I am dealing with a new project world wide but currently expanding in Tanzania.I'm looking for serious partners that will work with me to make 200-500 USD in a week. The project needs a person who...
Shamba linauzwa ukubwa wa shamba ni eka 70.Sehemu ya shamba lina mazao kama mikorosho na miembe. Lipo Vigwaza ni 1 kilometer from Morogoro rd.
Bei ni maelewano. Kwa maelezo zaidi piga cm no...
Wadau wa JF,
Natambua kuwa humu ndani wamejaa wajasiriamali wengi sana,kwa kutambua hili ninapenda kuwapatia solution ya kipekee kwa ajili ya kuhakikisha biashara zenu zinakuwa online kwa gharama...
Kama kuna mwenye vifaa tajwa anijie PM fasta tufanye biashara.
Nimeongeza, na meza inayofaa kutumika dukani kama unayo nahitaji.
Dar es salaam tu.
.************************
Pangaboy nimepata...
Chama cha Skauti wilaya ya mbogwe kimewapatia mafunzo vijana na kushiriki mashindano ya Skauti Taifa wakiwakilisha mkoa wa Geita nakufanikiwa kupata ushindi wa kikombe katika nafasi ya tatu...
Tunasafirisha mizigo na Vifurushi kutoka Dar es salaam kwenda mikoani Ofisi zipo Kariakoo Mtaa wa Nyamwezi na Ndovu na Ubungo Bus Terminal.
Piga 0742 005500 au 0767 181836 au 0677 646292
Ninahitaji wafanyakazi wawili,
Jinsia ni Ke,
Umri kuanzia 18 hadi 30,
Kazi ni kuwapikia chakula mafundi site,
Mshahara ni elfu 50,
Eneo ni Zanzibar.
:Malazi na chakula nitagharamia.
Mawasiliano...
Natumai mnaendelea vyema na majukumu ya kila siku ni kama kichwa cha habari kinavyojieleza, ninahitaji kufahamu bei na upatikanaji wa generator tajwa hapo juu likiwa ni la three phase na uwezo wa...
Kampuni ya mastech IT solution inatoa ofa ya kutengeneza website kwa bei nafuu security ipo juu sana tunatumia firmwork za kisasa zaidi kama laravel pia tunatoa huduma za computer maintainance and...
Habari za asubuh wakuu...
Naomba kufahamishwa maeneo yanayouzwa bidhaa zifutazo kwa jumla
1.super glue
2.dawa za viatu(kiwi,kangroo)
3.dawa za meno
4. Soksi(pundamilia)
5 amira
6 n.k
Naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.