Naomba mnisaidie wafanya biashara mnaonunua bidhaa toka China.
Mm ni mfanya biashara wa nguo za kiume na kike natamanibsana kuagiza bidhaa nje ilaa cjafaham namna ya kuagiza na kusafirishaa...
Habari,
Kama kuna mtu ni Producer wa Music hapa nahitaji roducer kwa ajili ya studio yetu mpya kabisaa!!
Awe mwenye uwezo na anayejitambua na awe huru na muda wa kutosha
Nimeibiwa laptop Hp nyeupe jana 14.11.2017 maeneo ya kigamboni.
Please kwa yeyote yule aliyeiba ama la.
Naomba kuuziwa tena hiyo laptop kwani mali iliyobeba ni zaidi ya maisha yangu...
Tunauza spea za Rav 4 kwa jumla zilizopo Zanzibar,spear zimenunuliwa Dubai na zimeshukia ZNZ,spea zinauzwa under cost to cost basis na mnunuzi ataunyeshwa original receipt ili ahakiki kabla ya...
husika na kichwa,
Natafuta chumba maeneo ya Magomeni,mnazi mmoja,Fire au Argentina kiwe kimoja tu,sina familia ndo kwanza nasoma,kiwe na Choo swafi,umeme na maji na security iwe maximum wasije...
Tunafunga Backup za Umeme kwa kutumia technologia ya kisasa na kwa Gharama Nafuu. Mgawo wa Umeme hatokuja kutokea endapo tukikufungia Mfumo huu.
Snl Solar Ltd tunapatika Sinza kwa Remy...
*[emoji448][emoji448]tangazo tangazo tangazo[emoji448][emoji448][emoji448][emoji448]*
Vyeti vimepotea vyote vina jina la
JUMA K. HAMISI..
O LEVEL(kihonda sec.),A LEVEL(morogoro sec.), BACHELOR...
habari zenu wakuu
Mimi naitwa Assumani ni mgeni katika JamiiForums
kwa yoyote anaye taka kitu dubai yaani biashara kutaka kujuwa habari za kibiashara
hapa dubai aweza kuniuliza ao twaweza kuagiza...
METATRON LIFT CO LTD... (ELEVATOR MAINTENANCE)
METATRON LIFT ni Kampuni Ya Kitanzania inayohusika na Uagizaji WA Lift toka nchini UTURUKI kwa Brand ya MERIH ASANSOR. Tunafanya Installation za...
Vipo maeneo ya kiseriani kijiji cha Muungano kilomita chache toka Moshono
Umeme na maji ni vya uhakika vinafaa kujenga
Bei kwa hatua 20/20 ni sh 5,500,000/=
Hatua 20/18 ni sh 4,500,000/=...
Nunua Kiwanja sasa, kilichopimwa na chenye Hati.
Viwanja vipo umballi wa km 15 kutoka Daraja Jipya na km 20 kutoka fery na 4km kutoka Yard ya magari kigamboni.
Viwanja vinaanza na ukubwa wa...
Wadau nauza kiwanja changu kipo Kange Tanga karibia na kwenye nyumba ya jaji,Kiwanja kina hati ya serikali ya kijiji,Nimeshaweka mawe kana trip 4 hivi,Ukubwa wa kiwanja ni futi 45 na 55. Bei sh 7...
Habari natafuta chumba cha kupanga bei kama ilivyoelekezwa hapo kiwe na umeme maji ya karibu pia, maeneo iwe Dsm si nje sana ya mji na pia kiwe karibu na kituo cha daladala au...
Kwa uhitaji wa kuagiza Gari yako ....tutumie SBT Tz , kampuni mama ikiwa SBT Japan.... Ambako Gari zote zinapatikana kwa bei nzuri, nasisi SBT Tz tutafanya process zote hadi wewe kuipata Gari...
Habari wadau..
Nina project naifanya ambayo ina uhitaji wa mikeka ya kukalia watu 200..
Sina uzoefu nayo sana kujua inauzwa sehemu gani na bei yake ikoje kwa kila mmoja..
Nitashukuru sana...
Kuna kampuni moja inatoa huduma ya utumaji wa SMS za jumla. Kwa mfano sms zinazotumwa na benki tofauti kutoa taarifa kuhusu huduma zao hua zinatumwa na makampuni haya. Kampuni hizi zinauwezo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.