Vipi Mambo!
Je una APP file (apk) na ungependa ku list katika Google play? NITAKUSAIDIA
Mimi namiliki Google Developer akaunti ambayo ni trusted by Google
GOOGLE HUCHAJI 25$ Kuchapisha App ktk...
Asslaam ,,,karibuni kuna viwanja viwili kimoja kipo ENGOSHERATON karibu na lami mpya ya murieti ni 15kwa20 bei nzuuri sana ..kingine ni kama heka 1sokon one kipo barabarani lami unaweza fungua...
Kuwa na website imekuwa rahisi kiasi kwamba mtu yoyote kama anamuda wa kufanya research kidogo basi haitamtumia zaidi ya siku moja ya kusoma na kubonyeza button chache ili kufungua website yake...
Salaam!
Mali iko tayari mzigo ni kwa bei ya jumla na reja reja kwa madalali na watumiaji wa mwisho.
Kitalu kizima kinachotoa viroba 18-20 vya kilo mia bei ni 1600000
Kilo moja 1Kg ni shilingi 700...
Habari zenu wakuu ..nina hitaji simu kwa bajeti hiyo iliyopo juu hapo..tafadhar iwe ni Sumsung,Sony,htc,au Sony Ericson. Kama unayo weka pic na specification zake tufanye biadhara..nyingine...
mi nna nyumba naiuza ipo musese kisarawe unaingilia kongowe toka kongowe mpaka huko,Ni 20KM ipo center na Kuna makaz ya watu,imepauliwa nusu ,Ina chumba cha kulala,sitting room,kitchen,choo...
Salamu wadau!
Naomba tujuzane hali ya soko la Karanga kwa sasa pamoja na upatikanaji wake Maeneo mbali mbali ya Jamhuri yetu. Kwa wajuzi naomba watuwekee na bei, na pia wabainishe kama hiyo bei...
Make : Toyota
Model : Alphard (MNH10W)
Mileage : 84,023km
Engine size: 2,990cc (1MZ)
Gasoline : Petrol
Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. )
Transmission : Automatic
Drive : 4WD...
Habari za jumapili wapendwa?....................
Nakusanya kibubu na mimi nijiajiri,.........................
Biashara ninayotaka kuifanya; ni ya kuchapisha matangazo,ya kawaida sio yale...
HIFADHI MAZAO BILA KUTIA DAWA
Kwa ajili ya kulinda afya ya mlaji, tumia mifuko ya kisasa (helmetic) kuhifadhi mazao yako. Mifuko inaitwa PICS Na AgroZ.
Ukubwa: kilo 100
Bei: 4000
Tutakutumia...
Wasalaam wana forum, kwa mahitaji ya Nyumba, kiwanja na mashamba! Usisite kuwasiliana nami!
Viwanja na nyumba zipo kwa bei tofauti tofauti kulingana na uhitaji wako, kama upo interested kwa maeneo...
Bwana Yesu asifiwe!
Ijumaa tar 7.7.17, tunakabithi Kwa BWANA nusu ya kipande kilichobaki cha huu Mwaka. Ili Mungu atuvushe na atushindie magumu yote. Ni Pale Princess Hall-Sinza Mapambano Saa 10...
Kama hichwa cha thread kinavyojieleza,Kuna rmtu anauza plot yake ya ft 50/60 ambayo tayari ina mabanda ya uhani (vyumba vitatu) kwa Tsh Million 10.
Nyumba ipo eneo zuri na site haina...
Habari wakuu,
Mimi ni mwajiriwa wa sekta binafsi Hapa Dar.
Kuna emergency nimepata (family related). Nahitaji mkopo wa 350,000/, marejesho ni baada ya siku 30. Sina collateral yoyote zaidi vitu...
Wapendwa za Jioni, natafuta vijana waliosharp kwa ajili ya kazi ya kuuza Ice cream, Juice na maji mashuleni. Mshahara ni usharp wa kijana tu. Akiuza sana na ujira utakua mkubwa pia.
Maeneo ni...
Ndugu zangu nauza shamba la heka 5 bei milioni 2,lina mihogo heka 3,minazi 80, na miembe 20 na kuna eneo kubwa limepandwa mahindi ya muda mfupi...Shamba lipo KIBITI maelewano yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.