Magauni,pochi,na vitu vingi vya kike bei kwanzia 15000/= jumla na kuendelea wsp kuona zaidi +255769392185 au kucheki instagram jina happypeter142
Tupo Nairobi tawi langu ni arusha...online biz...
[emoji593][emoji596]RESTORATION MASTERS [emoji593][emoji596]
Are you in need for customizations, conversations or just pimping your ride. Look no further, at Auto Guru we will take care of all...
Habari zenu wadau,
Nauza tangawizi zaidi ya tani 20 ziko Madaba,Songea.Mwenye kuhitaji au unajua anayehitaji wasiliana nami 0628-615685 (whatsapp) au piga 0714-796778.
Habari wadau
Nina IST no. C nilikua napenda kubadilishana na mtu mwenye Noah hasa Old Model itakua preferred.
Ambae yuko tayari aniPM, nitashukru sana.
Ahsanteni.
True Ink Associates inapenda kuwatangazia wote kuwa review class ya CISA (Certified Information Systems Auditor) itaanza tarehe 20/03/2017, Dar Es Salaam City Center.
Kozi ni ya week tano (5)...
Tangazo: Kwa yeyote au waishio Njombe nina shamba la kulima lenye eka tatu nauza, lipo maeneo ya Njombe Magoda.
Kwa yeyote anayehitaji anione kwa no 0755011511 au 0716102060
Mashine hiyo niya kubadilisha/kufumua matairi ya gari kubwa na ndogo, nahitaji kwa ajili ya workshop yangu. Naweza kupata wapi hapa Dsm? Mwenye nayo tuwasiliane 0715465147 .
Nipo dsm
Habari wakuu nina shamba la ukubwa wa hekari 6 ninaliuza kwa mil20 Shamba liko karibu na mbuga ya saadan halina mgogoro wa utata wowote atakayekuwa interested anitafute tufanye biashara 0685369349
Habari zenu na Poleni na matamko wana jamvi!! Natafuta chumba na sebule Maeneo ya kijitonyama,makumbusho, Mwenge au Mbezi beach. Isiwe uswahilini sana, bajeti yangu ni 100,000.
Miti ina umri wa miaka 6
Lina ukubwa wa eka 110
Linauzwa tsh1500000 Kwa kila eka na Kwa mhitaji itambidi kununua kuanzia eka kumi na kuendelea
Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0764426929 au...
Habari wamama na wadada,
Nauza pedi nzuri sana za kufua. Ni nzuri sana kiafya hazina kemikali kabisa, ni pedi zinazodumu kwa muda mrefu sana, unatumia mwaka mmoja na zaidi.
Zipo 4 kwenye packet...
Habari Wajumbe,
Naomba msaada wa mtu anaejua wanapotengeneza hii mashine au anaeweza kutengeneza hii mashine. Ni mashine ambayo upande mmoja ni Rice Mill na upande mwingine ni Pulverizer (kusagia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.