inavyumba viwili kimoja master,kuna jiko,choo na bafu public...sitting room,madirisha ya aluminium,nyumba ina tiles,juu gypsum,kuna fence na geti,parking ya magari ni kubwa tu..ziko apartment...
Natafuta nyumba ya kupanga yenye
chumba,
sebule,
jiko dogo
na choo ndani....
maji yawepo na umeme wa kujitegemea....
Maeneo ninayoyahitaji ni kinondoni, sinza, ,mabibo, survey, mpakani...
Nyumba ipo maduka matatu umbali mfupi kitokea kimara mwisho.
-chumba self na sebule
-Ina tiles, madirisha alminium na iko katika ubora wa hali nzuri kabisa
-Ina fensi, paking kubwa na ndani ya...
Kampuni ya G-soft security systems inatoa ombi kwa watanzania wote wanaotaka kufungiwa mitambo ya ulinzi katika maeneo yao muhimu kama
1. Nyumbani
2.Viwandani...
Je, una kazi inayohitaji Translation (ufasiri) au inayohitaji Editing (uhariri)?
Huenda ni:
- muswada wa kitabu (manuscript)
- ripoti
- filamu
- kitabu
- tovuti (websites)
- dissertation
- n.k...
Shamba ni la urithi bado halijapimwa.
Lipo kijiji cha kwala wilaya ya kibaha vijijini(kijiji ambacho kuna miradi 2 mikubwa ya serikali yani ujenzi wa station ya reli mpya standard gauge pamoja na...
Kama tangazo linavyojielezea nauza laptop yangu aina ya Samsung. Bei ni 200,000 ila maelewano yapo. Samsung NP-N150-JPB1US Netbook, Intel Atom N450 1.66GHz, 1GB, 250GB, 10.1", Windows 7 Starter...
Waungwana nina landcruiser hard top yangu imeanguka, nilikuwa naipenda sana, Ilikuwa na livu sprring so ni old model. Kama kuna mtu ana hardtop ambayo imepark na aitumii tafadhali ni PM ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.