Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Dressing table table hii hapa chini inauzwa bei poa kabisa. Ni used ila inauzwa kwa sababu tu binafsi. Bei take ni 200,000 ila punguzo lipo tu. Napatikana Temeke Dar es salaam. Ukihitaji...
0 Reactions
33 Replies
8K Views
Get house map with it's model designe , remember we build house in low coast and we provide a special knowledge obout house building. contact: 0763269695
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Bei Million 21 kwa kila HEKA MOJA , zipo katika Town plan, Nauli ni 500 tu kutoka bunju hadi mapinga... Zimepimwa na zina offer, Ni meter 300 adi 500m kutoka barabarani. Zipo upande wa...
0 Reactions
0 Replies
890 Views
Iko nyuma ya mwananyamala hospital,eneo tulivu ulinzi wa kutosha ina room moja,sitting room,jiko,choo na bafu iko ndani!luku ya kujitegemea,maji Yapo ya kumwaga kodi inalipa miezi sita ambayo kwa...
0 Reactions
2 Replies
745 Views
Wadau wa ujenzi, natafuta kiwanja kinachouzwa na Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni maeneo ya mabwepande kama kuna mtu anahafahamu anishtue nahitaji low density area.
0 Reactions
0 Replies
589 Views
Mashine ipo sokoni wadau tafadhali kama utaiihitaji tuwasiliane kwenye nitakutumia picha zaidi na maelewano Call: +255788822242
0 Reactions
15 Replies
3K Views
hebu tuwasiliane hapa kwa ajili ya line za tigo pesa. bei ni ndogo tu Tsh 350,000/= kwa mawasiliano zaidi piga number uwasiliane na huyu jamaa 0684160222.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Over 25 years of experience. It is all about corrosion protection of buried and underwater steel pipelines, buried and above ground storage tanks,piles and other offshore structures.Our services...
0 Reactions
0 Replies
472 Views
Nianze moja kwa moja. Nipo katika mpango wa kufungua maduka makubwa la kuuza vyakula vya kuku huku mkoani mwanza. Ofisi zangu zipo tayari kwa sasa natafuta sehemu ambayo naweza kupata mzigo wa...
1 Reactions
0 Replies
831 Views
Ukubwa wa 500sqm kina leseni ya makazi kutoka wizara ya ardhi maelezo zaidi nifate pm
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Karibu. Jumla ni Hisa 1000 kila moja naiuza 800 kama unahitaji nipm tumalize biashara.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Year 2000 Maker TOYOTA Drive 2WD Color SILVER Name VITZ Engine 990 Mileage 147,000km Tshs. 8,700,000/= PUNGUZO LIPO Contact 0625568600
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nauza kiwanja changu babati kina ukubwa wa Sqmeter 886 viwanja serikali viligawa kwa awamu tatu na vina certified title deed kutoka serikalini. Ipo barabara ya kuelekea arusha na it's only 3...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau habari. PC yangu ni DELL LATITUDE E6410. Jumba (housing) linaloshikilia kioo chake limechoka sana. Naomba kama kuna mtu anaweza nisaidia nipate spea yake tuwasiliane kwa namba 0785777710...
0 Reactions
1 Replies
715 Views
Madalali tuungane, niko Arusha... tupanue network zetu tafadhali.. Post kazi uliyonayo hapa tusaidiane kutafuta wateja Ila uaminifu Kwanza.. Asante.. nifollow instagram @Dalali_arusha01...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Jipatie MiFi kutoka kampuni ya smile telecommunications yenye uwezo wa kuconnect devices 10 kwa wakati mmoja na wote mkafurahia kasi ya ajabu. Rangi ni nyeusi na nyeupe Tsh 115,000/= + 10 Gb kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
**Offer offer offer 1. lipia Canal miezi miwili kwa 40,000/= kila mwezi. 2. Utapata wiki mbili za kifurushi EVASION+ Yenye A+ SPORT Channel number 101. Malipo ya kawaida Axcess = 20,000/=...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Karibu kwa wataalamu wa ujenzi wa Ofisi Na MADUKA yakisasa mjini, tunafanya Kazi Na clients kuanzia design stages to implementation, tunatoa huduma nyingine Kama Arch. visualisation Na product...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Bei ni 5m tu. Gari ipo katika hali nzuri sana. Nipigie... 0716548250
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nauza mashine hii ya kukatia aluminium bei 270000/ Mashine ni nzima Njoo ujipatie Napatikana dar 0715591141 kwa mawasiliano zaidi Ova
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Back
Top Bottom