Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wadau. Nauza mashine yangu ya kuprint tshirt mpya kabisa kwenye box lake.. Nilinunua mwanzoni mwa mwaka huu kwa ajili ya kuanzisha biashara ya kuprint tshirt... Sababu ya kuuza ni...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Habari za mda huu wadau?. Ninahitaji mbegu ya kuku KUROILER kutoka kwa mfugaji aliepo MWANZA.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wadau na pole na kazi. Kuna calculator fulani zenyewe huwa zinaongea kwa kila kitufe unachobonyeza ili kumsaidia mtu mwenye uono hafifu au asiyeona kabisa kujua anachofanya. Kwa yeyote...
0 Reactions
2 Replies
713 Views
Wakuu habarini za jioni? Mimi ni muhitimu (bachelor in taxation) na nina uzoefu sana na sheria za kodi kwani mbali na kuzisoma kinagaubaga darasani kwa miaka mitatu pia nimefanya kazi na TRA hivo...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wadau, Naomba kwa atakaeguswa anisaidie kunirushia project proposal inisaidie kuandikia miradi ya CBO yetu, tumepata mtu wa kutuunganishia kwa mfadhili lakini tunakosa mradi wa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wana jukwaa Natafuta chumba cha kupanga, maeneo ya Kimara, Buguruni, Magomeni au eneo lolote lisilo na Foleni ya Kwenda Muhimbili National Hospital(gari moja) Kiwe kizuri, ikiwezekana na...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani naomba ushauri, kwa mwenye uelewa wa title hapo juu, ili niwe na uhakika wa kuapply mwakani.
0 Reactions
1 Replies
743 Views
Toshiba satellite 2gb RAM HDD 500 dual core 2.3GHTz ipo kwenye hali nzuri bei ni Tsh.350000 anaye hitaji ani pm.
0 Reactions
1 Replies
842 Views
Eternal International wana kifaa ambacho kitayafanya maji yako kuwa salama na safi kwa kunywa. ENERGY CUP ni kifaa ambacho kinabalance Ph ya maji na kuyachuja na kuyafanya kuwa salama na safi kwa...
0 Reactions
1 Replies
688 Views
Habari zenu umundani,tunauza Viwanja maeneo ya Mbagala dar es salaam Kata ya chamazi,mbande mipeko kwa Shilingi milioni mbili na nusu(2.5) tu. Na kwa hekari moja ni Shilingi milioni18 tu. Unaweza...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Bidhaa mpya Six pack care Mashine ambayo ni mult functional utafanya mazoezi ya mwili mzima kupitia kifaa hiki ukiwa nyumbani Kwasasa vipo kwenye promotion kutoka 350,000 mpaka 300,000 Wasiliana...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu,ninauza simu yangu haina tatizo lolote nimekwama tu baadhi ya mambo ndiyo nataka niuze. Ipo katika hali nzuri Bei; Laki tatu (300,000) Mawasiliano ; 0624-052791 Nilipo ; Dar
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wakuu,husika na kichwa cha habari hapo juu,Tunauza mifumo mbalimbali ya kiteknolojia(Software)inayotumia computer inayoweza kukusaidia kuhifadhi Taarifa za mauzo na usimamizi wa biashara...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu Kutakuwa na shindano la fifa 17 kwenye ps3 na ps4 siku ya jumamosi Oct 28,2017 pale NEW MSASANI CLUB, Shindano litaanzia kwenye hatua ya makundi na kisha mtoano, shindano litaanza saa...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza,mm in mkaz was morogoro mjini ,natafuta eneo LA kuishi liwe na ukubwa was heka 3/mwenye nalo ani pm Liwe ndani ya Manispaa ya morogoro,nafikiria kufuga pia ktk...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Viwanja vinauzwa Dar es salaam. kiwanja kiko Kibaha picha ya ndege. kuna maji na umeme. kina ukubwa wa Acre moja. kingine kiko Chanika Acre moja na robo. Bei maelewano kwa mawasiliano tafadhali...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Wapendwa naomba anayeuza sausage casing naomba unipm.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari! Kwa yeyote mwenye line ya uwakala ya Tigo pesa na Airtel money naitaji nataka kununua,so aliyekuwa nayo ani PM Tafaadhali tufanye biashara….
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ninahitaji Laptop Yenye HD 500 au zaidi CO i 3 au zaidi... Anayeuza kutoka dukani Nimuungishe...
0 Reactions
2 Replies
799 Views
Back
Top Bottom