Haloo,kwa wana Jf ninahitaji laini mbili za uwakala wa Mpesa kwa mwenye nazo anicheki kwa namba zifuatazo hapa chini
0753263069
Niko kagera,wilaya ya kyerwa.
Habari wanajamvi.
Ninauza moisture meter ya kisasa ya kupima nafaka.
Inafaa kwa wafanyabiashara wa nafaka, wakulima na vyuoni kwa ajili ya ya kujifunza.
Ina accessories zote pamoja user manual...
Habari wajasiliamali wenzangu.
Ninashamba la mihogo tupu kama hekari tano5 nilisikia kua wachina wanahitaji mihogo kutoka kwetu tanzania mwenye connection naomba ani connect na hao wachina...
Karibuni sana katika ufugaji wa nguruwe nina banda kubwa la mabanzi bagamoyo kiromo lenye tayari umeme wa solar na maji ya kisima na tank lenye litre 5000ltr.vijana wawili wenye ujuzi wa ufugaji...
*LINE YA UWAKALA - TiGO PESA*
*>Line ipo secure na utaunganishwa na wakala mkuu anayeihudumia*
*>Location - Dar es Salaam*
*>Bei - 120,000/=*
*>Kwa maswali au maelezo zaidi contact;*
☎...
Kesho nitakuwa mjini niki fanya deliver ya cover sofa set
Kuanzia SAA 5asbh
Kuweka oder yako wahi oficine tabata asbh
Au weka oder kupitia 0713691101 iko hewani 24/7 pia kwa picha zaidi njoo...
Nauza pikipiki aina ya Boxer
MC 662 BMC Rangi yake (Black)
Bei yake ni 1400,000 Tsh.
(Milion moja na laki nne)
*Ina vibali vyote kadi pamoja na bima.
*imetumika miezi tisa kwa matumizi...
Make : Toyota
Model : Coaster
Mileage : 317,503km
Engine size: 4,160cc
Gasoline : Diesel
Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. )
Transmission : Manual
M/Year : 2000
Doors : 2
Seats : 29...
Specifications
Core i3,,procesor 2gb,,ram 8gb HDD 1tera,,,hp product
Bei 500,000/=
Imetumika kwa muda mfupi, iko ktk hali nzuri.
Napatikana Dar, alie tayari ni PM.
Habar wakuu.
Nahitaj kununua UPS ya computer pamoja na stabilizer ila sijajua mahali naweza ipata kwa urahisi hapa dar es salaam.
Pia nikijua na bei zake itakuwa vizuru sana.
Nawasilisha...
Salaam wakuu ninahitaji chumba single cha kupanga kwa ajili ya kukaa mwanafunzi maeneo ya kimara korogwe au kimara-mwendokasi kisichozidi 40,000/- kwa mwezi.
Kianzio 120,000/-
Ndugu zangu,
Ninaimani kuwa hamjambo,
Kwa miaka mingi sana tangu soka kuanza ubashiri wa matokeo umekuwa uleule, kwa makampuni yote duniani, binafsi nimekaa na kuunda formula tatu, ambazo ni kwa...
Nauza Car seat nzuri ya blue second hand ingawa haijatumika bado ina hali ya upya.ni imara na in good condition.
Bei tzs 190,000.karibuni kwa picha 0786 057996 or call 0756661761 nimejaribu Ku...
Wasalaam wanajumuia wa JamiiForums,
Nauza mahindi mabichi (gobo) heka moja. Hivyo nahitaji mnunuzi tafadhali, Shamba lipo Mlandizi bonde la Mtoruvu, maarufu kama Kivukoni kwa Mpili.
Mwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.