Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Apartment mpya kabisa hizi zipo kmr temboni upande wa kulia km unaenda mbezi kutoka main road ni dk 5 tuu kwa miguu zipo 3 kwenye kampaundi moja apartment moja ndio imebakia ina vyumba 2 vikubwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Toner cartridge Refills is your best solution to less-expensive laser toner cartridge costs. Our toner refills are revolutionary and easy to use. Enjoy high quality toner refills with us. What's...
0 Reactions
0 Replies
587 Views
Habari wadau naomba msaada wa mawasiliano wa fundi mzuri wa AC za magari
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Wadau natafuta Bar code Scanner. ..mpya au hata used pamoja na sales programme.Kwayoyote mwenye nayo anichek wakuu..0659300000
0 Reactions
0 Replies
959 Views
Natafta gari used, iwe ni mitsubishi canter long base 3 tones. Itakuwa vema kama itakuwa ya engine D35. Chasis iwe haina vidonda Offer 12. Mill.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Freelances needed I need agents to sell raw cashew nuts to international market +255676019019 WhatsApp me Much gusto Mr MD Boniface I don't reply back here
0 Reactions
0 Replies
424 Views
Nauza simu aina ya sumsung galaxy j5 kwa 250000 na kitanda mbao orijinal 5*6 kwa 270000
0 Reactions
8 Replies
3K Views
wana jamii nilikuwa nataka kufuga ngombe , nilikuwa napenda kujua bei yake pia na bei ya mbuzi
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mahindi fresh mabichi kwa anaehitaji shamba lipo mwasonga kigamboni Dar es salaam
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari zenu wandugu, Naomba kwa mwenye uelewa anisaidie kati ya mashine tajwa hapo juu ni ipi nzuri. Sehemu ninapotaka kuiweka concern kubwa ni LUKU customers maana sio mjini sana. Naomba mwenye...
0 Reactions
2 Replies
957 Views
Ina vumba 3,vya kulala Dining table ,sebule,jiko,,public toilet. Sm.0752141957
0 Reactions
30 Replies
6K Views
Habari wakuu, Friji kubwa na nzuri na bado mpya inauzwa. Upande mmoja fridge mwingine freezer pia INA water dispenser. mwenyewe anahama nchi ndio sababu ya kuuza. 1.2m IPO tabata kinyerezi...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Natafuta laini kwa ajili ya uwakala,alie Nazo tuwasiliane.
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Karibu muwekeze kwenye kilimo na miti. Shamba langu nauza linafaa kulima viazi mvingo, mahindi,njegere, ngano na kupanda miti kama mipaina,milingoti na mibani.ukitaka eka moja au zaidi sawa,bei...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wadau, naomba msaada wa maelekezo na maelezo kwa anayejua duka la nguo nzuri za watoto wa kiume hapa dar kati ya miaka 3-6 na price zake kama zinafahamika!! au kama kuna mtu anauza pia...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nauza i phone 6 16gb kwa laki 6 maongezi kidogo yapo... Imetumika miezi nane
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu hali imebana natafuta gari RAV4 nina milioni 4 tu
0 Reactions
14 Replies
2K Views
ingia hii link E-currency exchanger listing, best rates from reliable exchangers then ikifunguka nenda affiliate program then shuka chini kidogo utaona neno register bofya baada ya hapo jaza...
0 Reactions
4 Replies
960 Views
Habari wana bodi? Kama kuna mtu ana hitaji kitu chochote kinachopatikana kwa urahisi na bei nafuu katika mataifa ya Russia na Ukraine, tafadhali aje PM. Atanunuliwa mzigo wake na kuletewa hadi...
1 Reactions
28 Replies
2K Views
Tunauza nguo za watoto za mtumba za ukweli, Magauni, sketi, blauz, sweta, pensi, suruali, short pens, swiming cost, t shert, shati, nk bei ni sh 8000 nakuendelea tunapatikana karume piga namba...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Back
Top Bottom