Apartment mpya kabisa hizi zipo kmr temboni upande wa kulia km unaenda mbezi kutoka main road ni dk 5 tuu kwa miguu zipo 3 kwenye kampaundi moja apartment moja ndio imebakia ina vyumba 2 vikubwa...
Toner cartridge Refills is your best solution to less-expensive laser toner cartridge costs. Our toner refills are revolutionary and easy to use. Enjoy high quality toner refills with us. What's...
Freelances needed
I need agents to sell raw cashew nuts to international market
+255676019019 WhatsApp me
Much gusto
Mr MD Boniface
I don't reply back here
Habari zenu wandugu, Naomba kwa mwenye uelewa anisaidie kati ya mashine tajwa hapo juu ni ipi nzuri. Sehemu ninapotaka kuiweka concern kubwa ni LUKU customers maana sio mjini sana. Naomba mwenye...
Habari wakuu, Friji kubwa na nzuri na bado mpya inauzwa. Upande mmoja fridge mwingine freezer pia INA water dispenser. mwenyewe anahama nchi ndio sababu ya kuuza.
1.2m
IPO tabata kinyerezi...
Karibu muwekeze kwenye kilimo na miti. Shamba langu nauza linafaa kulima viazi mvingo, mahindi,njegere, ngano na kupanda miti kama mipaina,milingoti na mibani.ukitaka eka moja au zaidi sawa,bei...
Habari wadau, naomba msaada wa maelekezo na maelezo kwa anayejua duka la nguo nzuri za watoto wa kiume hapa dar kati ya miaka 3-6 na price zake kama zinafahamika!!
au kama kuna mtu anauza pia...
ingia hii link E-currency exchanger listing, best rates from reliable exchangers then ikifunguka nenda affiliate program then shuka chini kidogo utaona neno register bofya baada ya hapo jaza...
Habari wana bodi?
Kama kuna mtu ana hitaji kitu chochote kinachopatikana kwa urahisi na bei nafuu katika mataifa ya Russia na Ukraine, tafadhali aje PM.
Atanunuliwa mzigo wake na kuletewa hadi...
Tunauza nguo za watoto za mtumba za ukweli, Magauni, sketi, blauz, sweta, pensi, suruali, short pens, swiming cost, t shert, shati, nk bei ni sh 8000 nakuendelea tunapatikana karume piga namba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.