Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Color Silver CC 2360 AB ABS AW RS FOG NV 2WD 100s km Total Cost + Ushuru Tsh 20.5Mil Agiza nami kwa: Call/whatsapp/skype: +255715471659 e: hamoudautocom@gmail.com Office: Quality Centre, Nyerere...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Natafuta wateja wa viatu jumla na rejareja head office kariakoo mtaa wa nyamwezi na wakala yupo tunduma, mbeya lakini ukitaka popote tunakuletea bei nafuu kabisa
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Kinasoru East Africa Tanzania Ltd inatoa fursa ya mafunzo ya uendeshaji wa mradi wa ufugaji wa kuku, utotoreshaji wa Vifaranga, Utengenezaji na Uandaaji wa vyakula mbalimbali vya kuku...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nahitaji mbaazi kwa wingi nipo Dar es Salaam, kwa wauzaji serious wanitafute 0714007173
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Waungwana wa JF nauza sofa Tsh 500,000 tu kwa zote tatu, Zipo Ubungo Dar es Salaam. Kwa maelezo zaidi phone No,0713 418 321
2 Reactions
26 Replies
6K Views
know SPLINA. 1.cleansing. cleanses the digestive system, assists in purifying blood, eliminates bacteria, disinfects and detoxify. 2. balancing. balances body acid alkali levels, boots the...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nyumba inauzwa kwa amri ya mahakama ni nzuri ya kisasa ipo kwenye eneo lenye ukubwa wa 30 urefu kwa 21 upana inbox me kwa maelezo zaidi
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wakuu Kichwa cha habari kinajieleza.Nahitaji TV ya inch 21 ya chogo na king'amuzi viwe katika hali nzuri.0714 411041 nipo dar
0 Reactions
6 Replies
956 Views
Habari za jioni wadau. Kwa Wanaohitaji Mikopo midogo midogo kuanzia (100,000 mpaka 2,000,000) kwa wakazi wa Dar es salaam tu. Riba ni 25%. Karibuni. Mawasiliano +255712 220207. Post sent using...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari ndugu zanguni, Nauza mahindi nina gunia 100, Zipo Bukoba Kagera bei kwa gunia moja ni sh 75000, Karibuni wote 0756664797.
0 Reactions
1 Replies
806 Views
Make: toyota Model:alphard Year:2004 Cc:2360 Engine: 4cylinder Condition: mint Colour:pearl white Registartion no: DJU camera: front, back and inside. Tv: front and back seats. Milleage: 61,352...
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Kwa wapenzi wa movies na series waliopo IRINGA, nicheki kwa 0658714777 au 0692442335.bei ni poa sana. Kitu kama DESIGNATED SURVIVOR season 2, VALOR season 1. na nyinginezo.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ninahitaji mbegu ya mihogo aina ya kiroba. Shamba langu lipo Kibaha Soga. Mwenye taarifa ya upatikanaji wa mbegu hii naomba anifahamishe au anipatie mawasiliano ya muhusika. Natanguliza shukrani zangu
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Salama wadau nahitaji Gari kwa maelewano ili niwenaleta hesabu.naomba kwa ambaye mwenye Gari ambayo haili mafuta sana tuwasiliane.0689171797
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Sifa za gari cc 1990 150,000km yr 2000 rim sports tairi mpya namba B Haijarudiwa rangi Haijaguswa engine Maongezi kidogo yapo Simu 0716411720
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari za kazi! Ninauza majogoo aina ya Kroiler/Chotara kwa bei ya shilingi 15,000/- wana umri wa miezi 7. Mimi ninapatikana Dar es salaam. Kwa atakayehutaji ntamletea hadi mlangoni. Shukrani.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wale wanaohitaji dagaa wa Bukoba wasio na mchanga tayari wamewasili,wanapatikana eneo la taliani Kama unaelekea chanika bei yetu ni shilling 7500/= kwa kilo. Karibuni Sana
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za kazi! Ninauza majogoo aina ya Kroiler/Chotara kwa bei ya shilingi 15,000/- wana umri wa miezi 7. Mimi ninapatikana Dar es salaam. Kwa atakayehutaji ntamletea hadi mlangoni. Shukrani.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Investments opportunities in Dubai's new down town
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za umundani Viongozi,naomba kujua kampuni yeyote ambayo inanunua mchaichai(lemonglass) moja kwa moja kutoka shambani Kama ipo au mawakala wapo naomba mawasiliano tafadhari. Hata njia ya...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Back
Top Bottom