Alibaba ni wauzaji wa jumla mkuu, yan kuanzia idadi fulani huchukua kwa bei ulioona (min oder) kwahiyo kama ni TV min oder kuanzia 5 au 10 zidisha kwa hiyo hela then angalia na issue za kuship,.....Habari wakuu
Hii tv nimeiona mtandaoni
inauzwa bei rahis sana
Ni mtandao wa alibaba
Jee dukani huku bongo ni sh ngp?
Nikiiagiza mtandaoni nitakatwa kodi?
Nimeiuta alibaba mkuu kwa minimum order yake ni piece 1Alibaba ni wauzaji wa jumla mkuu, yan kuanzia idadi fulani huchukua kwa bei ulioona (min oder) kwahiyo kama ni TV min oder kuanzia 5 au 10 zidisha kwa hiyo hela then angalia na issue za kuship,.....
Either nenda Ali express kama unataka piece moja!!!
Kila la kheri!!!