Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu habari, ningependa kufahamishwa sehemu ambapo hizi packages (cups) za juice na hiyo ya hot chocolate zinapatikana ikiwezekana na bei zake N.B: (zilizo tupu kwa ajili ya biashara /brand...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Tupate kwa Whatsapp no: +255768829357, Email: frankmartha955@gmal.com na instagram DM e_graphicstz, gharama ya huduma zetu ni affordable kwa kila mtanzania wa kawaida. Mfano wa kazi zetu:
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu , premio nyeusi kuanzia no DF... mileage chini ya 90k inahitaji haraka ndani ya wiki kuanzia sasa bajeti btn 8M-9M
0 Reactions
6 Replies
986 Views
Nahitaji mwenye nayo au kujua wapi nitaweza kupata housing original ya nokia c2-01. Nimehangaika bila mafanikio. Nikiweka hizi za kichina za elfu 3 button zinakataa kabisa kupiga kazi. Shukrani zangu!
0 Reactions
0 Replies
591 Views
Inafaa kwa matumizi ya photography na videography ktk mazingira tofauti tofauti. Features; 1.black, useful kublock unwanted light towards your subject 2.white, useful to add brightness to your...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nipo Dodoma ninauza vitambaa vya kufuma kwa bei poa jumla na rejareja.. N.B Natengeneza mwenyewe hivyo tukiongea unaweza kuletewa kwa bei poa kulingana na makubaliano pia unaweza kuweka order ya...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Wanajamvi ni maeneo gan kwa hapa dsm naweza peleka pop corn na ikatoka kiurahisi??
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kama ni mfanyabiashara au mnunuzi umekuwa ukisunbuka sana kujua thamani ya sarafu fulani, huenda ikawa umeona bidhaa online kwa bei ya nchi fulani lakini hujui thamani yake kwa dola au shilingi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ninauza laptop yenye sifa zifuatazo. 1. Model : HP probook 6360b 2. RAM : 4 GB 3. Harddisk : 500GB 4. Screen : 14 inches 5. OS : Windows 7 pro (Activated) 6. Processor : Core i5, 64bit, 2.5 GHz 7...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Imetumika miezi mitatu. Bei ni 320,000/= Napatikana Mwanza.
0 Reactions
20 Replies
4K Views
  • Closed
Amani kwenu wadau, nina mashine ya hp elitebook 8470 ipo katika hali nzuri kabisa, imetumika miezi 3 toka inunuliwe. specification zake: Hdd 320Gb Ram 4Gb Processor Intel (R) Core (TM) i5...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa nini choo kinuke wakati suluhisho lipo Jipatie manukato ya choo yenye harufu nzuri ya kuvutia product ya south africa. Baada ya kusafisha choo chako kausha maji kisha mimina manukato haya...
0 Reactions
5 Replies
9K Views
Habari mwenye nayo aje tufanye biashara
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za wakati huu wadau!, kama Topic inavyojieleza Natafuta tenda ya kusambaza samaki aina zote kwenye Mahotel, migahawa, shule na madukani. AINA YA SAMAKI: Sato , Sangara, vibua, kamongo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Natafuta shamba kwajili ya kilimo cha vitunguu, viazi au mpunga morogoro ila sio la kununua ni kukodi kama kuna mtu anaweza nisaidia nitashukuru!![emoji120]
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Ni aina gani nzuri ya mashine ya kusaga matunda(blender)....kwa jiji la mwanza naweza kupata maduka gani..?
1 Reactions
46 Replies
11K Views
Naombeni. Kujua na kuuliza. IPI ni window bora kwa PC ya Duo2 pia RAM 2GB Swali LA pili. No hatua zipi za kufata wakat wa kushusha window 8 kuweka window 10 msaada jaman
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Back
Top Bottom