Nahitaji mashine ya kufyatulia tofali

Nahitaji mashine ya kufyatulia tofali

jashmoe32

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2012
Posts
1,099
Reaction score
438
Habari,

Naomba kuhabarishwa kuhusu gharama ya mashine ya kufyatulia tofali za inchi 4,5 na 6.

Nitashukuru sana kwa msaada wenu
 
Mkuu uko wapi?
Hujafafanua, kuna mashine za tofali moja na kuendelea
 
Hamna wanaouza mashine used jamani kwa bei nzuri?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom