Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

used but in very good condition location Dar es salaam upanga 0713430829 only 17,000,000/=
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Bei chee tu haina kasoro GB 16 Ram 2 GB Camera 13 MP Duos Betri 4000mAh Full kipupwe njoo ukague kabsa kama ikiwa na kasoro nakupa garama za usumbufu Tsh.250000
0 Reactions
3 Replies
916 Views
habari zenu wapendwa? tunauza Mashine za kuangulia vifaranga(Incubator) bei poa pia ni automatic,,na zinaanzia mayai 50-1000. pia tunatoa elimu ya matumizi na ya uifadhi wa mayai...karibuni sana
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari za humu wanajukwaa! Natumai wote mko salama na mnaendelea vizuri na majukumu yenu ya kila siku ya kuhakikisha mnakuwa na Maisha bora.Nahitaji msaada wa nyumba ya kupanga lkn maeneo ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
GOOD HOPE SECONDARY SCHOOL, INAPENDA KUWATANGAZIA NAFASI ZA MASOMO KWA KIDATO CHA KWANZA KWA MWAKA 2018, Pia ina nafasi kwa kidato cha pili, cha tatu na cha nne. NI SHULE NZURI NA YENYE...
0 Reactions
2 Replies
882 Views
TUITION TUITION TUITION. KWA WANAFUNZI WOTE WALIOKO KAGONGWA, MPERA, ISAGEHE NA BUGISHA NA MWALUGULU MNAKARIBISHWA MASOMO YANAYOFUNDISHWA NI, PHYSICS CHEMISTRY BIOLOGY KISWAHILI HISTORY GEOGRAPHY...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habarini wana jf, Kutokana vyuma kukaza nimefikilia kuanzisha biashara ya zambalau ambayo itanisaidia kujikwamua na hii hali ngumu yasasa Anae yajua masoko plz, msaada
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nahitaji mashine kubwa yenye kuweza kuzalisha japo gunia kumi na tano hasi ishirini kwa siku na elimu yake nawakilisha
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Millage-63,000km CC-1290 New tyres Bima ina expire 30/6/2018 Bei 8.8m mazungumzo yapo Contact 0752140001 0715140001-watsap
3 Reactions
46 Replies
6K Views
Wakuu habari,nauza vifaa vya saloon ya kiume vilivyotumika, Kuna vitu viwili laki 4 Vioo vikubwa vya ukutani viwili laki Kitu sofa l watu wawili laki Vishelve vya ukutani vya kioo 10000 Note...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Mtaalamu wa Mifugo anapatikana hapa dar. Anahudumia Mifugo yote ****. Mbwa Ng'ombe Mbuzi Kondoo Paka Kuku Bata Kanga. Ushauri pia anatoa bure. Karibu .
0 Reactions
1 Replies
664 Views
Habari. Anatafuta kazi ya kutibu Mifugo Kama. Kuku Ng'ombe Mbwa Paka Mbuzi. Ushauri pia anatoa ushauri kuhusu Mifugo. Jaribu.
0 Reactions
2 Replies
969 Views
Mwenye fridge size ya kati aina ya boss liwe la chini na sio la kusimama yaani namaanisha la biashara kwa ajili ya kupozea vinywaji nipo Morogoro kwa wiki hii then wiki ijayo nitakua Dar safari ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tunakodisha na Kuuza Machine Za Ujenzi na Vifaa vya Ujenzi aina zote. Tuna; EXCAVATOR Na NYUNDO JCB ROLLER TIPPERS WATER BOWSER CONCRETE MIXER GRADER BITUMEN SPRAYER Na nyungine nyingi...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nauza Huawei Mobile Wifi kwa Tsh 110,000/= Specification zake ni:- a) 4G b) Ni Universal - Inapiga kazi na laini zote za hapa TZ c) Inakaa na Chaji kwa zaidi ya masaa 5 d) Download speed ni 150...
0 Reactions
1 Replies
777 Views
Tupo dodoma. Mawasiliano ni 0757877963 0718877410
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Huenda jina la kmpuni inayozalisha simu za mkononi ambazo ni smartphone na simu za batani ambayo ni itel si geni masikioni mwa watu wengi. Binafsi itel nilianza kuisikia miaka minne iliyopita...
3 Reactions
21 Replies
10K Views
Biashara na miradi mbalimbali huhitaji kuwa documented.... Katika maandishi yenye mtiririko kitaalamu. Hii ni kwa biashara au miradi mipya au ya zamani. Proposal huwa na faida nyingi ukiacha...
0 Reactions
2 Replies
681 Views
Mwenye Toyota IST namba C au namba D ya Mwanzo kabisa naomba nijulishe,Offer yangu 6M 0683-011022
0 Reactions
5 Replies
875 Views
Habari wanaJF, Nipo Dar nahitaji vitambaa vya mashati na suruali (cadet). Nicheki whatsapp 0714-087253 Ahsanteni.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Back
Top Bottom