye au anamfaham mtu naomba NI PM