Habari wana jf,naomba kujuzwa bei ya matenki ya kuhifadhia maji iwe bei ya polytank,simtank au kiboko ujazo iwe lita 1000 na 2000 naomba kujuzwa kwa wale wanaofahamu jamani
Ndugu Wana Jamii forums!
Ninaomba msaada kwa yeyote yule anayeishi Canada au nje ya Canada anayemfahamu Ndugu anayefahamika kwa jina la TOSH au Daniel Musisi na anajua namba yake ya simu,Anuani...
Habari za mida hii.
Natafuta simu tajwa hapo juu Samsung Galaxy e7 rangi iwe black, hata iwe imetumika kwa muda gani ni sawa tu ila cha msingi iwe ni black.
Contact 0754995752
Tunadeal na kutoa google account au FRP lock pia network lock kama simu yako inatumia aina moja ya mtandao pia tunarepair network tunatoa virus kwa zile simu ambazo zinajidownload program na...
Habarini za asubuhi wanajamvi, ni matumaini yangu nyote mmeamka salama.
Bila kuwachosha ningependa kuomba msaada kwa mtu yoyote anayefahamu sehemu ambayo wananunua na kuuza vitu used vya...
Ili usisumbuke tena, simu yako isijae kwa app nyingi hadi ianze kuwa slow, App hii apa!, ni mwisho wa matatizo, utapata 1.Blogu zote, 2.Redio Zote ,3. Tovuti zote kubwa 4.Mitandao ya kijamii...
Husika na kichwa hapo juu,
Mimi ni mwanafunz mwaka wa kwanza,naishi geto,,sasa mwenye Godoro safi(nimelenga wanaomaliza chuo) anichek direct,Bajet njoo tuyajenge,
0659319763
0625697394.
Naitwa Shaban Rajab kutokea Tegeta Madale ninauza mayai ya kienyeji
kwa bei ya 14,000/= kwa tray. Kwa mawasiliano zaidi tuwasiliane kwa namba 0769345032 au 0754250816 ahsanteni
Habari zenu??nauza simu ya tochi used haina ufa elfu 35 ina camera ni halotel,kama upo tayari ni pm.
pia nauza screen touch ni itel used elfu 50 kama upo tayari ni pm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.