Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Naomba mnisaidie wafanya biashara mnaonunua bidhaa toka China. Mm ni mfanya biashara wa nguo za kiume na kike natamanibsana kuagiza bidhaa nje ilaa cjafaham namna ya kuagiza na kusafirishaa...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Sold
1 Reactions
34 Replies
8K Views
Price 550,000 IPhone 6s Internal memory 16gb Ram 2GB Colour Rose Gold Depreciation value ni 7 months Imefanyiwa software update Mimi mtumiaji wa kwanza.
1 Reactions
5 Replies
821 Views
Habari, Kama kuna mtu ni Producer wa Music hapa nahitaji roducer kwa ajili ya studio yetu mpya kabisaa!! Awe mwenye uwezo na anayejitambua na awe huru na muda wa kutosha
1 Reactions
0 Replies
757 Views
Nimeibiwa laptop Hp nyeupe jana 14.11.2017 maeneo ya kigamboni. Please kwa yeyote yule aliyeiba ama la. Naomba kuuziwa tena hiyo laptop kwani mali iliyobeba ni zaidi ya maisha yangu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tunauza spea za Rav 4 kwa jumla zilizopo Zanzibar,spear zimenunuliwa Dubai na zimeshukia ZNZ,spea zinauzwa under cost to cost basis na mnunuzi ataunyeshwa original receipt ili ahakiki kabla ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Naomba kufahamu utaratibu wa kusafirisha/kuuza mahindi nje nchi
0 Reactions
10 Replies
2K Views
husika na kichwa, Natafuta chumba maeneo ya Magomeni,mnazi mmoja,Fire au Argentina kiwe kimoja tu,sina familia ndo kwanza nasoma,kiwe na Choo swafi,umeme na maji na security iwe maximum wasije...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Tunafunga Backup za Umeme kwa kutumia technologia ya kisasa na kwa Gharama Nafuu. Mgawo wa Umeme hatokuja kutokea endapo tukikufungia Mfumo huu. Snl Solar Ltd tunapatika Sinza kwa Remy...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
*[emoji448][emoji448]tangazo tangazo tangazo[emoji448][emoji448][emoji448][emoji448]* Vyeti vimepotea vyote vina jina la JUMA K. HAMISI.. O LEVEL(kihonda sec.),A LEVEL(morogoro sec.), BACHELOR...
1 Reactions
2 Replies
801 Views
habari zenu wakuu Mimi naitwa Assumani ni mgeni katika JamiiForums kwa yoyote anaye taka kitu dubai yaani biashara kutaka kujuwa habari za kibiashara hapa dubai aweza kuniuliza ao twaweza kuagiza...
0 Reactions
21 Replies
7K Views
METATRON LIFT CO LTD... (ELEVATOR MAINTENANCE) METATRON LIFT ni Kampuni Ya Kitanzania inayohusika na Uagizaji WA Lift toka nchini UTURUKI kwa Brand ya MERIH ASANSOR. Tunafanya Installation za...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mashudu ya alizeti yanapatikan kwa bei rahis namba zangu #+255769220219
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Vipo maeneo ya kiseriani kijiji cha Muungano kilomita chache toka Moshono Umeme na maji ni vya uhakika vinafaa kujenga Bei kwa hatua 20/20 ni sh 5,500,000/= Hatua 20/18 ni sh 4,500,000/=...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Nunua Kiwanja sasa, kilichopimwa na chenye Hati. Viwanja vipo umballi wa km 15 kutoka Daraja Jipya na km 20 kutoka fery na 4km kutoka Yard ya magari kigamboni. Viwanja vinaanza na ukubwa wa...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Wadau nauza kiwanja changu kipo Kange Tanga karibia na kwenye nyumba ya jaji,Kiwanja kina hati ya serikali ya kijiji,Nimeshaweka mawe kana trip 4 hivi,Ukubwa wa kiwanja ni futi 45 na 55. Bei sh 7...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari natafuta chumba cha kupanga bei kama ilivyoelekezwa hapo kiwe na umeme maji ya karibu pia, maeneo iwe Dsm si nje sana ya mji na pia kiwe karibu na kituo cha daladala au...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Kwa uhitaji wa kuagiza Gari yako ....tutumie SBT Tz , kampuni mama ikiwa SBT Japan.... Ambako Gari zote zinapatikana kwa bei nzuri, nasisi SBT Tz tutafanya process zote hadi wewe kuipata Gari...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wadau.. Nina project naifanya ambayo ina uhitaji wa mikeka ya kukalia watu 200.. Sina uzoefu nayo sana kujua inauzwa sehemu gani na bei yake ikoje kwa kila mmoja.. Nitashukuru sana...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Kuna kampuni moja inatoa huduma ya utumaji wa SMS za jumla. Kwa mfano sms zinazotumwa na benki tofauti kutoa taarifa kuhusu huduma zao hua zinatumwa na makampuni haya. Kampuni hizi zinauwezo wa...
1 Reactions
20 Replies
7K Views
Back
Top Bottom