Mkuu unapoziuza jaribu kutofautisha bei. Moja iwe juu nyingine iwe bei chini kidogo
Mfano:
Vodacom
...wakala anapomuwekea mteja pesa ama anapopokea pesa iliyotolewa na mteja...Wakala hapati taarifa yoyote ya commission ya huo muamala lakini mitandao mingine km tigo wao wanamjuza Wakala kwamba mrejaa ni........., pia kwa mteja aliyetoa anajuzwa kwenye meseji kwamba ada ya kutolea amekatwa .......... (Kwa voda haya mambo hayapo.....) Zaidi ya makaratasi ya kubandika ukutani
Hebu tofautisha bei, mmoja ameboresha Huduma na anafanya kwa uwazi hata anapoiba unakuwa na mwanga kwamba naibiwa hapa. Huyu voda anafanya kazi kwa usiri na anapoiba huwezi jua unaibiwa wapi...unaweza ukawa unaibiwa kila muamala lakini unashindwa uanzie wapi kudai haki yako.
Hebu bei ya laini ya voda shusha...toa haki kwa maboresho ya Huduma walioifanya Tigo.
Hahahaa