Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Magauni,pochi,na vitu vingi vya kike bei kwanzia 15000/= jumla na kuendelea wsp kuona zaidi +255769392185 au kucheki instagram jina happypeter142 Tupo Nairobi tawi langu ni arusha...online biz...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wadau mwenye mashine ya selcom au maxmalipo naitaji 0625529278
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ipo full antenna, waya elfu 50,000 Phone: 0654 056617
0 Reactions
1 Replies
642 Views
[emoji593][emoji596]RESTORATION MASTERS [emoji593][emoji596] Are you in need for customizations, conversations or just pimping your ride. Look no further, at Auto Guru we will take care of all...
0 Reactions
1 Replies
749 Views
Habari zenu wadau, Nauza tangawizi zaidi ya tani 20 ziko Madaba,Songea.Mwenye kuhitaji au unajua anayehitaji wasiliana nami 0628-615685 (whatsapp) au piga 0714-796778.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ponchoes kutoka nairobi nauza jumla bei 15000 kwanzia pc 5 tunatuma popote Tanzania Tupigie 0743664080 Wsp 0769392185(ipo wsp tu) Karibuni
0 Reactions
1 Replies
601 Views
Habari zenu wakuu, Natafuta namba za dalali ambaye yupo serious mkoa wa Shinyanga ili anisaidie tushirikiane kuuza nyumba. Msaada please njooni PM
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wadau Nina IST no. C nilikua napenda kubadilishana na mtu mwenye Noah hasa Old Model itakua preferred. Ambae yuko tayari aniPM, nitashukru sana. Ahsanteni.
0 Reactions
3 Replies
847 Views
True Ink Associates inapenda kuwatangazia wote kuwa review class ya CISA (Certified Information Systems Auditor) itaanza tarehe 20/03/2017, Dar Es Salaam City Center. Kozi ni ya week tano (5)...
0 Reactions
44 Replies
3K Views
Tangazo: Kwa yeyote au waishio Njombe nina shamba la kulima lenye eka tatu nauza, lipo maeneo ya Njombe Magoda. Kwa yeyote anayehitaji anione kwa no 0755011511 au 0716102060
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wanajamii natafuta kiwanja Wilaya ya kasulu mjini kabisa na huduma za jamii 0766601796
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mashine hiyo niya kubadilisha/kufumua matairi ya gari kubwa na ndogo, nahitaji kwa ajili ya workshop yangu. Naweza kupata wapi hapa Dsm? Mwenye nayo tuwasiliane 0715465147 . Nipo dsm
0 Reactions
1 Replies
795 Views
Habari wakuu nina shamba la ukubwa wa hekari 6 ninaliuza kwa mil20 Shamba liko karibu na mbuga ya saadan halina mgogoro wa utata wowote atakayekuwa interested anitafute tufanye biashara 0685369349
0 Reactions
2 Replies
785 Views
Nipo Arusha Kisongo nauza mahindi kwa bei ya 65000 kwa gunia zipo gunia 50 tu. Kwa anaehitaji 0759547047.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu na Poleni na matamko wana jamvi!! Natafuta chumba na sebule Maeneo ya kijitonyama,makumbusho, Mwenge au Mbezi beach. Isiwe uswahilini sana, bajeti yangu ni 100,000.
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Kamata fulsa kwa kujipatia line ya halopesa kwa mawasiliano ni 0629160631
1 Reactions
3 Replies
960 Views
Natafuta simu Arusha offer yangu 200-250 napendelea zaidi tecno camon cx au galaxy note note4 Call me kwa 0743233710
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Miti ina umri wa miaka 6 Lina ukubwa wa eka 110 Linauzwa tsh1500000 Kwa kila eka na Kwa mhitaji itambidi kununua kuanzia eka kumi na kuendelea Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0764426929 au...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wamama na wadada, Nauza pedi nzuri sana za kufua. Ni nzuri sana kiafya hazina kemikali kabisa, ni pedi zinazodumu kwa muda mrefu sana, unatumia mwaka mmoja na zaidi. Zipo 4 kwenye packet...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Habari Wajumbe, Naomba msaada wa mtu anaejua wanapotengeneza hii mashine au anaeweza kutengeneza hii mashine. Ni mashine ambayo upande mmoja ni Rice Mill na upande mwingine ni Pulverizer (kusagia...
3 Reactions
47 Replies
7K Views
Back
Top Bottom