Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wasalaam wakuu, Nipo Dar es salaam, nahitaji kuku kwa wingi hasa majogoo ya kienyeji (siyo chotara). Kwa mwenye nayo aniPM hata kama ni Mkoani tutaangalia namna ya kusafirisha.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za asubuhi Natafuta Suzuki Carry yenye hari nzuri ya kukodi kwa mwezi,mafuta kwangu na service kwa ajili ya kusambazia bidhaa zangu budget yanu ni 200,000/- kwa mwezi Asanteni
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari za Jioni WanaJF, Napenda kuwashukuru wanaJF kwaajiri ya michango yenu mbalimbali hapa kwenye forum ya kitanzania na East Africa kwa ujumla, pia Napenda kuiambia jamii ya kitanzania kuwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jiunge na selcom Tanzania kupitia wakala HARUNA kwa tsh 5000 nawewe uweze kusajiri wengine na kufurahia kila ukiunga mtu tsh5000 pia ukinunua mda wa maongezi unarudishiwa asilimia 4 ukiuza mda wa...
1 Reactions
16 Replies
10K Views
Ikiwa wewd n mtaalam wa kutengeneza matangazo ya biashara,, kwa ajili ya tvs na radio... Pia kupromote.. Mitaani.. Tafadhali nipim.. Nikupe mchongo.. Pesa nje nje
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Gari aina ya CarinaTI inahitajika. iwe namba D. iwe rangi ya Dark blue, red, dark green au maruni. isiwe nyeupe au silver. isiwe na mstari. Iwe katika best condition ( imenyooka No dents) iwe...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wanajukua, natafuta godoro ya vitafoarm au spring mattress. Kama kuna mtu anajua haya magodoro yanauzwa wapi kwa bei nafuu anisaidie. Nipo dar. Natanguliza shukrani
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Shambani Market kwa kushirikiana na lishe kwa mtoto na afya. Angalizo: 1. Sifahamu vizuri lugha ya kiswahili 2. Tangazo hili ni maalum kwa watu/wazazi wenye watoto wa umri miezi 6 na kuendelea...
1 Reactions
2 Replies
958 Views
Viti poa sana hasa kwenye mahotel au nyumbani...ukiweka kwenye garden itapendeza sana..mwenye kuhitaji anipm
0 Reactions
5 Replies
7K Views
kuna pipi hizi kama toy za watoto kutoka china nahitaji kwa mwenye kuuza bei ya jumla tuwe tunafanyanae biashara mimi nipo mkoani
1 Reactions
3 Replies
5K Views
Wasalaam wanaJF, Natafuta duka au kampuni inayouza furniture (yaani viti, meza ya chakula/kahawa, makabati ya nguo ya vyumbani) jijini Dar-es-salaam. Nitashukuru mkinitajia kampuni zanye sifa na...
1 Reactions
18 Replies
12K Views
Habari wakuu Nauza 3G HSPDA modem mpyaa inayotumia laini zote. Bei Tsh30,000/= Napatikana DSM Ubungo Kama unaihitaji, njoo inbox tufanye biashara. Free delivery kwa DSM.
0 Reactions
4 Replies
853 Views
We supply and install food quality cold rooms for commercial and industrial use, mortuary chambers and hospital cold rooms and also we are suppling solar system and aircondition for home use. For...
0 Reactions
2 Replies
842 Views
Naomba kuuliza, wapi naweza nikapata meza ya plastic kama zile wanazotumia watu wanaosajili laini? Pia mwenye kujua bei yake naomba anijulishe. Miguu ya hiyo meza huwa inaweza kutolewa na kuwekwa...
0 Reactions
1 Replies
636 Views
Kwa wale wanaopenda mbwa wao, chakula kutoka South Africa kinauzwa kila mfuko una kilo sita(6). Bei shs 48,000 kwa mfuko.
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Bado jipya Rangi ni zambarau (purple) Halihitaji repair yoyote maana bado ni zima Mtu akitaka anaweza kulitengeneza likawa sofa kamili Lipo kinondoni B Bei ni elfu 80000 Kwa atakayehitaji...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Baada ya kufanya utafiti wa kukufanya taarifa za Makampuni nchini, nimeamua kuwaletea orodha ya Makampuni nchini kwa gharama nafuu. Orodha Ina Makampuni 120000 Tanzania. Orodha Ina:- Jina la...
2 Reactions
16 Replies
10K Views
Wakuu habari za wakati, Nimepata tatizo, sina cha kukwamuka zaidi ya kuuza gari yangu. Kiimfaacho mtu chake.Nimeshusha bei kutoka 7.8m mpaka 6.9m. Usisite kupiga simu, hatuwezi kushindwana...
0 Reactions
23 Replies
7K Views
Tafadhali naomba mwenye kujua ntaipata wap mashine au mtambo wa kutengeneza barafu!!
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Chuo cha Excellent Training Center kinawatangazia kuwa maandalizi ya QT na Resitters kwa mwaka wa masomo 2018 yameanza. Hivyo wahi mapema. Pia tunapokea darasa la saba waliofeli hata kama hajui...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom