amate
Senior Member
- Feb 23, 2017
- 157
- 378
Habari za Jioni WanaJF,
Napenda kuwashukuru wanaJF kwaajiri ya michango yenu mbalimbali hapa kwenye forum ya kitanzania na East Africa kwa ujumla, pia Napenda kuiambia jamii ya kitanzania kuwa kuna elim kubwa inatolewa kila sku hapa na mafunzo yasiyohitaji kwenda darasani.
My Sincere Point, Nahitaji maelezo kuhusu procedures, Mda ambao kontena linakaa, Malipo ya kodi na kiasi cha malipo wakati umefikisha kontena la bidhaa kutoka nje ya nchi. Aina ya bidhaa ikiwa kama spare parts za pikipiki kutoka china au Dubai.
Nahitaji msaada wenu ili nipate kujua, pia iwe elim kwangu juu ya nchi yangu.
Asanteni sana, Mungu awabariki
Napenda kuwashukuru wanaJF kwaajiri ya michango yenu mbalimbali hapa kwenye forum ya kitanzania na East Africa kwa ujumla, pia Napenda kuiambia jamii ya kitanzania kuwa kuna elim kubwa inatolewa kila sku hapa na mafunzo yasiyohitaji kwenda darasani.
My Sincere Point, Nahitaji maelezo kuhusu procedures, Mda ambao kontena linakaa, Malipo ya kodi na kiasi cha malipo wakati umefikisha kontena la bidhaa kutoka nje ya nchi. Aina ya bidhaa ikiwa kama spare parts za pikipiki kutoka china au Dubai.
Nahitaji msaada wenu ili nipate kujua, pia iwe elim kwangu juu ya nchi yangu.
Asanteni sana, Mungu awabariki