Nahitaji Mashine ya kusaga matunda

Nahitaji Mashine ya kusaga matunda

Fmruma

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2013
Posts
498
Reaction score
786
Ni aina gani nzuri ya mashine ya kusaga matunda(blender)....kwa jiji la mwanza naweza kupata maduka gani..?
 
mimi naitumia hii hapa ,haina haja ya kuchuja ,inasaga mara moja kila kitu kinakuwa uji. kama ni tango au embe au karoti ukiosha vizuri unasaga na maganda yake pia inaokoa muda maana unakunywa huko huko unatoa mashine unaweka mfuniko.ina vijagi vya ziada pia .dar kariakoo ni elf 75,village supermarket niliona hyo hyo laki moja na ishirini.
 
mimi naitumia hii hapa ,haina haja ya kuchuja ,inasaga mara moja kila kitu kinakuwa uji. kama ni tango au embe au karoti ukiosha vizuri unasaga na maganda yake pia inaokoa muda maana unakunywa huko huko unatoa mashine unaweka mfuniko.ina vijagi vya ziada pia .dar kariakoo ni elf 75,village supermarket niliona hyo hyo laki moja na ishirini.

Thax...hakuna sehem ambayo unajua naweza kupata kwa huku mwanza..?
 
mimi naitumia hii hapa ,haina haja ya kuchuja ,inasaga mara moja kila kitu kinakuwa uji. kama ni tango au embe au karoti ukiosha vizuri unasaga na maganda yake pia inaokoa muda maana unakunywa huko huko unatoa mashine unaweka mfuniko.ina vijagi vya ziada pia .dar kariakoo ni elf 75,village supermarket niliona hyo hyo laki moja na ishirini.



ohh inakuwa km smoothies !nimeipenda
 
ukienda kariakoo pale sokoni kwenye bus za tegeta .mimi nilinunua pale mwezi wa sita elf 55.juzi rafiki yangu kaenda ni elf 75.supermarket nimecheki tena jana ni 120 .


aisee uliibahatisha kwa bei tamu ! sawa asante mamy!
 
upload_2017-9-25_10-13-0.jpeg
 
Mmeongea Mengi me nimeishia kuona neno papuchi!ukifikiria kuuza unijuze ni jumla ama rejareja nikuungishe!


hahahaha yaan wewe umenasa neno punan tu !hahaha haya Miss Natafuta ushampata wa kukunnulia jiko 7400000/ paap! asante sana wewe kaka kwa kuona kilio cha mwanamke mwenzangu
 
Back
Top Bottom