Habari wadau.
Nauza mashine yangu ya kuprint tshirt mpya kabisa kwenye box lake..
Nilinunua mwanzoni mwa mwaka huu kwa ajili ya kuanzisha biashara ya kuprint tshirt...
Sababu ya kuuza ni...
Habari wadau na pole na kazi.
Kuna calculator fulani zenyewe huwa zinaongea kwa kila kitufe unachobonyeza ili kumsaidia mtu mwenye uono hafifu au asiyeona kabisa kujua anachofanya.
Kwa yeyote...
Wakuu habarini za jioni?
Mimi ni muhitimu (bachelor in taxation) na nina uzoefu sana na sheria za kodi kwani mbali na kuzisoma kinagaubaga darasani kwa miaka mitatu pia nimefanya kazi na TRA hivo...
Habari wadau,
Naomba kwa atakaeguswa anisaidie kunirushia project proposal inisaidie kuandikia miradi ya CBO yetu, tumepata mtu wa kutuunganishia kwa mfadhili lakini tunakosa mradi wa...
Habari wana jukwaa
Natafuta chumba cha kupanga, maeneo ya Kimara, Buguruni, Magomeni au eneo lolote lisilo na Foleni ya Kwenda Muhimbili National Hospital(gari moja)
Kiwe kizuri, ikiwezekana na...
Eternal International wana kifaa ambacho kitayafanya maji yako kuwa salama na safi kwa kunywa.
ENERGY CUP ni kifaa ambacho kinabalance Ph ya maji na kuyachuja na kuyafanya kuwa salama na safi kwa...
Habari zenu umundani,tunauza Viwanja maeneo ya Mbagala dar es salaam Kata ya chamazi,mbande mipeko kwa Shilingi milioni mbili na nusu(2.5) tu. Na kwa hekari moja ni Shilingi milioni18 tu. Unaweza...
Bidhaa mpya
Six pack care
Mashine ambayo ni mult functional utafanya mazoezi ya mwili mzima kupitia kifaa hiki ukiwa nyumbani
Kwasasa vipo kwenye promotion kutoka 350,000 mpaka 300,000
Wasiliana...
Habari ndugu zangu,ninauza simu yangu haina tatizo lolote nimekwama tu baadhi ya mambo ndiyo nataka niuze.
Ipo katika hali nzuri
Bei; Laki tatu (300,000)
Mawasiliano ; 0624-052791
Nilipo ; Dar
Habari wakuu,husika na kichwa cha habari hapo juu,Tunauza mifumo mbalimbali ya kiteknolojia(Software)inayotumia computer inayoweza kukusaidia kuhifadhi Taarifa za mauzo na usimamizi wa biashara...
Habari wakuu
Kutakuwa na shindano la fifa 17 kwenye ps3 na ps4 siku ya jumamosi Oct 28,2017 pale NEW MSASANI CLUB,
Shindano litaanzia kwenye hatua ya makundi na kisha mtoano, shindano litaanza saa...
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza,mm in mkaz was morogoro mjini ,natafuta eneo LA kuishi liwe na ukubwa was heka 3/mwenye nalo ani pm Liwe ndani ya Manispaa ya morogoro,nafikiria kufuga pia ktk...
Viwanja vinauzwa Dar es salaam. kiwanja kiko Kibaha picha ya ndege. kuna maji na umeme. kina ukubwa wa Acre moja. kingine kiko Chanika Acre moja na robo. Bei maelewano kwa mawasiliano tafadhali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.