Facebook Page for sell about 52K likes

Facebook Page for sell about 52K likes

Mathias Byabato

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2010
Posts
1,048
Reaction score
773
Kwa Tz publishers wanaotaka kupata traffic kupitia fb nauza facebook page yenye 52k likes.
Bei maelewano.

Pia mwenye page above 800k likes na anauza tuwasiliane

Aliye tayari ani inbox

M.Byabato
 
Hivi unamuuzia mtu page yeye jina lako au biashara yako, ni sahihi? Kwa sababu Facebook page ikishafikia likes 400, huwezi kubadilisha jina tena..
 
Hivi unamuuzia mtu page yeye jina lako au biashara yako, ni sahihi? Kwa sababu Facebook page ikishafikia likes 400, huwezi kubadilisha jina tena..

Mkuu kama hujui jambo si unaulizia kwanza?
Kwa nini husiulizwe kwanza ina jina gani? nani amesema ina jina langu? au biashara yangu?.
 
Hivi unamuuzia mtu page yeye jina lako au biashara yako, ni sahihi? Kwa sababu Facebook page ikishafikia likes 400, huwezi kubadilisha jina tena..
Nifafanulie mkuu ivi kumbe ikifika like 400 ubadilishi jina tena? Maana Mimi nimeshafikisha
 
Haibadiliki... Labda kama utaratibu huu ni mpya...

Nimesema kama hujui jambo uulize. kubadilisha page hata iwe above 100m likes inawezekana tu. kama hujui tafuta mtu akufundishe tu.
 
Nimesema kama hujui jambo uulize. kubadilisha page hata iwe above 100m likes inawezekana tu. kama hujui tafuta mtu akufundishe tu.
Mimi naomba nifundishe marafiki wamejaa na bado wengi wanaomba urafiki sasa inaniambia niwapunguze niliokuwa nao ili niwaingize sasa nami ata sioni wa kumpunguza nifanyeje
 
Hivi unamuuzia mtu page yeye jina lako au biashara yako, ni sahihi? Kwa sababu Facebook page ikishafikia likes 400, huwezi kubadilisha jina tena..
acha uongo jina unabadilisha muda wowote mfano azam TV walikuwa wanajiita azam TV. lakini wamebadili wanaiita Azam TV
 
Naomba nijue faida zake unaponunua page kama hiyo.
 
Back
Top Bottom