Nyumba Inapangishwa Ipo Mwenge Kanisa La Rc Karibu Sana Na Bamaga Na Afrikasana Ni Vyumba Viwili Vya Kulala Sebule Jiko Choo vyote Ndani Na Parking Ipo N Ndani Ya Geti
Tuwasilian
Nimejaribu kufuatilia bei za viwanja na nyumba Jf na ktk mtandao fulani maarufu wa kuuziana vitu na nimegundua kuwa bei za nyumba huko kidogo zipo chini sana, mathalani, unakuta nyumba ya vyumba...
Kama unachochote au hata kwa jirani au rafiki usije ukakiona kidogo au kibaya kunawengine wana kitafuta hicho
Hivyo tualifu na tutakifuata ili tuchanganye na vya wengine, kisha tutatangaza siku ya...
Haya jamani usiweke tv kwenye stuli ni hatari kwa kwako na mandhari ya sebule jipatie stendi kwa 70000 napatikana bondeni karibu na tangi bovu wahi kabla cjasombwa na maji mm na stendi...
Habari ya leo Wadau?
Nakuja kwenu kuomba anayefahamu anielekeze mahali ninakoweza kupata mbegu ya mpunga itwayo KOMBOKA, au nyingine yoyote ya kisasa/chotara (hybrid) ambayo ninataka kuitumia kwa...
INCHI 22 INA USB PORT, HDMI, EARPHONE PORT, DC AND AC ELECTRICITY 210,000 DSM HAINA TATZO LOLOTE BALI NATAKA CHUKUA 32 INCHI SERIOUSLY BUYER ONLY 0787 429 104. MBEZI LUIS.
Tunakodisha na kuuza magauni ya harusi na sherehe mbalimbali kama send off,bei ya kukodisha ni tshs 250000 na kuuza ni tshs 450000.Napatikana Tabata magengeni kwa mawasiliano 0659274118.
Asali mbichi toka mkoani Tabora ya nyuki wakubwa.bei ya lita moja ni tshs 10000 na lita tano ni tshs 45000,napatikana Ukonga -Dar es salaam.mawasiliano 0655030711.
Nauza kiwanja kipo Tegeta Boko, DAWASCO, upande wa pili wa bahari kwa juu.
Kimepimwa na serikali, imebaki kulipia na kupata hati miliki.
Unaweza kwenda kujiridhisha kuwa kiwanja kipo safe...
Kiwanja 20 mita kwa 21 mita kimepimwa, Tegeta dawasco book.
Bei million 14 .
Unaweza kulipa kwa awamu ...kwa kutanguliza cash million 8 au 9..
Hati miliki IPO njiani inatoka kwa jina LA mnunuzi...
Nissan Patrol for sale for an expatriate who left.
-Body type- Station wagon
-Year of manufacture 1,999
-Fuel used - Diesel
-Colour -Grey Beige
-All services were done regularly
- Price -...
Jamani wana jf,nataka nianzishe biashara,flan hivi,ila nmekwama katika kupata ni wapi ambapo wataweza kunitengenezea package kama zile za diamond karanga ,so msaada jamani,kwa watu wenye ujuzi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.