Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kwa anae uza kiwanja hapa arusha nahitaji kwa maeneo ya Engosheraton kisiwe mbali na shule ya Edmund rice au chekereni na kikatiti.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
1. Ukubwa ni 40 X 40 square Miter Bei ni Million 50 Kiwanja kipo umbali karibu miter 500 kutoka bagamoyo Road. Na pia kipo karibu na kambi ya jeshi ya kunduchi. Maji umeme vyote vipo...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Wanajukwaa naomba kuuliza: Kiwangwa (Bagamoyo) ekari moja ya shamba wanauza bei gani? (Price range) Mazao gani yanafaa? (yanayotajwa sana) Vipi kuhusu utapeli? (Bagamoyo inasifika kwa kuuza...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Wadau, Maisha ni kuchangamka na kuchangamka ni kuamka. nimeamua kuanza biashara ya kuuza TV za Mitumba kuanzia Inch 24, 28, 32 sasa kuna kijana wangu hapa Dar ndo nataka afanye hiyo biashara...
0 Reactions
10 Replies
7K Views
For your inquiries of houses/appartments or office space for rent Masaki, Oysterbay, Msasani, Mbezi beach. Contact: 0689315582 Email: jo@jrrealestatedealers.co.tz Website...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Inahitajika simu tajwa hapo juu, iwe used but in good condition au brand new with affordable price. NOTE: (a) Inatakiwa iPhone 5S tu, mnaouza simu brand nyingine tusameheane wala sihitaji (b)...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nauza 3G HSPDA modem mpya inayotumia laini zote , pia ina sehemu (slot) ya kuweka memory card hivyo utaweza kuitumia kama flash pia kwa kuweka memory yako kwenye hiyo sehemu. Location: Napatikana...
0 Reactions
2 Replies
862 Views
Kama una mbao ambazo ushatumia tayari na unauza tuwasiliane, hata kama hujazitumia ila unauza bei ya chini kidogo. Nipo sinza. Sehemu yoyote kwa dar nitazifata kama unazo. ********NShapata...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nipo dar Nanunua nguruwe wa kuchinja Kama unao ni pm
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Tunafundisha Kompyuta kwa program za, MS WORD, ACCESS, EXCELL, POWERPOINT, INTERNENT AND E-MAIL, PUBLISHER n.k, kwa muda wa wiki tatu tu, vyeti vitatolewa kwa watakao hitimu. Tupo kinondoni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwanza, Mwanza, Mwanza.... KAA TAYARI...!! IDENTITY... Who am I?.... Why Do I Exist? UTAMBULISHO.... Mimi ni Nani?.... Kwanini Ninaishi? USIKOSE JUMAMOSI NA JUMAPILI HII (7-8/October) NDANI YA...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari za weekend? Nauza Smile 4G router, Ina chaja yake,Sim card na box pia. Inawez kusuply 10 users at once Wi-Fi internet. Bei ni 150k Inapatikana Arusha mjini. Mawasiliano njoo PM
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hanger kali ya chuma ya kutundikia nguo inapatikana hapa Autoguru workshop Kinondoni Manyanya mtaa wa brazil 0688767668 au 0715967108
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Asali mbichi kutoka Dodoma tunauza kwa bei ya jumla kuanzia lita 20 tuwasiliane 0652399916
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kama kichwa kinavyo jieleza naitaji soko la uhakika la viazi mviringo, ndizi na miwa. Napatikana Tanga kama unaitaji tuwasiliane kupitia sefujafari26@gmail.com au kupitia 0746756229
0 Reactions
2 Replies
994 Views
Hapa hapa Autoguru Workshop kinondoni Manyanya mtaa wa Brazil 0688767668 or 0715967107
0 Reactions
2 Replies
829 Views
We are Tracking Tech Tanzania Ltd We provide the following Services a) VT300 This is the model provides LIVE positioning and immobilizer.... Location - Know exactly where is your vehicle is...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Stand ya kuwekea jiko la gas tunakutengenezea kwa bei poa kabisa ya 150000 0688767668 or 0715967107
0 Reactions
1 Replies
17K Views
Jipatie Dinninga table ya watu4 kwa bei poa kabisa ya 395000 tu Tunapatikana Kinondoni Manyanya Mtaa wa Brazil 0688767668 or 0715967107 Info@autogurugarage.co.tz
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Habari, mm ni mwanafunzi wa Chuo mwaka wa kawanza, natafuta chumba cha selfcontained Umeme na Maji yawepo. Sehemu iwe kati ya (Magomen,Jangwani,Kariakoo au Ilala) Budget around 70,000 - 150,000/-
0 Reactions
7 Replies
972 Views
Back
Top Bottom