Habari za Jioni WanaJF,
Napenda kuwashukuru wanaJF kwaajiri ya michango yenu mbalimbali hapa kwenye forum ya kitanzania na East Africa kwa ujumla, pia Napenda kuiambia jamii ya kitanzania kuwa...
Jiunge na selcom Tanzania kupitia wakala HARUNA kwa tsh 5000 nawewe uweze kusajiri wengine na kufurahia kila ukiunga mtu tsh5000 pia ukinunua mda wa maongezi unarudishiwa asilimia 4 ukiuza mda wa...
Ikiwa wewd n mtaalam wa kutengeneza matangazo ya biashara,, kwa ajili ya tvs na radio... Pia kupromote.. Mitaani.. Tafadhali nipim.. Nikupe mchongo.. Pesa nje nje
Gari aina ya CarinaTI inahitajika.
iwe namba D.
iwe rangi ya Dark blue, red, dark green au maruni. isiwe nyeupe au silver.
isiwe na mstari.
Iwe katika best condition ( imenyooka No dents)
iwe...
Habari wanajukua, natafuta godoro ya vitafoarm au spring mattress. Kama kuna mtu anajua haya magodoro yanauzwa wapi kwa bei nafuu anisaidie.
Nipo dar.
Natanguliza shukrani
Shambani Market kwa kushirikiana na lishe kwa mtoto na afya.
Angalizo:
1. Sifahamu vizuri lugha ya kiswahili
2. Tangazo hili ni maalum kwa watu/wazazi wenye watoto wa umri miezi 6 na kuendelea...
Wasalaam wanaJF,
Natafuta duka au kampuni inayouza furniture (yaani viti, meza ya chakula/kahawa, makabati ya nguo ya vyumbani) jijini Dar-es-salaam.
Nitashukuru mkinitajia kampuni zanye sifa na...
We supply and install food quality cold rooms for commercial and industrial use, mortuary chambers and hospital cold rooms and also we are suppling solar system and aircondition for home use.
For...
Naomba kuuliza, wapi naweza nikapata meza ya plastic kama zile wanazotumia watu wanaosajili laini?
Pia mwenye kujua bei yake naomba anijulishe.
Miguu ya hiyo meza huwa inaweza kutolewa na kuwekwa...
Bado jipya
Rangi ni zambarau (purple)
Halihitaji repair yoyote maana bado ni zima
Mtu akitaka anaweza kulitengeneza likawa sofa kamili
Lipo kinondoni B
Bei ni elfu 80000
Kwa atakayehitaji...
Baada ya kufanya utafiti wa kukufanya taarifa za Makampuni nchini, nimeamua kuwaletea orodha ya Makampuni nchini kwa gharama nafuu. Orodha Ina Makampuni 120000 Tanzania.
Orodha Ina:-
Jina la...
Wakuu habari za wakati,
Nimepata tatizo, sina cha kukwamuka zaidi ya kuuza gari yangu. Kiimfaacho mtu chake.Nimeshusha bei kutoka 7.8m mpaka 6.9m. Usisite kupiga simu, hatuwezi kushindwana...
Chuo cha Excellent Training Center kinawatangazia kuwa maandalizi ya QT na Resitters kwa mwaka wa masomo 2018 yameanza. Hivyo wahi mapema. Pia tunapokea darasa la saba waliofeli hata kama hajui...
Ondoa tumbo ukiwa nyumbani,fanya mazoezi ya mikono,miguu na kutengeneza mwili uliouhitaji siku zote ukiwa na kifaa hichi kinachoitwa revoflex_extreme
Kwa tsh 40,000 tu
Wasiliana nasi kupitia...
iphone imetumika nje ya nchi kwa wiki mbili
Iphone 6plus
64 Gb
Gold colour
inakuja na charger
Bei laki tisa
kwa maelezo zaidi piga 0783 132193
Karibuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.