Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habarini wakuu Naomba kujulishwa commission ya uuzaji wa luku kupitia Selcom. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
5 Replies
5K Views
CONTACTS : WhatsApp, sms & Call : +255763110764/+255625689363 Karibu uwekeze ktk Aridhi na mashamba ya miti Zifuatazo ni faida utakazonufaika: 1.Shamba la miti litakunufaisha ufikiapo mda wa...
3 Reactions
15 Replies
8K Views
Kwa Tz publishers wanaotaka kupata traffic kupitia fb nauza facebook page yenye 52k likes. Bei maelewano. Pia mwenye page above 800k likes na anauza tuwasiliane Aliye tayari ani inbox M.Byabato
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Habari za jioni wakuu naomba msaada kwa mtu anaefaham maduka yakuuza FIRE EXTUNGUISHER za jumla hapa mwanza asanteni
0 Reactions
1 Replies
601 Views
Habari za jioni ndugu Ningependa kuchukua nafasi hii kuwataarifu kuwa kuna kiwanja kizuri kabisa kinauzwa kwa ajili yako Kiwanja kipo Goba, eneo ni zuri kwa wewe utakayependa kujenga sehemu ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nahitaji simu ya tecno used c8 au c9,na isiwe imetumika sana na isiwe na tatzo lolote.
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Kiwe na ukubwa wa kuanzia 25/30 au 30/30 mjin kabisa yaan pale pale barabarani kisiwe mbali
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza simu yangu infinix note3 Color: Gold Display: 6 inches GB: 16 internal Ram: 2gb Karibuni!
0 Reactions
4 Replies
961 Views
Wakuu, natafuta frem maeneo ya mbezi beach kuanzia tangibovu mpaka afrikana, iwe inatazama bagamoyo road.
0 Reactions
0 Replies
900 Views
Kwa wauzaji wa viwanja hapa Arusha wekeni matanazo wateja watakuja.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari, Naomba kuhabarishwa kuhusu gharama ya mashine ya kufyatulia tofali za inchi 4,5 na 6. Nitashukuru sana kwa msaada wenu
0 Reactions
7 Replies
2K Views
nahitaji mtaalamu wa maswala ya chakula au nutritions katika level ya diploma au degree. anitafute kwa namba zifuatazo 0718355635
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wasalaam wakuu, Nipo Dar es salaam, nahitaji kuku kwa wingi hasa majogoo ya kienyeji (siyo chotara). Kwa mwenye nayo aniPM hata kama ni Mkoani tutaangalia namna ya kusafirisha.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za asubuhi Natafuta Suzuki Carry yenye hari nzuri ya kukodi kwa mwezi,mafuta kwangu na service kwa ajili ya kusambazia bidhaa zangu budget yanu ni 200,000/- kwa mwezi Asanteni
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari za Jioni WanaJF, Napenda kuwashukuru wanaJF kwaajiri ya michango yenu mbalimbali hapa kwenye forum ya kitanzania na East Africa kwa ujumla, pia Napenda kuiambia jamii ya kitanzania kuwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jiunge na selcom Tanzania kupitia wakala HARUNA kwa tsh 5000 nawewe uweze kusajiri wengine na kufurahia kila ukiunga mtu tsh5000 pia ukinunua mda wa maongezi unarudishiwa asilimia 4 ukiuza mda wa...
1 Reactions
16 Replies
10K Views
Ikiwa wewd n mtaalam wa kutengeneza matangazo ya biashara,, kwa ajili ya tvs na radio... Pia kupromote.. Mitaani.. Tafadhali nipim.. Nikupe mchongo.. Pesa nje nje
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Gari aina ya CarinaTI inahitajika. iwe namba D. iwe rangi ya Dark blue, red, dark green au maruni. isiwe nyeupe au silver. isiwe na mstari. Iwe katika best condition ( imenyooka No dents) iwe...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wanajukua, natafuta godoro ya vitafoarm au spring mattress. Kama kuna mtu anajua haya magodoro yanauzwa wapi kwa bei nafuu anisaidie. Nipo dar. Natanguliza shukrani
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Shambani Market kwa kushirikiana na lishe kwa mtoto na afya. Angalizo: 1. Sifahamu vizuri lugha ya kiswahili 2. Tangazo hili ni maalum kwa watu/wazazi wenye watoto wa umri miezi 6 na kuendelea...
1 Reactions
2 Replies
958 Views
Back
Top Bottom