Habari.naomba kupata maelekezo na uzoefu njisi ya kupata samaki wa bwawa ka mtera toka kwa wavuvi.
1.bei
2.gharama km malazi
3.usafirishaji
4.changamoto
Thanks in advance
Je, unajua hapa tanzania kuna blog zaidi ya 5000 na tovuti yaani websites nyingi
Tanzania kwa sasa inakuwa kwa kasi kwenye masuala ya mtandao kulingana na ukuaji wa uchumi,biashara na viwanda...
Habarini wanajamvi..
Naombeni muhusike na kichwa cha habari hapo juu Ndugu Zangu
Nauza jengo la nyumba ya kisasa lenye vyumba vinne(4) liliopo maeneo ya mbezi, Goba ,kulangwa Dar es salam...
Mnatumia printer zipi kuprint mabango makubwa kama ya barabarani na ni shingapi printer hizo je naweza pata hapa Tanzania na pia mnatengeneza na kuprint kwa tshs ngapi? na paper hizo zinaitwaje...
Mi mkazi wa dodoma,,kuna mashine za kienyeji zimegundulika kwa ajili ya kutotoreshea vifaranga zinapatikana kwa urahisi sana na zinatotoa kwa kiwango kikubwa sana,,
Kama kuna mtu...
Habari
Husika na kichwa hapo juu, Kwa yoyote anae hitaji pikipiki, Bei ni Laki 9 na Nusu, Tafadhari tuwassiliane kwa namba ifuhatayo +44 7452 925919 WhatsApp.
Haijawai kutumika kama bodaboda...
Umewah pita sehem ukakutana na Nyumba nzur inapambwa vizur kwa Urembo na rangi nzur ukawa unaishangaa ...bas dawa ya huo mshangao ni ww kuibadilisha au kuitengeneza ikawa kama ile...
Nichek PM...
Mambo vipi wadau, naitwa Snitch2020
Nafanya biashara ya kuuza kuku wa kienyeji na bei zake ni kuanzia 13000. kuku ni wakubwa na wazuri. Nawatoa Iringa,Dodoma na Singida.
kuku nauza kwa order...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.