Habari za wakati huu wadau!, kama Topic inavyojieleza Natafuta tenda ya kusambaza samaki aina zote kwenye Mahotel, migahawa, shule na madukani.
AINA YA SAMAKI: Sato , Sangara, vibua, kamongo...
Natafuta shamba kwajili ya kilimo cha vitunguu, viazi au mpunga morogoro ila sio la kununua ni kukodi kama kuna mtu anaweza nisaidia nitashukuru!![emoji120]
Naombeni. Kujua na kuuliza. IPI ni window bora kwa PC ya Duo2 pia RAM 2GB
Swali LA pili. No hatua zipi za kufata wakat wa kushusha window 8 kuweka window 10 msaada jaman
ni Miti kwa ajili ya mbao ,mirunda na nguzo za umeme
Miti ina miaka 4
Bei ni 1200000 kila eka
Zipo eka 20
Shamba lipo kijiji cha lyalalo halimashauri ya Njombe ktk mkoa Wa Njombe
Kwa mawasiliano...
Habari wakuu!
Natafuta frem ya biashara ya grocery iwe maeneo ya mbezi ya Kimara! Isiwe kwa ndani sana,maeneo yaliyochangamka na yanayoruhusu watu kusuuza roho zao kwa kinywaji!
Inatumia mtandao wa tigo, lakn ukiongea vzr na wataalamu wa IT kama kina MwlRTC wanaweza kukusaidia kuiunlock itumie mitandao yote,
Sababu ya kuiuza ni kwamba nipo nje ya mji kwa miez kadhaa...
Ninauza mawe ya Tanga stone yaliyo katwa Tayari. Square meter moja nauza ni kati ya Tsh 35,000 na Tsh 60,000 inategemea na aina ya mkato (cutting style)
Wasiliana nami kwa namba hii 0758484166/...
wakuu habari! natafuta email address ya ICAP TANZANIA ambayo inafanya kazi maana hii ya icap-jobsTanzania@columbia.edu napata feedback kuwa siyo sahihi.
Habari wakuu
Hii tv nimeiona mtandaoni
inauzwa bei rahis sana
Ni mtandao wa alibaba
Jee dukani huku bongo ni sh ngp?
Nikiiagiza mtandaoni nitakatwa kodi?
Watson's honey product"
-hii Asali yenye virutubisho vya kipekee sana .
-Asali hii inakua tofauti na asali nyingine kutokana Na maua Na miti ambayo nyuki uchukua virutubisho kutengeneza Asali...
Ninauza nyumba, moja manzese darajani karibu na soko la manzese na nyingine zipo bunju usalama, kwa mtu mwenye kuhitaji anitafute kwa namba zifuatazo:
0717095366/0713990022/0786583806/0783502420
Habari za mida hii.
Anahitajika fundi wa kamabati ya jikoni na bed room wa uhakika na garama nafuu.
Kama wewe ni fundi wa ukakika basi jitokeze nitakupa namba ya simu nione sampo ya kazi na maelewano
Zipo eka 100
Bei ni tsh 100000 kila eka
Shamba linapatikana tarafa ya lupembe mkoani Njombe
Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0764426929 au 0655726929
Linafaa kupandwa Miti ya mbao,matunda aina ya...
Wakuu habari za mudaa.
Kama swali linavyojieleza hapo juu, ninahitaji maziwa freshi ya ng'ombe kuanzia lita 100 hapahapa Dar na iwe naweza yapata kila siku.
Nataka kujua na bei ya lita moja...
Kama tangazo linavyojieleza nauza sabuni za magadi toka kigoma ni nzuri kwa kufilia kuoshea vyombo na hata kuogea ulipenda
Bei kwa mche sh 1500
Kwa katoni ni sh 30000
Sabuni zinapatikana dar...
Lina ukubwa Wa eka 100
Bei ni tsh 100000 kwa eka
Lipo ktk tarafa ya Lupembe mkoan Njombe
Kwa mawasiliano zaidi nipigie simu 0764426929 au 0655726929
Shamba lipo mahali pazuri na linafikika na gari